Rais Magufuli hakubali hata kidogo kupewa "constructive criticism"

Rais Magufuli hakubali hata kidogo kupewa "constructive criticism"

Kwa maoni yangu, Rais Magufuli yuko right, kumtumbua mteule wake yoyote atakaye mkosoa wazi wazi yeye au mpendwa wake kwa sababu, kwa watu hao, he is reachable. Kama wana uwezo to reach him na kumshauri badala ya kumkosoa, kwa nini wamkosoe hadharani?.

Kazi ya ukosoaji acha iendelee kufanywa na wapinzani na sisi watu wa nje, ambao kila uchao, tunamkosoa humu na hata kama hapendi kukosolewa, lakini hujikuta ni lazima aingie JF, na kuusoma ukosoaji wa jf na anajikuta ukosoaji huu unamsaidia zaidi kubadilika kuliko usifiaji, na kiukweli kabisa, Magufuli ni msikivu sana, anapokosolewa humu, anasikiliza na anabadilika.

P.
Rejea
Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli - JamiiForums

Rejea kuhusu ukosoaji zifuatazo hapa chini ambazo zimefanyiwa kazi.

Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria! .
JF Modes, Magufuli ni Rais Wetu, Asiabudiwe, Asiogopwe, Bali Aheshimiwe!.
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki Haki za Binaadamu?!..
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyo
te
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia!. Akishika Chama, Watakoma


Magufuli, "Kama Unaona Kazi ya Urais ni Ngumu Kwako, Jiuzulu! ".

Je inawezekana huu ndio mwisho wa utumbuaji wa papara na kukurupuka?! Mkuu kutumbuliwa soon!.

Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa kiuchumi? - JamiiForums

Je, wajua amri za Rais sio final and conclusive?. Zinaweza kupigwa chini na mchanga kusafirishwa? - JamiiForums
Mkuu,
Hapo siakubaliani na wewe... SABABU ni hii; mkososaji ni yule anayejua kuwa sehemu fulani kuna kosa limefanyika, na kurekebishwa kwake kuwe vipi. Anayejua hayo anaweza akawa nje au ndani ya mfumo wa kiserikali. Kuna kukosoa FORMAL na INFORMAL. Sasa mkuu unachokisema wewe ni kuwa mkosoaji anatakiwa awe nje ya serikali au mahala popote pale ambapo kimadaraka, raisi hawezi kupagusa, MAANA KAMA ANAWEZA KUPAGUSA (kutumbua) BASI USIKOSOE MAANA UTATUMBULIWA.... huko ni kutawala kwa kutegemea hofu iliyoko ndani ya unaowatawala. HAIWEZEKANI MKOSOAJI AWE YEYE TU... mara huyu kakosea hiki, yule kakosea kile, na si kweli kwamba NJIA PEKEE NI KMTUMBUA ANAYEKOSEA tena hadharani...!!!!! AS IF HAKUNA TARATIBU TULIZOJIWEKEA KWENYE KUMTUMBUA MTU...!!!!

Si kila anayepinga unachokiona kiko sawa ana nia mbaya... NI JUKUMU LAKO KUCHUJA KIPI KI BAYA NA KIPI KIZURI.............. MATOKEA YAKE ATAKUWA ANASIFIWA KWENYE KILA KITU WAKATI HALI HALISI HAIPO HIVYO... Hao wasifiaji wanasukumwa na HOFU YA KUTUMBULIWA na utendaji wake kwa 100%...

Halafu, si kweli kwamba mkosoaji kwa namna aliyofanya Mwandosya anatakiwa awe ni mtu ambaye hana ACCESS na mkuu... and WHO told you kwamba raisi yuko REACHABLE kihivyo? Kwa nionavyo, He is reachable kwa wale tu wa "NDIYO MZEE"... wengine sisi tukafie mbali..!!!!
 
Lakink mbona yule msaidizi wa usalama alimpeleka Tabora
Tunachojaribu kujiuliza ni kitu gani kinachompa kigugumizi kumtumbua Makonda kwa makosa yanayoonekana ya dhahiri??

Hivi Profesa Mwandosya alifanya kosa gani??

