Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Ujinga ni mzigo.
1. Anaachishwa kazi kwa tamko au kwa sheria, taratibu na kanuni?

2. Mimi naamini Yesu ni Mungu, wewe huamini. Unaamua kuutangazia umma kuwa ukristo ni dini ya uongo maana wanakufuru kwa kusema Yesu ni Mungu. Unawatendea haki wanaoamini hivyo? Kwa nini usitangaze dini yako bila kuitaja ya mwenzio? Si kila mtu ana uhuru wa kuamini? Kwa nini uhatarishe uhuru huo?

3. Wewe ni muislam, unaamini kuwa Mohammad ni mtume wa mwenyezi Mungu. Mimi niseme yule ni tapeli tu, kwanza mbakaji. Alioa mtoto wa miska 14 akawa ana mbaka, mtume wa Mungu anakuwa mbakaji? Dini ya uislam ni dini ya mapepo na mashetani ndio maana wanafuga majini.

Vp hapo ntakuwa sawa siyo? Maama natoa maoni yangu kama ulivyotoa kule juu.

Sasa basi

1. Alichofanya mchana Qur'an, hana tofauti na kinachofanywa na wanaoamini na kutoa ya moyoni kila siku wakidhani ni uhuru wa maoni. Vyote ni ujinga tu na kutojitambua.

2. Sisi wafuasi ndiyo wajinga zaidi. Unaanzanje kuwa na hasira dhidi ya mtu anayeonesha kutoelewa kile unachoamini? Hivi kati yako na Mungu nani anaumia? Kwa nini uoneshe hasira zako kwa mtu huyo wakati Mungu yupo na anatakiwa ajitetee mwenyewe? Au Mungu huyo ni dhaifu hawezi kujipigania? Mchana msahafu Mungu kamuona, amwadhibu yeye, sisi wanadam tusichukue nafasi ya Mungu maana tutathibitisha kuwa Mungu hayupo au ni dhaifu.

3. Achukuliwe hatua kwa kuzingatia STK


Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hako kamsemo ka mungu huwa anajipigania mbona nyinyi walokore mmekakomalia? Kama mungu wenu anajipigania na anauwezo wa kujifanyia chochote mbona kulasiku mmachanga hela kwa ajili ya kujenga makanisa.
Kwann msikae mungu akaja kuya jenga mwenyewe kwa sababu anaweza kuji fanyia kila kitu?
 
Upo sawia kabisa
Rais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.

Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.

Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.

Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma

kamati ya maamuzi magumu
 
Fikiria kwa pande tatu ndugu
Kuna muda hata Kama wewe ungepewa uraisi au uongozi wowote usingekosa wa kukulaumu,,maana Kuna maamuzi makali ungeyatoa kwa kuweka msingi yasiweze kujirudia mfano kwa wafanyakazi wa imma
Alafu angalia na nchi katika Hali gani
Juzi tu maaskari unatambua walichomfanyia yule shekhe?
Naimani utakuwa unakumbuka alafu matarajio ya kujitahidi kutuliza ghasia na taharuki zilizojaa juu ya hawo watu wa dini husika,,,eti inatokea misbehaving ya mtumishi aliyechini yangu mininatengeneza yeye anabomoaa ,,,unatarajia nitachukua hatua gani juu yake juu ya wengine wasijefanya ikiwemo watumishi wa umma
Alafu tunakuja upande wa sheria au vizuizi vya utumishi wa umma naimani utakuwa inazifahamu zinasema Nini
Kuhusu uaminifu wa mfanyakazi kwenye Mali za umma ,,pia upande wa heshima( kujiheshimu,kuheshimu wengine ikiwemo na Imani zao )
Leo unakuja kulaumu maamuzi makali alioyatoa,,,,bro uongozi nimgumu acha tu eeh
Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini

1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya nini? Niwie radhi kuwa this is cheap popularity and to win the Islamic community!

2. Umeshaidharau mahakama kwa kusema ashinde asishinde nimeshamfukuza kazi! Matamshi kama hayo ni ya kidictator katika nchi ambayo ni lawlessness. Unajipa ukuu wa kuwa juu ya mahakama na sheria maana unaapa kutoisikiliza mahakama in case anakwenda mahakamani na kushinda!

