Rais Magufuli hakubali hata kidogo kupewa "constructive criticism"

Rais Magufuli hakubali hata kidogo kupewa "constructive criticism"

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,842
Reaction score
31,075
Vitabu vyote vya dini vinasema kuwa sisi binadamu wote tuna mapungufu yetu na tunapaswa tunapokosolewa tujitafakari na kukukubali ushauri/ ukosoaji huo

Katika vitabu hivyo hivyo vya dini vinaandika kuwa ni Mungu pekee ambaye yupo 100% perfect

Kwenye nchi yoyote yenye utawala bora, ukosoaji wa serikali "constructive criticism" kutoka kwa wananchi wake kwa serikali yao ni jambo la kawaida sana na linapokekewa kwa nia ya kujirekebisha pale inapokosea

Lakini inashangaza sana kwa mtawala wetu, Rais Magufuli, kuwa hapendi kabisa kukosolewa kwa matendo anayofanya na mara nyingi anawatumbua wale wote wanaomkosoa

Niseme wazi kuwa Rais wetu kwa kutopenda kabisa kupewa "constructive criticism" anafanya kufuru kwa Mungu, kwa kuwa vitabu vyote vya dini vinasema kuwa hakuna binadamu yoyote tokea dunia iumbwe amewahi kuwa 100% perfect

Nitatoa mifano michache kulithibitisha hili ninalolisema:-

Ni hivi Jana tu Rais Magufuli amemtumbua Profesa Mark Mwandosya, uenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mwalimu Nyerere na nafasi yake kuchukuliwa na Stephen Wassira

Ingawa taarifa ya Ikulu haikutaja sababu za kutumbuliwa kwake, lakini hisia za wachambuzi wengi wa kisiasa, wanasema ni kutokana na Profesa Mwandosya kuwa ni mkosoaji mkubwa wa Rais Magufuli kupitia ukurasa wake wa Twitter

Ikumbukwe kuwa ni siku chache zilizopita, Profesa Mwandosya aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa walifundishwa misingi ya utawala bora kuwa Rais anapokusema hadharani kuwa umekosea, unalazimika siku inayofuata upeleke barua yako ya kujiuzulu nafasi hiyo

Ingawa hakumtaja kwa jina, lakini wadadisi wa mambo wamesema ujumbe huo wa Twitter ulikuwa ukimlenga moja kwa moja Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, ambaye siku chache zilizopita, Rais Magufuli aliingilia kati sakata hilo na kumwambia, Mkuu huyo wa Mkoa anapaswa kulipa kodi ya makontena hayo ya shilingi zipatazo bilioni 1.2 ambazo Mkuu huyo wa Mkoa alikuwa anataka kukwepa kulipa

Nimekuwa nikijiuliza hivi Profesa Mwandosya ni nini kosa lake, kuelezea suala "obvious" kama hilo la Mkuu wa nchi kumkosoa hadharani Mkuu wake wa Mkoa wa Dar na mkuu huyo wa Mkoa kuonyesha "kumdindia" Mkuu huyo wa nchi kwa kukataa kujiuzulu??

Suala lingine ambalo lilileta kizaazaa siku za nyuma ni kutumbuliwa kwa Waziri wa Habari wa wakati ule Nape Nnauye, kwa "kosa" la kuunda Tume iliyochunguza tukio la kuvamiwa kwa Clouds media usiku na askari wenye silaha za moto amacho kitendo hicho kilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

Kitu kilichofuata ni kila mtanzania anakijua, ni kwa Waziri huyo wa Habari kutumbuliwa

Nimekuwa pia nikijiuliza hivi kosa la Nape Nnauye lilikuwa nini katika sakata lile la uvamizi wa Clouds media kulikofanywa na askari wenye silaha za moto??

Pengine ni kuunda ile Tume yake ya uchunguzi ambayo hata hivyo yeye asingekuwa ni mwamuzi badala yake hivyo vyombo ambavyo yeye angevikabidhi ndivyo vingeamua hatma ya Mkuu wa Mkoa wa Dar

Kwa hiyo ni dhahiri kwa vitendo vinavyoendelea nchini ni kuwa Rais Magufuli hayuko tayari kukosolewa kwa ile tunayoiita "constructive criticism" kitendo ambacho anafanya kufuru kwa Mungu, kwa kuwa ni yeye pekee Mwenyezi Mungu ambaye amekuwa "exempted" kukosolewa, na sisi binadamu wote TUNASTAHILI kukosolewa ili tujirekebishe pale tulipokosea

Kwa Rais Magufuli kukataa kabisa kukosolewa ni kujitwalia nafasi ya Mungu ambapo kwa sisi binadamu tunaweza kuita kuwa anafanya KUFURU!