Kusema kuwa kwenye mafundisho waliyopewa ya utawala bora akitokea Rais kakutuhumu hadharani, inabidi wewe uliyetuhumiwa upeleke barua ya kujiuzulu kesho yake mapema sana asubuhi, ndiyo "dhambi" aliyofanya??

Hivi Mwandosya amekosa nini kwa kukumbushia mafundisho waliyopata ya utawala bora??

Ndiyo maana akamalizia kwenye Twitter yake kuwa huenda mafundisho hayo "yamezikwa" katika siku za hivi sasa
 
Tunachojaribu kujiuliza ni kitu gani kinachompa kigugumizi kumtumbua Makonda kwa makosa yanayoonekana ya dhahiri??

Hivi Profesa Mwandosya alifanya kosa gani??

Kusema kuwa kwenye mafundisho waliyopewa ya utawala bora akitokea Rais kakutuhumu hadharani, inabidi wewe uliyetuhumiwa upeleke barua ya kujiuzulu kesho yake mapema sana asubuhi.....

Hivi Mwandosya amekosa nini kwa kukumbushia mafundisho waliyopata ya utawala bora??

Ndiyo maana akamalizia kwenye Twitter yake kuwa huenda mafundisho hayo "yamezikwa" katika siku za hivi sasa
Mwandosya sio "Ntu wake"
 
Lakink mbona yule msaidizi alimpeleka Tabora
Aligoma wale ma pro, wasitumike kusafisha kitu kilichoonekana kama ni uchafu, alisema wasafishaji husafisha uchafu tuu, kama sio uchafu, hawaoaswi kusafisha, matokeo yake wakatumia wasafishaji ma kanjanja, wa kuokutwa vichochoroni, eti kwa sababu tuu wanajua kushika fagio, basi watafagia tuu!, matokeo yake, badala ya kusafisha, wakaharibu kazi na kuchafua zaidi!.
P.
 
Mkuu,
Hapo siakubaliani na wewe... SABABU ni hii; mkososaji ni yule anayejua kuwa sehemu fulani kuna kosa limefanyika, na kurekebishwa kwake kuwe vipi. Anayejua hayo anaweza akawa nje au ndani ya mfumo wa kiserikali. Kuna kukosoa FORMAL na INFORMAL. Sasa mkuu unachokisema wewe ni kuwa mkosoaji anatakiwa awe nje ya serikali au mahala popote pale ambapo kimadaraka, raisi hawezi kupagusa, MAANA KAMA ANAWEZA KUPAGUSA (kutumbua) BASI USIKOSOE MAANA UTATUMBULIWA.... huko ni kutawala kwa kutegemea hofu iliyoko ndani ya unaowatawala. HAIWEZEKANI MKOSOAJI AWE YEYE TU... mara huyu kakosea hiki, yule kakosea kile, na si kweli kwamba NJIA PEKEE NI KMTUMBUA ANAYEKOSEA tena hadharani...!!!!! AS IF HAKUNA TARATIBU TULIZOJIWEKEA KWENYE KUMTUMBUA MTU...!!!!

Si kila anayepinga unachokiona kiko sawa ana nia mbaya... NI JUKUMU LAKO KUCHUJA KIPI KI BAYA NA KIPI KIZURI.............. MATOKEA YAKE ATAKUWA ANASIFIWA KWENYE KILA KITU WAKATI HALI HALISI HAIPO HIVYO... Hao wasifiaji wanasukumwa na HOFU YA KUTUMBULIWA na utendaji wake kwa 100%...

Halafu, si kweli kwamba mkosoaji kwa namna aliyofanya Mwandosya anatakiwa awe ni mtu ambaye hana ACCESS na mkuu... and WHO told you kwamba raisi yuko REACHABLE kihivyo? Kwa nionavyo, He is reachable kwa wale tu wa "NDIYO MZEE"... wengine sisi tukafie mbali..!!!!
Mkuu Ngalikihinja ni kuwa tokea huyo Pascal aitwe kwenye kamati ya maadili kule Dodoma na kuwekwa "kitimoto" amebadilika sana na kuwa Pascal of the past and Pascal of today are 2 different people!
 
Tunachojaribu kujiuliza ni kitu gani kinachompa kigugumizi kumtumbua Makonda kwa makosa yanayoonekana ya dhahiri??

Hivi Profesa Mwandosya alifanya kosa gani??

