Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,858
- 7,620
Soma upya hicho kifungu na ukielewe. Hicho kifungu hakitekelezwi kwa kukurupuka bali kina mchakato unaotangulia. Kwa taarifa yako B W Mkapa aliwaondoa Makamishna 5 mwaka 1996 lakini walipofungua kesi mwaka 2005 wakashinda na wakafidiwa mabilioni.Jamani Mtumishi anaweza kuondolewa katika utumishi wa umma na Rais kama inavyoelezwa katika kanuni ya 29 (1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma. Hivyo huyu Jiwe wetu Mwamba wa TZ yuko sahihi kwa mukhtada huo. 😊😊
EINSTEIN112 believe me,Magufuli hata bila kura za kundi lolote atapita,mfumo uliopo sasa hivi Tanzania kwenye chaguzi zetu bado hatatokea wa kufanya ccm isishinde!Hawa jamaa waliwezana wenyewe tu.
Hata hapa bongo enzi za Ishu ya mwembe chai waliokuwa watawala hapa Dar walikuwa wao..
Tukirudi kwa Mashehe wa uamsho utashangaa
Rais wa kwao
IGP wao
Dar RPC wao
Jaji mkuu wao na wakashindwa kuwatoa waislam wenzao.
JPM atavuna kura zao mwishoni mwa mwaka huu kwa kuwatoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni kauli za kujinga kuwahi kutamkwaNchi za Kiswahili ukifuata Sheria sana hutafanya maendeleo yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
1:Cha kwanza acha unafiki wa kijinga ww siyo muislam,muislamu hawezi kumtetea mtu aliye kidharirisha kitabu ambacho anaamimi ni kitukufu.Kinoamiguu,
1:Cha kwanza acha unafiki wa kijinga ww siyo muislam,muislamu hawezi kumtetea mtu aliye kidharirisha kitabu ambacho anaamimi ni kitukufu.
2:Kwa hiyo kumbe siku hizi ukiua au ukiiba nje ya kituo chako cha kazi ni halali?unapo onesha kitendo chochote kisicho faa ndani ya jamii haufai kuwa kiongozi au mtumishi.
3:Kitendo alicho fanya huyu jamaa ni inshara tosha ya chuki yake dhidi ya uislam na waislam, kwa mujibu wa sheria ni kosa kuonesha chuki hadharani dhidi ya jamii yeyote haijalishi unakubaliana na maono yake au la.
4: huyo aliye sema yesu sio mungu hana kosa kwa sababu yeye alitoa maoni yake jambo ambalo limeruhusiwa na katiba, ya kwamba unaruhusiwa kuamini chochote kwa imani yako Lakini usingilie au kukiharibu anacho amini mwenzio eti kwa sababu hukubaliani nacho,na ndio maana serikali imeruhusu midaharo mbali mbali kati ya dini tofauti hata hapa jf kuna jukwaa la dini.
5:kingine muajili wako ndio mwenye uwezo wa kukwambia sikuhitaji kwa sababu ndio kakuajili.
Mbona vitendo hivi vipo vingi tu. Wanafunzi wanakutana navyo, makazini wanakutana navyo. Watu wanatukanwa kuhusu dini yao na imani zao wazi wazi, wanakuwa wapole tu.Yaani mtu achane Biblia au tenzi za rohoni kwa maono yake alafu mimi nidhurike au nikasirike? kama hizi vitabu ni vya Mungu au Allah basi mwenye vitabu vyake watampatia hukumu ila siyo binadamu kushupalia tu shingo.
Yaani umetoka kumnyima jirani yako pesa ya kumpeleka mtoto wake hospitali alafu unakuja kukasirika kua mtu amechana kitabu cha dini si upumbavu huo.
Rais Magufuli sijui huwa anakumbwa na nini!! Habadiliki wala hajifunzi. Anapenda sana kuropoka. Tamko lile ni kutenda kinyume cha kiapo chake.Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini
1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya nini? Niwie radhi kuwa this is cheap popularity and to win the Islamic community!
