Rais Magufuli hakubali hata kidogo kupewa "constructive criticism"

Rais Magufuli hakubali hata kidogo kupewa "constructive criticism"

Kuna watu mnaamini kila mtu ni msaka uteuzi. Nimesoma darasa moja na mtoto wa Chinga, he is a friend, hivyo ningetaka kufukuzia uteuzi, ningefukuzia enzi hizo. Mimi ndio mwandishi wa kwanza kusafiri nae ziara za nje ya nchi, hivyo jamaa unazungumza nae face to face, ningelobby!.

Pale UD, nimesoma na Prince, wa mzee wa Msoga and he is a friend, hivyo kama ni kusaka uteuzi, it was as simple as abc!.

Aliyepo ni homeboy, na kila nikisafiri kuelekea kipande ile, nafikia nyumbani kwake!.

P
Mkuu,
Kutosaka wakati una ACCESS hizo mkuu HAKUMAANISHI KWAMBA wewe ni mzalendo... Uzalendo sidhani kama unapimwa namna hiyo....

Ngali K
 
Pasco is the one and the same juzi, jana, leo na hata milele, ila he is a human being, and we are living in a jungle, so human beings are not static, they are dynamic, and hence they change with time. Every human beings changes with time, in fact it's every living thing.
P.
Kwa kauli Mzee Pascal umeamua kuwa mpiga filimbi kwa vyovyote!! Mradi mkono uende kinywani [emoji40] [emoji87]
 
Pasco is the one and the same juzi, jana, leo na hata milele, ila he is a human being, and we are living in a jungle, so human beings are not static, they are dynamic, and hence they change with time. Every human beings changes with time, in fact it's every living thing.
P.
Umesahau hili mkuu... MABADILIKO YANAYOTARAJIWA NI YALE YA KUTOKA HASI KWENDA CHANYA... au KUTOKA CHANYA KWENDA CHANYA ZAIDI... and not the other way round....
 
Kuna watu mnaamini kila mtu ni msaka uteuzi. Nimesoma darasa moja na mtoto wa Chinga, he is a friend, hivyo ningetaka kufukuzia uteuzi, ningefukuzia enzi hizo. Mimi ndio mwandishi wa kwanza kusafiri nae ziara za nje ya nchi, hivyo jamaa unazungumza nae face to face, ningelobby!.

Pale UD, nimesoma na Prince, wa mzee wa Msoga and he is a friend, hivyo kama ni kusaka uteuzi, it was as simple as abc!.

Aliyepo ni homeboy, na kila nikisafiri kuelekea kipande ile, nafikia nyumbani kwake!.

P
Pascal kwa kauli hii umekuwa na bahati ya kufanya kazi na ma Rais watatu kwa ukaribu & friendly.
Nadhani nikuhukumu kuwa wewe ni ASIYEJULIKANA mtaa huu wa Jf. Kwa hiyo Pascal jamani yupo kazini sawa na hao walioteuliwa hadharani .
Yeye kateuliwa gizani
 
Mkuu,
Kutosaka wakati una ACCESS hizo mkuu HAKUMAANISHI KWAMBA wewe ni mzalendo... Uzalendo sidhani kama unapimwa namna hiyo....

Ngali K
Kiukweli kabisa Mkuu Ngali, mimi ni mzalendo wa kweli toka ndani ya nafsi yangu and I did a lot of sacrifices for my country.
Nilioa bongo, nikaenda UK kutafuta maisha, kiukweli sikuyafurahia, nikarudi bongo na kumwacha wife UK. Baadaye akarudi na tukahamia US, pia sikupenda maisha ya huko, nikaamua kurudi Bongo, wife akanigomea, I had to make sacrifices, nikarudi bongo.

Niliwahi kuajijiriwa FCO (Foreign Commonwealth Office, paid super salary, lakini niliacha kazi mwenyewe na kurejea Bongo.