Mungu ibariki Tanzania
 
Inaonekana hujapata usingizi kwa ajili ya Magufuli
Ngoja nikuilize na wewe mbona umejibu chap chap, je na wewe upo kwenye "night shift" kujibu makombora ya wapinzani??

Lakini inabidi tuuseme ukweli kuwa Mkuu wetu anachofanya siyo sawa kwa yeye kujilinganisha na Mungu aliyeumba dunia na vitu vyote vilivyomo humu duniani
 
Hakuna ushauri wa maana zaidi ya hila za kumuangusha
 
And yet we continue to give power to politicians to decide and provide for the fate of this country, for the fate of our lives 🙄
Kila nikitazama miswada inayopitishwa, propaganda tunazolishwa bila kujali itikadi, elimu inavyodidimizwa, uchumi unavyosokomezwa kwenye makombe yawanasiasa huku tukionyeshwa chupa za maji nakuambiwa ni asali na mvinyo...Wananchi tumebaki na dira ya bora uhai na siyo maisha bora.
 
Kwenye nchi yoyote yenye utawala bora, ukosoaji wa serikali "constructive criticism" kutoka kwa wananchi wake kwa serikali yao ni jambo la kawaida sana na linapokekewa kwa nia ya kujirekebisha pale inapokosea

Lakini inashangaza sana kwa mtawala wetu, Rais Magufuli, kuwa hapendi kabisa kukosolewa kwa matendo anayofanya na mara nyingi anawatumbua wale wote wanaomkosoa

Kwa hiyo ni dhahiri kwa vitendo vinavyoendelea nchini ni kuwa Rais Magufuli hayuko tayari kukosolewa kwa ile tunayoiita "constructive criticism" kitendo ambacho anafanya kufuru kwa Mungu, kwa kuwa ni yeye pekee Mwenyezi Mungu ambaye amekuwa "exempted" kukosolewa, na sisi binadamu wote TUNASTAHILI kukosolewa ili tujirekebishe pale tulipokosea

Kwa Rais Magufuli kukataa kabisa kukosolewa ni kujitwalia nafasi ya Mungu ambapo kwa sisi binadamu tunaweza kuita kuwa anafanya kufuru!

Mungu ibariki Tanzania
Kwa maoni yangu, Rais Magufuli yuko right, kumtumbua mteule wake yoyote atakaye mkosoa wazi wazi yeye au mpendwa wake kwa sababu, baadhi ya teule ni heshima tuu, hisani au fadhila tuu, na kwa wateule hao, he is reachable. Kama wana uwezo to reach him na kumshauri badala ya kumkosoa, kwa nini wamkosoe hadharani?.

Kazi ya ukosoaji acha iendelee kufanywa na wapinzani na sisi watu wa nje, ambao kila uchao, tunamkosoa humu na hata kama hapendi kukosolewa, lakini hujikuta ni lazima aingie JF, na kuusoma ukosoaji wa jf na anajikuta ukosoaji huu unamsaidia zaidi kubadilika kuliko usifiaji, na kiukweli kabisa, Magufuli ni msikivu sana, anapokosolewa humu, anasikiliza na anabadilika.

P.
Rejea
Wito Kwa wana JamiiForums kuhusu ukosoaji wa Rais Magufuli - JamiiForums

Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!. - JamiiForums

Tusilalamike Tuu, Kulaumu na Kulaani Kila Kitu, Kwenye Mazuri Tupongeze, Rais Magufuli is Changing For The Better!. - JamiiForums

Rejea kuhusu ukosoaji zifuatazo hapa chini ambazo baadhi zimefanyiwa kazi na amebadilika, ambazo bado tutaendelea kuzikumbushia.

Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria! .

JF Modes, Magufuli ni Rais Wetu, Asiabudiwe, Asiogopwe, Bali Aheshimiwe!.

Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki Haki za Binaadamu?!..

Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote

Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia!. Akishika Chama, Watakoma

Magufuli, "Kama Unaona Kazi ya Urais ni Ngumu Kwako, Jiuzulu! ".