2. Umeshaidharau mahakama kwa kusema ashinde asishinde nimeshamfukuza kazi! Matamshi kama hayo ni ya kidictator katika nchi ambayo ni lawlessness. Unajipa ukuu wa kuwa juu ya mahakama na sheria maana unaapa kutoisikiliza mahakama in case anakwenda mahakamani na kushinda!
3. Hili siyo tukio la kwanza Nakuwekea kesi ya Dibagula uone how such issues are handled in a law abiding regime!
Kwani masahaf iliochanwa kuna muislam yoyote kamsaidia pesa jamaa kuinunua?Kinoamiguu,
1:Cha kwanza acha unafiki wa kijinga ww siyo muislam,muislamu hawezi kumtetea mtu aliye kidharirisha kitabu ambacho anaamimi ni kitukufu.
2:Kwa hiyo kumbe siku hizi ukiua au ukiiba nje ya kituo chako cha kazi ni halali?unapo onesha kitendo chochote kisicho faa ndani ya jamii haufai kuwa kiongozi au mtumishi.
3:Kitendo alicho fanya huyu jamaa ni inshara tosha ya chuki yake dhidi ya uislam na waislam, kwa mujibu wa sheria ni kosa kuonesha chuki hadharani dhidi ya jamii yeyote haijalishi unakubaliana na maono yake au la.
4: huyo aliye sema yesu sio mungu hana kosa kwa sababu yeye alitoa maoni yake jambo ambalo limeruhusiwa na katiba, ya kwamba unaruhusiwa kuamini chochote kwa imani yako Lakini usingilie au kukiharibu anacho amini mwenzio eti kwa sababu hukubaliani nacho,na ndio maana serikali imeruhusu midaharo mbali mbali kati ya dini tofauti hata hapa jf kuna jukwaa la dini.
5:kingine muajili wako ndio mwenye uwezo wa kukwambia sikuhitaji kwa sababu ndio kakuajili.
Kuna taratibu na taasisi za kumwadhibu mtumishi wa umma kwa makosa ya kimaadili. Na katika taratibu hizo, hakuna mahali ambapo Rais amepewa mamlaka hayo.Rais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.
Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.
Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.
Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma
Aneongea mambo ambayo hayapo. Huebda hujawahi kuwa mwajiri. Sisi waajiri tunafahamu. Unaweza kumfukuza kazi mfanyakazi, akaenda mahakamani, akashinda, na mahakama ikaamuru umrudushe kazini au umlipe fidia. Ni lazima utii.Kufukuzwa au kisimamishwa kabla au baada ya kufunguliwa mashtaka ndio njia salama zaidi ya kudhibiti uhalifu.
Rais katenda wajibu wake kama muajiri kwa muajiriwa mwenye utovu wa nidhamu na ukosefu wa maadili.
Mahakamani kapelekwa akajibu mashtaka kama mhalifu ambapo yeyote angepelekwa Kama angefanya aliyofanya.
Kwa hiyo Kuna pande, Kuna adhabu ya muajiri kwa mwajiriwa na Kuna adhabu ya kisheria ya mahakàmà. Mwajiriwa halazimishwi na sheria ila kanuni na taratibu za ajira kwa mfano: mlevi anaweza kufukuzwa kwa kulewa kazini lakini sheria inaweza kutoona kosa lake na kumwachia hiyo haimaanishi mwajiriwa ana haki ya kumrudisha
Mimi nadhani wewe ni mpumbavu kama huyo aliye chana hicho kitabu na upumbavu wake unaenda kuigharimu familia yake hasa walio kuwa wanamtegemea kupitia hiyo kazi.1:Cha kwanza acha unafiki wa kijinga ww siyo muislam,muislamu hawezi kumtetea mtu aliye kidharirisha kitabu ambacho anaamimi ni kitukufu.
HUU NI UHURU WA KUZUNGUMZA, KILA DINI INA MADHAIFU FLANI NDIO MAANA, YAKAIBUKA MADHEHEBU NAYO YAMETOKEA KTK KUSIMAMIA VITABU HIVO HIVO, USIFORCE MTU AWAZE KAMA WEW KWA MWAMVULI WA DINI.