Kuna type fulani ya watu, hata kama ana pochi nene, kunywa Serena, Kempsiki, Jackies, Triple 7, hawaoni raha, bali kunywa uswazi, Sinza, Kino, etc. Hata mizigo ya kuokota, sio kuku wa kizungu bali kuku wa kienyeji!, kuokotea Cape Town Fish Market, Q Bar, or The Sleep Way, anaona sio, kama ni kuokota, then ni kuku wa kienyeji, Migo Migo, Buguruni and the like.

Huu uzalendo, unatufanya wengine tuwe kama tumelongwa!. Mtu ana LL.B iko alipaswa kuvaa suti yeusi na tai na kutembea kwenye tails, lakini LL.B iko kabatini, halafu jamaa anaendelea kupuyanga peku kwenye vumbi akichakura kutafuta habari!. What a sacrifice?!.

P
 
NDUGU MWANZISHA THREAD NIMEGUDUNDUA WEWE SI MZALENDO KABISA. wewe na wenzio kadhaa mna constructive criticism zipi? zipi hebu nitajie? nyie mnafaham zaidi kuliko rais? nyie mna elimu na uzoefu mkubwa kuliko rais wa jamhuri hii? rais ndiye mzalendo namba moja na yeye yupo kwa ajili ya sisi wanyonge. hivyo anachosema kipo sahihi. wewe ni nani hata ubishe? wewe ni nani hata ukosoe? rais hakosei kila analofanya rais ni amin na kweli. wewe una uwezo gan wa kumkosoa? hayo mambo acheni. rais is always right. na anatuwakilisha sisi wananchi maskini. anatupigania na unaona ametuletea hata ndege kubwa hapa nchini. ninyi mlikua mnakosa sasa walalahoi tunaiona ndege ambayo tulizoe kuiona kwenye video tu. sasa tunaiona live ikipita hewani. kama rais angewasikiliza wakosoaji tusingepata ndege. acheni rais apige kazi. hapa ni kazi tu.
 
Nyuzi zako nzuri na elimu juu. Lakini kwa huyu wa nyumbani unampamba hata pale anapofanya mambo ki baguzi!! Mfano ni ziara zake kule nyumbani (Mara), nimeona kwa makusudi anavyowa disrespect wabunge wa upinzani ambao wapo kikatiba. Tofauti kabisa anapokuwa ktk majimbo ya kina Mhongo na kina Mkono! !.
Unakuta mbunge anapewa mic hata hajasema kitu, kwa kinywa cha anatamka mnyang'anyeni anatupotezea muda!! Seriously ?! Wakati hao ndio wamechaguliwa maeneo hayo?!

Huyu mbaguzi. Yaliyomkuta Makonda yangemtokea mwingine angetumbuliwa kwa kick.
Lakini kwa kuwa ni wa mukaya mh!!
 
Mwandosya alikua na nafasi kubwa ya kumshsuri Makonda au Pale mheshimiwa Rais anapokosea kwakua wote hao ni CCM. Kingine yeye ameshakua waziri katika serikali zilizopita kwa muda mrefu, Kitendo cha yeye kuanza kushauri /kukosoa kupitia mitandao ya kijamii anakua kama hayupo kwenye Chama.

Hiyo kwa watu wenye uelewa mpana wanatafsiri ni kuupinga utawala uliopo madarakan na kuonyesha Rais anashindwa kumwajibisha mteule wake.

Ata shetani alianza taratibu kuanza kushawishi Malaika wakati yupo Mbinguni ili wa mwasi Mungu. Mwishoe ikatokea vita Mbinguni na mwishoe Shetan alishindwa ile vita akatupwa Duniani. Kwa maanahiyo Mwandosya kuondolewa katika nyadhfa aliyokuanayo ilikua sahihi na kama ana nafasi nyingine inabidi aondolewe haraka maana kwa siku za karibuni amekua akitumia mitandao kukosoa badala ya kutumia nafasi ya kwenda kuwaona wahusika.akuzungumza nao.
Anayo yafanya ni kukata mti ambao anaukalia ukichukulia bado ana kashfa ya shirika la Simu kwa kuingia mikataba ya hovyo.
Ata yeye Mwandosya kukosoa au kushauri hadharani ni ukosefu wa maadili kama alivyo mtuhumu Makonda na kutaka ajiuzuru.
 