Kusema kuwa kwenye mafundisho waliyopewa ya utawala bora akitokea Rais kakutuhumu hadharani, inabidi wewe uliyetuhumiwa upeleke barua ya kujiuzulu kesho yake mapema sana asubuhi, ndiyo "dhambi" aliyofanya??

Hivi Mwandosya amekosa nini kwa kukumbushia mafundisho waliyopata ya utawala bora??

Ndiyo maana akamalizia kwenye Twitter yake kuwa huenda mafundisho hayo "yamezikwa" katika siku za hivi sasa
Kijana hana kosa lolote, uteuzi na utumbuaji hufanywa at his pleasure, akiteua haulizwi kwa nini ameteua, na akitumbua hapaswi kuhojiwa.
Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote! - JamiiForums
P
 
And yet we continue to give power to politicians to decide and provide for the fate of this country, for the fate of our lives [emoji849]
Kila nikitazama miswada inayopitishwa, propaganda tunazolishwa bila kujali itikadi, elimu inavyodidimizwa, uchumi unavyosokomezwa kwenye makombe yawanasiasa huku tukionyeshwa chupa za maji nakuambiwa ni asali na mvinyo...Wananchi tumebaki na dira ya bora uhai na siyo maisha bora.
Aisee I really regret to born among that society of lunatics

Hilo taifa 99% ni wajinga na wapumbavu
 
Mkuu,
Hapo siakubaliani na wewe... SABABU ni hii; mkososaji ni yule anayejua kuwa sehemu fulani kuna kosa limefanyika, na kurekebishwa kwake kuwe vipi. Anayejua hayo anaweza akawa nje au ndani ya mfumo wa kiserikali. Kuna kukosoa FORMAL na INFORMAL. Sasa mkuu unachokisema wewe ni kuwa mkosoaji anatakiwa awe nje ya serikali au mahala popote pale ambapo kimadaraka, raisi hawezi kupagusa, MAANA KAMA ANAWEZA KUPAGUSA (kutumbua) BASI USIKOSOE MAANA UTATUMBULIWA.... huko ni kutawala kwa kutegemea hofu iliyoko ndani ya unaowatawala. HAIWEZEKANI MKOSOAJI AWE YEYE TU... mara huyu kakosea hiki, yule kakosea kile, na si kweli kwamba NJIA PEKEE NI KMTUMBUA ANAYEKOSEA tena hadharani...!!!!! AS IF HAKUNA TARATIBU TULIZOJIWEKEA KWENYE KUMTUMBUA MTU...!!!!

Si kila anayepinga unachokiona kiko sawa ana nia mbaya... NI JUKUMU LAKO KUCHUJA KIPI KI BAYA NA KIPI KIZURI.............. MATOKEA YAKE ATAKUWA ANASIFIWA KWENYE KILA KITU WAKATI HALI HALISI HAIPO HIVYO... Hao wasifiaji wanasukumwa na HOFU YA KUTUMBULIWA na utendaji wake kwa 100%...

Halafu, si kweli kwamba mkosoaji kwa namna aliyofanya Mwandosya anatakiwa awe ni mtu ambaye hana ACCESS na mkuu... and WHO told you kwamba raisi yuko REACHABLE kihivyo? Kwa nionavyo, He is reachable kwa wale tu wa "NDIYO MZEE"... wengine sisi tukafie mbali..!!!!
Wateule wote wa rais, wana access na rais, na watumishi wote wa umma, mwajiri wao ni rais wa JMT, wanazo internal mechanism za kutoa maoni yao hata kukosoa, kushauri.

Kwa vile teuzi zinafanywa at his pleasure, then lets tuache utumbuaji ufanywe at his pleasure.
Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote! - JamiiForums
P
 
Mkuu Ngalikihinja ni kuwa tokea huyo Pascal aitwe kwenye kamati ya maadili kule Dodoma na kuwekwa "kitimoto" amebadilika sana na kuwa Pascal of the past and Pascal of today are 2 different people!
Pasco is the one and the same juzi, jana, leo na hata milele, ila he is a human being, and we are living in a jungle, so human beings are not static, they are dynamic, and hence they change with time. Every human beings changes with time, in fact it's every living thing.
P.
 
Wateule wote wa rais, wana access na rais, na watumishi wote wa umma, mwajiri wao ni rais wa JMT, wanazo internal mechanism za kutoa maoni yao hata kukosoa, kushauri.