Je inawezekana huu ndio mwisho wa utumbuaji wa papara na kukurupuka?! Mkuu kutumbuliwa soon!.

Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa kiuchumi? - JamiiForums

Je, wajua amri za Rais sio final and conclusive?. Zinaweza kupigwa chini na mchanga kusafirishwa? - JamiiForums

AG, Mshauri Mh.Rais Atoe Maagizo kwa Presidential Decrees Kuyapa Nguvu ya Kisheria - JamiiForums

Japo Beggars Can Not Be Choosers, Tuache Siasa Kwenye Uchumi. We Have to Choose Or. ..

Tuache Siasa ktk Uchumi: Wachumi tuelimisheni Dhambi ya Fixed Deposit na Faida ya Fedha Kukaa tu BoT - JamiiForums

Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! . - JamiiForums

Jee Aachwe Aseme Tuu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?!. - JamiiForums

Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!. - JamiiForums

Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!. - JamiiForums
 
Vitabu vyote vya dini vinasema kuwa sisi binadamu wote tuna mapungufu yetu na tunapaswa tunapokosolewa tujitafakari na kukukubali ushauri/ ukosoaji huo

Katika vitabu hivyo hivyo vya dini vinaandika kuwa ni Mungu pekee ambaye yupo 100% perfect

Kwenye nchi yoyote yenye utawala bora, ukosoaji wa serikali "constructive criticism" kutoka kwa wananchi wake kwa serikali yao ni jambo la kawaida sana na linapokekewa kwa nia ya kujirekebisha pale inapokosea

Lakini inashangaza sana kwa mtawala wetu, Rais Magufuli, kuwa hapendi kabisa kukosolewa kwa matendo anayofanya na mara nyingi anawatumbua wale wote wanaomkosoa

Niseme wazi kuwa Rais wetu kwa kutopenda kabisa kupewa "constructive criticism" anafanya kufuru kwa Mungu, kwa kuwa vitabu vyote vya dini vinasema kuwa hakuna binadamu yoyote tokea dunia iumbwe amewahi kuwa 100% perfect

Nitatoa mifano michache kulithibitisha hili ninalolisema:-

Ni hivi Jana tu Rais Magufuli amemtumbua Profesa Mark Mwandosya, uenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mwalimu Nyerere na nafasi yake kuchukuliwa na Stephen Wassira

Ingawa taarifa ya Ikulu haikutaja sababu za kutumbuliwa kwake, lakini hisia za wachambuzi wengi wa kisiasa, wanasema ni kutokana na Profesa Mwandosya kuwa ni mkosoaji mkubwa wa Rais Magufuli kupitia ukurasa wake wa Twitter

Ikumbukwe kuwa ni siku chache zilizopita, Profesa Mwandosya aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa walifundishwa misingi ya utawala bora kuwa Rais anapokusema hadharani kuwa umekosea, unalazimika siku inayofuata upeleke barua yako ya kujiuzulu nafasi hiyo

Ingawa hakumtaja kwa jina, lakini wadadisi wa mambo wamesema ujumbe huo wa Twitter ulikuwa ukimlenga moja kwa moja Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, ambaye siku chache zilizopita, Rais Magufuli aliingilia kati sakata hilo na kumwambia, Mkuu huyo wa Mkoa anapaswa kulipa kodi ya makontena hayo ya shilingi zipatazo bilioni 1.2 ambazo Mkuu huyo wa Mkoa alikuwa anataka kukwepa kulipa

Nimekuwa nikijiuliza hivi Profesa Mwandosya ni nini kosa lake, kuelezea suala "obvious" kama hilo la Mkuu wa nchi kumkosoa hadharani Mkuu wake wa Mkoa wa Dar na mkuu huyo wa Mkoa kuonyesha "kumdindia" Mkuu huyo wa nchi kwa kukataa kujiuzulu??

Suala lingine ambalo lilileta kizaazaa siku za nyuma ni kutumbuliwa kwa Waziri wa Habari wa wakati ule Nape Nnauye, kwa "kosa" la kuunda Tume iliyochunguza tukio la kuvamiwa kwa Clouds media usiku na askari wenye silaha za moto amacho kitendo hicho kilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

Kitu kilichofuata ni kila mtanzania anakijua, ni kwa Waziri huyo wa Habari kutumbuliwa

Nimekuwa pia nikijiuliza hivi kosa la Nape Nnauye lilikuwa nini katika sakata lile la uvamizi wa Clouds media kulikofanywa na askari wenye silaha za moto??

