- Thread starter
- #261
Nilitamani nijue elimu yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais hajakosea lolote tena ameacha nafasi ya mahakama kutoa hukumu. Shida ya wapenda siasa wengi wakimchukia mtu wanaamini kila atakalofanya ni kosa.
Sent using Jamii Forums mobile app