3:Kitendo alicho fanya huyu jamaa ni inshara tosha ya chuki yake dhidi ya uislam na waislam, kwa mujibu wa sheria ni kosa kuonesha chuki hadharani dhidi ya jamii yeyote haijalishi unakubaliana na maono yake au la.
HII HOJA YAKO HAINA MASHIKO KUITUMIA KUMPINGA JAMAAA HAPO JUU. KWANINI??
KWANZA KTK ASILIMIA KUBWA YA WATU WANAONGOZA KUHUBIRI CHUKI DHIDI YA IMANI NYINGINE, WANAJULIKANA NI WAKINA NANI. IMEFIKIA HATUA WATU KUANZISHA MAKUNDI YA KIGAIDI KWA AJILI YA KUHARIBU NA KUUA WATU WA IMANI ZINGINE.
IMEFIKA HATUA WATU WA MKABALA HUU WENGINE, HAWATAKI KUCHANGAMANA NA WATANZANIA WENGINE KISA TU IMANI.
NIMESOMA, KUFANYA KAZI NA WATU WA JAMIII HIII, NI WABAGUZI WA WAZI WAZI, HATA KATIKA MAOFISI HUKO, KUNA AMBAO UKIENDA KUFATA HUDUMA WAPO WATAO KUBAGUA KISA DINI.
UMEWAHI KUISIKIA POPOTE HATUA INACHUKULIWA?? WENGINE WANADILIK KUFANYA FUJO KWA IMANI ZINGINE KISA TU, WAMEKULA CHAKULA KTK MWEZI WAO. VIP WAME GUSWA? SIO DOUBLE STANDARD NI NIN? TUACHE UNAFKI TUIONE PEPO
4: huyo aliye sema yesu sio mungu hana kosa kwa sababu yeye alitoa maoni yake jambo ambalo limeruhusiwa na katiba, ya kwamba unaruhusiwa kuamini chochote kwa imani yako Lakini usingilie au kukiharibu anacho amini mwenzio eti kwa sababu hukubaliani nacho,na ndio maana serikali imeruhusu midaharo mbali mbali kati ya dini tofauti hata hapa jf kuna jukwaa la dini.
UKISEMA YESU SIO MUNGU, NA HATA WENGINE KUFIKIA HATUA YA KUMUITA NABII TU, KWA IMANI YA MWINGINE NI TUSI, KUBWA, MNO. LAKINI WATU WANATULIA LIFE LINAENDA. IKITOKEA UPANDE HUO UNAOTETEA AKASEMWA NABII WENU, MTAANZA KUSEMA LUGHA ZA AJABU KISHA FUJO, HAMNA UVUMILIVU JE, HATUA ZIMEWAHI CHUKULIWA?? KUNA WENZENU WAMESABABISH SINTO FAHAMU NYINGI KUPIGA WATU NA WATUMISHI WENGINE. KISA SHEIKH WAO KABADILI DINI, WAO WAKAENDA VAMIIA MKUTANO.
UNAZUNGUMZIA MATERIAL DAMAGE??
KWANZA NADHANI MTU WA KUMSHIKILIA NI HUYO ALIYEMPA HIKO KITABU KAMA KUMPIMA, HAPO UME PROVOKE. SAWA NA WEW UMEPEWE ILIZI, UTAIHESHIMU NA KUISHIKA KWA HESHIMA KAMA HUNA IMANI NAYO?? UKITUPA CHINI USHIKILIWE??
MBAGALA WATU WALIFIKIA HATUA KUCHOMA MAKANISA, KUHARIBU MALI ZA KANISA, JE KUNA WATU WAMESHIKILIWA?? ACHENI DOUBLE STANDARD, ACHENI UNAFKI MUONE PEPO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kwa sababu hauamini uislam ni halali kwako kuchoma hata msikiti wao?Kwani masahaf iliochanwa kuna muislam yoyote kamsaidia pesa jamaa kuinunua?