3. Hili siyo tukio la kwanza Nakuwekea kesi ya Dibagula uone how such issues are handled in a law abiding regime!

kamati ya maamuzi magumu
 
Mzee kasome hukumu ya court of appeal baina ya urouch wa chama cha walim tanzania dhidi ya katibu mkuu utumishi wa uma.


Rais ndo mwenye mamraka yakufukuza mtumishi wa uma kazi.

Kwahiyo Rais alisema hivyo akimaanisha sheria ndo imempa nguvu.
Nimeisoma sana tena sana ! Una elimu gani kwanza? Tusije tukawa tunabishana , labda mimi niko chini sana au wewe uko juu sana na siwezi kukuelewa au uko chini sana na tusielewane!

Umejiuliza public interest ni zipi? How the law defines public interest? nakuwekea case ambayo public interest ilikuwa defined ingawa facts of the case zinaweza kuwa tofauti kidogo na case yetu hii.

Alipotoa tamko lake alikuwa amefuata taratibu zote? si alilipuka tu na kujisemea kama kawaida yake?
Soma page ya 21, 22, 23 ya hukumu unayoisema.
Au nikukumbushe, nadhani bado una fikira kuwa Rais is Omnipotent, yuko juu ya kila kitu! Finally, Soma hii kidogo


1581503392968.png
 

Attachments

  • OLUOCH CWT TERMINATION.pdf
    627 KB · Views: 1
  • PUBLIC INTEREST DEFINED BY CA TANZANIA.pdf
    250.6 KB · Views: 1
Retired,
Kuchoma kitabu kitakatifu cha dini yoyote ni kosa lisilovumilika!
Hakuna kosa lisilovumilika! Huyu kachoma makaratasi tu ambayo ni replaceable! kama siyo siasa kali za wenzetu ilikuwa ni kumdharau na yanaishia hapo. Ukishaweka maneno unayakuza! Najua wewe unamtetea Jiwe wako, lkn unajua fika kuwa hakuna kosa lisilosameheka. hata waliompiga Lisu risasi kwa amri ya huyo... wakitubu wanasamehewa! After all nani ana uhakika kuwa MUNGU YUPO NA HICHO NI KITABU CHAKE? LIKEWISE BIBLIA?
 
Hakuna kosa lisilovumilika! Huyu kachoma makaratasi tu ambayo ni replaceable! kama siyo siasa kali za wenzetu ilikuwa ni kumdharau na yanaishia hapo. Ukishaweka maneno unayakuza! Najua wewe unamtetea Jiwe wako, lkn unajua fika kuwa hakuna kosa lisilosameheka. hata waliompiga Lisu risasi kwa amri ya huyo... wakitubu wanasamehewa! After all nani ana uhakika kuwa MUNGU YUPO NA HICHO NI KITABU CHAKE? LIKEWISE BIBLIA?
Wamwachilie basi arudi mtaani!
 
Bukililo, mbona Nshomile wanajua haya mambo? Au wewe ndiye KM wa kijani maana yule kwa sasa ubongo wake uko embedded in the rectum! Umechafuliwa na shit can not reason!
Rais ni mwajiri mkuu, anaweza kukufuta kazi au kupendekeza upandishwe cheo muda wowote ule.

Kiongozi mkuu wa serikali ni rais, huyo pimbi wa huko Kilosa ni muajiriwa wa serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeisoma sana tena sana ! Una elimu gani kwanza? Tusije tukawa tunabishana , labda mimi niko chini sana au wewe uko juu sana na siwezi kukuelewa au uko chini sana na tusielewane!

Umejiuliza public interest ni zipi? How the law defines public interest? nakuwekea case ambayo public interest ilikuwa defined ingawa facts of the case zinaweza kuwa tofauti kidogo na case yetu hii.