NDUGU MWANZISHA THREAD NIMEGUDUNDUA WEWE SI MZALENDO KABISA. wewe na wenzio kadhaa mna constructive criticism zipi? zipi hebu nitajie? nyie mnafaham zaidi kuliko rais? nyie mna elimu na uzoefu mkubwa kuliko rais wa jamhuri hii? rais ndiye mzalendo namba moja na yeye yupo kwa ajili ya sisi wanyonge. hivyo anachosema kipo sahihi. wewe ni nani hata ubishe? wewe ni nani hata ukosoe? rais hakosei kila analofanya rais ni amin na kweli. wewe una uwezo gan wa kumkosoa? hayo mambo acheni. rais is always right. na anatuwakilisha sisi wananchi maskini. anatupigania na unaona ametuletea hata ndege kubwa hapa nchini. ninyi mlikua mnakosa sasa walalahoi tunaiona ndege ambayo tulizoe kuiona kwenye video tu. sasa tunaiona live ikipita hewani. kama rais angewasikiliza wakosoaji tusingepata ndege. acheni rais apige kazi. hapa ni kazi tu.
Unamaanisha kinyumeche
 
Vitabu vyote vya dini vinasema kuwa sisi binadamu wote tuna mapungufu yetu na tunapaswa tunapokosolewa tujitafakari na kukukubali ushauri/ ukosoaji huo

Katika vitabu hivyo hivyo vya dini vinaandika kuwa ni Mungu pekee ambaye yupo 100% perfect

Kwenye nchi yoyote yenye utawala bora, ukosoaji wa serikali "constructive criticism" kutoka kwa wananchi wake kwa serikali yao ni jambo la kawaida sana na linapokekewa kwa nia ya kujirekebisha pale inapokosea

Lakini inashangaza sana kwa mtawala wetu, Rais Magufuli, kuwa hapendi kabisa kukosolewa kwa matendo anayofanya na mara nyingi anawatumbua wale wote wanaomkosoa

Niseme wazi kuwa Rais wetu kwa kutopenda kabisa kupewa "constructive criticism" anafanya kufuru kwa Mungu, kwa kuwa vitabu vyote vya dini vinasema kuwa hakuna binadamu yoyote tokea dunia iumbwe amewahi kuwa 100% perfect

Nitatoa mifano michache kulithibitisha hili ninalolisema:-

Ni hivi Jana tu Rais Magufuli amemtumbua Profesa Mark Mwandosya, uenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mwalimu Nyerere na nafasi yake kuchukuliwa na Stephen Wassira

Ingawa taarifa ya Ikulu haikutaja sababu za kutumbuliwa kwake, lakini hisia za wachambuzi wengi wa kisiasa, wanasema ni kutokana na Profesa Mwandosya kuwa ni mkosoaji mkubwa wa Rais Magufuli kupitia ukurasa wake wa Twitter

Ikumbukwe kuwa ni siku chache zilizopita, Profesa Mwandosya aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa walifundishwa misingi ya utawala bora kuwa Rais anapokusema hadharani kuwa umekosea, unalazimika siku inayofuata upeleke barua yako ya kujiuzulu nafasi hiyo

Ingawa hakumtaja kwa jina, lakini wadadisi wa mambo wamesema ujumbe huo wa Twitter ulikuwa ukimlenga moja kwa moja Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, ambaye siku chache zilizopita, Rais Magufuli aliingilia kati sakata hilo na kumwambia, Mkuu huyo wa Mkoa anapaswa kulipa kodi ya makontena hayo ya shilingi zipatazo bilioni 1.2 ambazo Mkuu huyo wa Mkoa alikuwa anataka kukwepa kulipa