Kama aliyesema yesu si Mungu alionekana hajatenda kosa kisheria kwakua yeye sio imani yake,basi hata huyu naye aliyechana hiki kitabu,kwakuwa hakiamini kinabaki kama kitabu kingine chochote nje ya masahaf,
Kifupi raisi amewahi sana,alitakiwa asubiri tasfiri sahihi ya mahakama.
Basi nawewe nenda kachane tukuone ushujaa wako .Kwani masahaf iliochanwa kuna muislam yoyote kamsaidia pesa jamaa kuinunua?
Kama aliyesema yesu si Mungu alionekana hajatenda kosa kisheria kwakua yeye sio imani yake,basi hata huyu naye aliyechana hiki kitabu,kwakuwa hakiamini kinabaki kama kitabu kingine chochote nje ya masahaf,
Kifupi raisi amewahi sana,alitakiwa asubiri tasfiri sahihi ya mahakama.
Tulia mzee. Mbona unashindwa handle mazungumzi unajaaa jazba, unadhidi ku prove na kuonyesha, busara ili hama kambi yako.Mimi nadhani wewe ni mpumbavu kama huyo aliye chana hicho kitabu na upumbavu wake unaenda kuigharimu familia yake hasa walio kuwa wanamtegemea kupitia hiyo kazi.
Maana ninavyo jua kuna walio kuwa wanapata elimu nzuri kupitia kwake, chakula kizuri, matibabu mazuri,sasa hayo yote wanaenda kuya kosa kwa upumbavu wa baba yao.
Wewe kama unaona alicho kifanya huyo mwehu ni sawa, na wewe toka nyuma ya Id feki ufanye tukuone ushujaa wako ulipo.
Asilimia 80 ya familia za kitanzania zina dini mchanganyiko waislam na wakristo ikiwemo na ya kwang
Kwa hiyo kwa sababu hauamini uislam ni halali kwako kuchoma hata msikiti wao?
Jaffo kumsimamisha elimringii kazi kisheria ni sawa. Tatizo elimringi kajionyesha ni mtu mpumbavu wala sio ujinga ndio umemsababisha kutenda alichokitenda. Ingekua ujinga mtu anaweza elimishwa. Hii upumbavu ndio naona mwajiri mkuu wa serikali kaona huyo pimbi hamfai. Kisheria itabidi iwe kumwachisha kazi badala ya kumfukuza. Hapo itabidi apewe haki zake zote. ..ikumbukwe elimringi hajamkosea mwajiri wake ila umma.Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.
Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.
Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.
Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?
Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Nitaeleza:
1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.
2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake
3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.
Tujifunze kuheshimu Sheria
Sasa janja, mbona sijaon mkizungumz kuhusu uchomaji wa makanisa, kama kweli mnapenda na kuheshimu dini zingine.Mimi nadhani wewe ni mpumbavu kama huyo aliye chana hicho kitabu na upumbavu wake unaenda kuigharimu familia yake hasa walio kuwa wanamtegemea kupitia hiyo kazi.
Maana ninavyo jua kuna walio kuwa wanapata elimu nzuri kupitia kwake, chakula kizuri, matibabu mazuri,sasa hayo yote wanaenda kuya kosa kwa upumbavu wa baba yao.
Wewe kama unaona alicho kifanya huyo mwehu ni sawa, na wewe toka nyuma ya Id feki ufanye tukuone ushujaa wako ulipo.
Asilimia 80 ya familia za kitanzania zina dini mchanganyiko waislam na wakristo ikiwemo na ya kwang
Kwa hiyo kwa sababu hauamini uislam ni halali kwako kuchoma hata msikiti wao?
Utajuaje mambo ambayo Mungu hayapendi ikiwa huna Dini?We jamaa umenena vyema...!!! Hizi dini tunazibeba kias kwamba sisi ndo tumezianzisha..!! Kikubwa amini Mungu yupo na usitende yale yasiyo mpendeza Mungu bac.... Mengine tuwaachie wenye mihemko na dini.
Sent using Jamii Forums mobile app