Alipotoa tamko lake alikuwa amefuata taratibu zote? si alilipuka tu na kujisemea kama kawaida yake?
Soma page ya 21, 22, 23 ya hukumu unayoisema.
Au nikukumbushe, nadhani bado una fikira kuwa Rais is Omnipotent, yuko juu ya kila kitu! Finally, Soma hii kidogo


View attachment 1355233
Hata ikiwa ni kwa Public Interest, lazima ufanyike mchakato wa kumwondoa kazini huyo mtumishi. Kifungu cha 24 (1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, 2002 lazima kisomwe na Kanuni ya 29 (1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma, 2003.

Taratibu hazijafuatwa, zimekiukwa. Sheria imevunjwa.
 
Nilitamani nijue elimu yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama rais alichofanya si kazi yake basi tufanye hivi, hakuna kumlalamikia tena kuwa hajatoa ajira. Kama mnataka utaratibu ufuatwe na ndio kinachofanyika, wizara ya elimu haijawahi tangaza rasmi kuwa inapungukiwa walimu, ndo maana haitoi ajira. Na hata kama ingetangaza upungufu lakini isitoe ajira, tufanye basi si kazi ya rais wala hastahili lawama.

Ajira zisipotolewa mnamlalamikia yeye. Waajiriwa wakiwajibishwa mnamlalamikia kwamba si kazi yake. Tufanye suala la ajira hausiki nalo sasa.
 
Hata ikiwa ni kwa Public Interest, lazima ufanyike mchakato wa kumwondoa kazini huyo mtumishi. Kifungu cha 24 (1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, 2002 lazima kisomwe na Kanuni ya 29 (1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma, 2003.

Taratibu hazijafuatwa, zimekiukwa. Sheria imevunjwa.
Kama umenisoma nami nasema hivyo kuwa taratibu zimevunjwa! Rais amekosea sana kusema amemfuta kazi. Makosa makubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una lenga wapi na argument yako? Imetoka nje ya line of argument
Kama rais alichofanya si kazi yake basi tufanye hivi, hakuna kumlalamikia tena kuwa hajatoa ajira. Kama mnataka utaratibu ufuatwe na ndio kinachofanyika, wizara ya elimu haijawahi tangaza rasmi kuwa inapungukiwa walimu, ndo maana haitoi ajira. Na hata kama ingetangaza upungufu lakini isitoe ajira, tufanye basi si kazi ya rais wala hastahili lawama.

Ajira zisipotolewa mnamlalamikia yeye. Waajiriwa wakiwajibishwa mnamlalamikia kwamba si kazi yake. Tufanye suala la ajira hausiki nalo sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitamshauri aende mahakamani, Kuna siku jiwe atatoka madarakani , then hukumu kama itakuwa ameshinda atapata haki yake kwa rais atakayekuja

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukiwa muajiriwa wa serikali maana yake umepita shule na kutimiza vigezo, akili ya kawaida tu inatakiwa ikwambie kwamba huwezi kuchana kitabu kitakatifu mbele ya hadhara. Na jamaa wakamrekodi muda ule ule.

Bahati aliyonayo mahali pale waislam wenye msimamo mkali walikuwa ni wachache vinginevyo wangemfanyia kitu kibaya sana.
 
Rais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.

Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.

Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.

Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma
Rais ana hire na ku fire political appointees lakini sidhani kama ana mamlaka ya kumfuta kazi mtumishi wa serikali!
 
Rais kwa mamlaka yake ni muajiri mkuu wa Serikali hivyo ana mamlaka yote ya kumuajiri na kumfukuza yeyote ndani ya JMT kwa sababu yoyote bila kumtaarifu yoyote juu ya ukomo wako wa ajira.

Hata kama ni ngumu kuwatoa baadhi ya watumishi kama CAG na majaji lakini katiba imesema hapana kama Rais hatoweza kuwaondoa hao dhanà nzima ya muajiri mkuu inapotea ndio maana kawekewa utaratibu wa kumtoa na anaweza kumtoa.

Kwa hiyo Rais anaposema Fulani atoke hakihitajiki kingine zaidi ya kutangazwa nafasi ipo wazi na mtu anajazwa
This is not how it works lol.
Kama angekuwa ni political appointee hapo sawa ila si kwa mtumishi wa serikali wa kawaida
 
Back
Top Bottom