Nimekuwa nikijiuliza hivi Profesa Mwandosya ni nini kosa lake, kuelezea suala "obvious" kama hilo la Mkuu wa nchi kumkosoa hadharani Mkuu wake wa Mkoa wa Dar na mkuu huyo wa Mkoa kuonyesha "kumdindia" Mkuu huyo wa nchi kwa kukataa kujiuzulu??

Suala lingine ambalo lilileta kizaazaa siku za nyuma ni kutumbuliwa kwa Waziri wa Habari wa wakati ule Nape Nnauye, kwa "kosa" la kuunda Tume iliyochunguza tukio la kuvamiwa kwa Clouds media usiku na askari wenye silaha za moto amacho kitendo hicho kilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

Kitu kilichofuata ni kila mtanzania anakijua, ni kwa Waziri huyo wa Habari kutumbuliwa

Nimekuwa pia nikijiuliza hivi kosa la Nape Nnauye lilikuwa nini katika sakata lile la uvamizi wa Clouds media kulikofanywa na askari wenye silaha za moto??

Pengine ni kuunda ile Tume yake ya uchunguzi ambayo hata hivyo yeye asingekuwa ni mwamuzi badala yake hivyo vyombo ambavyo yeye angevikabidhi ndivyo vingeamua hatma ya Mkuu wa Mkoa wa Dar

Kwa hiyo ni dhahiri kwa vitendo vinavyoendelea nchini ni kuwa Rais Magufuli hayuko tayari kukosolewa kwa ile tunayoiita "constructive criticism" kitendo ambacho anafanya kufuru kwa Mungu, kwa kuwa ni yeye pekee Mwenyezi Mungu ambaye amekuwa "exempted" kukosolewa, na sisi binadamu wote TUNASTAHILI kukosolewa ili tujirekebishe pale tulipokosea

Kwa Rais Magufuli kukataa kabisa kukosolewa ni kujitwalia nafasi ya Mungu ambapo kwa sisi binadamu tunaweza kuita kuwa anafanya KUFURU!

Mungu ibariki Tanzania
Hilo ni jiwe mkuu halisikii kitu
 
Mwandosya alikua na nafasi kubwa ya kumshsuri Makonda au Pale mheshimiwa Rais anapokosea kwakua wote hao ni CCM. Kingine yeye ameshakua waziri katika serikali zilizopita kwa muda mrefu, Kitendo cha yeye kuanza kushauri /kukosoa kupitia mitandao ya kijamii anakua kama hayupo kwenye Chama.

Hiyo kwa watu wenye uelewa mpana wanatafsiri ni kuupinga utawala uliopo madarakan na kuonyesha Rais anashindwa kumwajibisha mteule wake.

Ata shetani alianza taratibu kuanza kushawishi Malaika wakati yupo Mbinguni ili wa mwasi Mungu. Mwishoe ikatokea vita Mbinguni na mwishoe Shetan alishindwa ile vita akatupwa Duniani. Kwa maanahiyo Mwandosya kuondolewa katika nyadhfa aliyokuanayo ilikua sahihi na kama ana nafasi nyingine inabidi aondolewe haraka maana kwa siku za karibuni amekua akitumia mitandao kukosoa badala ya kutumia nafasi ya kwenda kuwaona wahusika.akuzungumza nao.
Anayo yafanya ni kukata mti ambao anaukalia ukichukulia bado ana kashfa ya shirika la Simu kwa kuingia mikataba ya hovyo.
Ata yeye Mwandosya kukosoa au kushauri hadharani ni ukosefu wa maadili kama alivyo mtuhumu Makonda na kutaka ajiuzuru.
Jinga sana wewe kwa kutoa ushuzi huu bila aibu
 
Jinga sana wewe kwa kutoa ushuzi huu bila aibu
Asante, uo unao uona ujinga ndio werevu wangu. Kama unahisi niliyo andika ni ujinga jaribu kwa njia iyoiyo aliyotumia Mwandosya Kiongozi mmoja wa Chadema ajaribu kumkosoa Mwenyekiti Mbowe uone kitakacho tokea. Mifano ipo kwa Marehemu Chacha wangwe na Zito Kabwe.
 