Kwa vile teuzi zinafanywa at his pleasure, then lets tuache utumbuaji ufanywe at his pleasure.
Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote! - JamiiForums
P
Lile swali lako la mihimili ndio linakukosesha wilaya. Ungekua ushalamba dume zamani sana.
 
Kijana hana kosa lolote, uteuzi na utumbuaji hufanywa at his pleasure, akiteua haulizwi kwa nini ameteua, na akitumbua hapaswi kuhojiwa.
Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote! - JamiiForums
P
Completely wrong!!

Wananchi wana haki ya kumkataa mteule wa Rais wakitaka, japo kazi hiyo haiwi rahisi sana.

Ni fikra duni sana kudhani kuwa maamuzi ya Rais au serikali hayawezi kukosolewa au kuhojiwa na wananchi. Wananchi wapo juu ya Rais, juu ya Serikali, juu ya Bunge na juu ya Mahakama.

Tusemapo Jamhuri, kimsingi tunamaanisha ni Wananchi. Mamlaka ya juu kabisa ni umma wa Watanzania. Umma huo una mamlaka ya kuhoji chombo chochote juu ya jambo lolote.
 
Ukifanya madudu meengi kumtumia kijana mdogo akavimba kichwa,,....hata akiharibu unashindwa kumuadabisha sababu anajua siri zako zoote anzia biashara haramu utekaji.....upigaji hadi ndumba!!! lazima uwe na subira nae tena sanaa tena sanaa...huna ujanja!!.........
 
Aligoma wale ma pro, wasitumike kusafisha kitu kilichoonekana kama ni uchafu, alisema wasafishaji husafisha uchafu tuu, kama sio uchafu, hawaoaswi kusafisha, matokeo yake wakatumia wasafishaji ma kanjanja, wa kuokutwa vichochoroni, eti kwa sababu tuu wanajua kushika fagio, basi watafagia tuu!, matokeo yake, badala ya kusafisha, wakaharibu kazi na kuchafua zaidi!.
P.
Kiswahili changu cha kijaluo nimetoka tupu hapa [emoji23] [emoji12] [emoji87]
 
Ni Mola peke yake ndie hatakiwi kuhojiwa. Binadamu wengine wote tuwahoji, tuwaseme na kuwakosoa kwani hakuna kosa hapo.
 
Wateule wote wa rais, wana access na rais, na watumishi wote wa umma, mwajiri wao ni rais wa JMT, wanazo internal mechanism za kutoa maoni yao hata kukosoa, kushauri.

Kwa vile teuzi zinafanywa at his pleasure, then lets tuache utumbuaji ufanywe at his pleasure.
Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote! - JamiiForums
P
Hayo maneno ... "AT HIS PLEASURE" ... ndo yamebeba matatizo yoooteee yanayotubana hadi leo... MFANO... haiwezekana yeye kusema tu kwamba ...LAZIMA ALIPE KODI... almost the entire country ikawa inasubiri nini kinafuata kwa hamu kubwa sana..... HAMU HIYO IMEJENGWA NA NINI?

Nakumbuka Nyerere aliwahi sema... Hii Katiba tukimpata Rais asiye na busara anageuka kuwa Mungu
"AT HIS PLEASURE" INAINGIA KWENYE MANENO HAYO
"AT HIS PLEASURE" maana yake husikilizi la mtu isipokuwa yako tu
 
Lile swali lako la mihimili ndio linakukosesha wilaya. Ungekua ushalamba dume zamani sana.
Kuna watu mnaamini kila mtu ni msaka uteuzi. Nimesoma darasa moja na mtoto wa Chinga, he is a friend, hivyo ningetaka kufukuzia uteuzi, ningefukuzia enzi hizo. Mimi ndio mwandishi wa kwanza kusafiri nae ziara za nje ya nchi, hivyo jamaa unazungumza nae face to face, ningelobby!.

Pale UD, nimesoma na Prince, wa mzee wa Msoga and he is a friend, hivyo kama ni kusaka uteuzi, it was as simple as abc!.

Aliyepo ni homeboy, na kila nikisafiri kuelekea kipande ile, nafikia nyumbani kwake!.

P
 
Back
Top Bottom