Kila mtu ana hulka yake, na wengi hawana ujasiri wa kuacha na kujifunza ile ya kuendana na jamii walimo na wakati.
 
Asante, uo unao uona ujinga ndio werevu wangu. Kama unahisi niliyo andika ni ujinga jaribu kwa njia iyoiyo aliyotumia Mwandosya Kiongozi mmoja wa Chadema ajaribu kumkosoa Mwenyekiti Mbowe uone kitakacho tokea. Mifano ipo kwa Marehemu Chacha wangwe na Zito Kabwe.
Acha kukaririshwa propaganda za kisiasa.Tofautisha maoni na kukosoa
 
Huwezi kutofautisha maoni na kukosoa, Angalia ushawishi ulionao katika jamii. ivi sisi wa Tanzania tumekosea wapi mbaka watuwetu wanashindwa kutathmini vitu vidogovidogo. Kauli na Twit za kiongoz /aliyewai kuwa waziri ni mtazamo kamili wa jinsi ya mambo unavyo yaona/tafsiri.
 
NDUGU MWANZISHA THREAD NIMEGUDUNDUA WEWE SI MZALENDO KABISA. wewe na wenzio kadhaa mna constructive criticism zipi? zipi hebu nitajie? nyie mnafaham zaidi kuliko rais? nyie mna elimu na uzoefu mkubwa kuliko rais wa jamhuri hii? rais ndiye mzalendo namba moja na yeye yupo kwa ajili ya sisi wanyonge. hivyo anachosema kipo sahihi. wewe ni nani hata ubishe? wewe ni nani hata ukosoe? rais hakosei kila analofanya rais ni amin na kweli. wewe una uwezo gan wa kumkosoa? hayo mambo acheni. rais is always right. na anatuwakilisha sisi wananchi maskini. anatupigania na unaona ametuletea hata ndege kubwa hapa nchini. ninyi mlikua mnakosa sasa walalahoi tunaiona ndege ambayo tulizoe kuiona kwenye video tu. sasa tunaiona live ikipita hewani. kama rais angewasikiliza wakosoaji tusingepata ndege. acheni rais apige kazi. hapa ni kazi tu.
Ina maana wewe unapingana vikali na vitabu vya dini vya Biblia kwa wakristo na Koran kwa waislamu vinavyoeleza kuwa ni Mungu pekee ambaye yuko 100% perfect??

Kwa kumuita Rais Magufuli kuwa hakosei, wewe ndiye unafanya KUFURU!
 
Huwezi kutofautisha maoni na kukosoa, Angalia ushawishi ulionao katika jamii. ivi sisi wa Tanzania tumekosea wapi mbaka watuwetu wanashindwa kutathmini vitu vidogovidogo. Kauli na Twit za kiongoz /aliyewai kuwa waziri ni mtazamo kamili wa jinsi ya mambo unavyo yaona/tafsiri.
Kuna tofauti ya kutukana na kukosoa.......

Ikiwa mwananchi wa kawaida amemtukana Rais, hapo sasa vyombo vya sheria ruksa kumchukulllia hatua mwananchi huyo.......

Lakini mwananchi huyo anapotoa "constructive criticism" wewe Mkuu wa nchi unapaswa kusikiliza na kuchukulia hatua hizo hoja zilizoongelewa.......

Lakini wewe Mkuu wa nchi unakasirika na kuchukua hatua huo sio utawala bora
 
Kiukweli kabisa Mkuu Ngali, mimi ni mzalendo wa kweli toka ndani ya nafsi yangu and I did a lot of sacrifices for my country.
Nilioa bongo, nikaenda UK kutafuta maisha, kiukweli sikuyafurahia, nikarudi bongo na kumwacha wife UK. Baadaye akarudi na tukahamia US, pia sikupenda maisha ya huko, nikaamua kurudi Bongo, wife akanigomea, I had to make sacrifices, nikarudi bongo.

Niliwahi kuajijiriwa FCO (Foreign Commonwealth Office, paid super salary, lakini niliacha kazi mwenyewe na kurejea Bongo.

Kuna type fulani ya watu, hata kama ana pochi nene, kunywa Serena, Kempsiki, Jackies, Triple 7, hawaoni raha, bali kunywa uswazi, Sinza, Kino, etc. Hata mizigo ya kuokota, sio kuku wa kizungu bali kuku wa kienyeji!, kuokotea Cape Town Fish Market, Q Bar, or The Sleep Way, anaona sio, kama ni kuokota, then ni kuku wa kienyeji, Migo Migo, Buguruni and the like.

Huu uzalendo, unatufanya wengine tuwe kama tumelongwa!. Mtu ana LL.B iko alipaswa kuvaa suti yeusi na tai na kutembea kwenye tails, lakini LL.B iko kabatini, halafu jamaa anaendelea kupuyanga peku kwenye vumbi akichakura kutafuta habari!. What a sacrifice?!.

P
Kwa post hii basi wewe ni Patriot sio Nationalist, wewe unaipenda nchi yako regardless what happens, una mahaba na kile ulichokizoea tokea nyumbani, wewe sio mzalendo wa kuitetea nchi kwenye shimo la ndani na nje, yaani kwa Lobbyists wa ndani na nje, Patriots tunao wengi nao hu dignify mambo mengi yanayopeleka taifa shimoni

Tufanye mfano wa Mange, Chahali, Ngurumo na wengineo Diaspora. Niliowataja ni Nationalists, wherever they are, what they value is a reliable trend of political and socio-economic realms of their nations, mzee wewe uaipenda Tanzania nchi, sio Tanzania Taifa 😀😀

But, Ubarikiwe kuwa na uzalendo, mana kuna watu hapa wakipata tuu hata kuosha vyombo hotelini S.A wanazama huko huko
 
Nyuzi zako nzuri na elimu juu. Lakini kwa huyu wa nyumbani unampamba hata pale anapofanya mambo ki baguzi!! Mfano ni ziara zake kule nyumbani (Mara), nimeona kwa makusudi anavyowa disrespect wabunge wa upinzani ambao wapo kikatiba. Tofauti kabisa anapokuwa ktk majimbo ya kina Mhongo na kina Mkono! !.
Unakuta mbunge anapewa mic hata hajasema kitu, kwa kinywa cha anatamka mnyang'anyeni anatupotezea muda!! Seriously ?! Wakati hao ndio wamechaguliwa maeneo hayo?!

Huyu mbaguzi. Yaliyomkuta Makonda yangemtokea mwingine angetumbuliwa kwa kick.
Lakini kwa kuwa ni wa mukaya mh!!
Huyu ni bully na anachofanya ni bullying na character assassionation ambazo ni baadhi ya tabia za madikiteta.
Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili Wote Duniani! - JamiiForums

Ukiishamjua kuwa hii ndio hulka yake, you have two options, au ukubali ndivyo alivyo, uishi naye kwa uangalifu, au umurpuke kwa ku fall out na ku shut up. Wengi wameamua ku shut up, hata humu jf, kuna watu huwasikii sikii kama enzi za JK.

Kwa situation tuliomo, the best way ni
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! - JamiiForums
P
 
Back
Top Bottom