Pengine ni kuunda ile Tume yake ya uchunguzi ambayo hata hivyo yeye asingekuwa ni mwamuzi badala yake hivyo vyombo ambavyo yeye angevikabidhi ndivyo vingeamua hatma ya Mkuu wa Mkoa wa Dar

Kwa hiyo ni dhahiri kwa vitendo vinavyoendelea nchini ni kuwa Rais Magufuli hayuko tayari kukosolewa kwa ile tunayoiita "constructive criticism" kitendo ambacho anafanya kufuru kwa Mungu, kwa kuwa ni yeye pekee Mwenyezi Mungu ambaye amekuwa "exempted" kukosolewa, na sisi binadamu wote TUNASTAHILI kukosolewa ili tujirekebishe pale tulipokosea

Kwa Rais Magufuli kukataa kabisa kukosolewa ni kujitwalia nafasi ya Mungu ambapo kwa sisi binadamu tunaweza kuita kuwa anafanya kufuru!

Mungu ibariki Tanzania
Vitabu vyote vya dini vinasema kuwa sisi binadamu wote tuna mapungufu yetu na tunapaswa tunapokosolewa tujitafakari na kukukubali ushauri/ ukosoaji huo

Katika vitabu hivyo hivyo vya dini vinaandika kuwa ni Mungu pekee ambaye yupo 100% perfect

Kwenye nchi yoyote yenye utawala bora, ukosoaji wa serikali "constructive criticism" kutoka kwa wananchi wake kwa serikali yao ni jambo la kawaida sana na linapokekewa kwa nia ya kujirekebisha pale inapokosea

Lakini inashangaza sana kwa mtawala wetu, Rais Magufuli, kuwa hapendi kabisa kukosolewa kwa matendo anayofanya na mara nyingi anawatumbua wale wote wanaomkosoa

Niseme wazi kuwa Rais wetu kwa kutopenda kabisa kupewa "constructive criticism" anafanya kufuru kwa Mungu, kwa kuwa vitabu vyote vya dini vinasema kuwa hakuna binadamu yoyote tokea dunia iumbwe amewahi kuwa 100% perfect

Nitatoa mifano michache kulithibitisha hili ninalolisema:-

Ni hivi Jana tu Rais Magufuli amemtumbua Profesa Mark Mwandosya, uenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mwalimu Nyerere na nafasi yake kuchukuliwa na Stephen Wassira

Ingawa taarifa ya Ikulu haikutaja sababu za kutumbuliwa kwake, lakini hisia za wachambuzi wengi wa kisiasa, wanasema ni kutokana na Profesa Mwandosya kuwa ni mkosoaji mkubwa wa Rais Magufuli kupitia ukurasa wake wa Twitter

Ikumbukwe kuwa ni siku chache zilizopita, Profesa Mwandosya aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa walifundishwa misingi ya utawala bora kuwa Rais anapokusema hadharani kuwa umekosea, unalazimika siku inayofuata upeleke barua yako ya kujiuzulu nafasi hiyo

Ingawa hakumtaja kwa jina, lakini wadadisi wa mambo wamesema ujumbe huo wa Twitter ulikuwa ukimlenga moja kwa moja Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, ambaye siku chache zilizopita, Rais Magufuli aliingilia kati sakata hilo na kumwambia, Mkuu huyo wa Mkoa anapaswa kulipa kodi ya makontena hayo ya shilingi zipatazo bilioni 1.2 ambazo Mkuu huyo wa Mkoa alikuwa anataka kukwepa kulipa

Nimekuwa nikijiuliza hivi Profesa Mwandosya ni nini kosa lake, kuelezea suala "obvious" kama hilo la Mkuu wa nchi kumkosoa hadharani Mkuu wake wa Mkoa wa Dar na mkuu huyo wa Mkoa kuonyesha "kumdindia" Mkuu huyo wa nchi kwa kukataa kujiuzulu??

Suala lingine ambalo lilileta kizaazaa siku za nyuma ni kutumbuliwa kwa Waziri wa Habari wa wakati ule Nape Nnauye, kwa "kosa" la kuunda Tume iliyochunguza tukio la kuvamiwa kwa Clouds media usiku na askari wenye silaha za moto amacho kitendo hicho kilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

Kitu kilichofuata ni kila mtanzania anakijua, ni kwa Waziri huyo wa Habari kutumbuliwa

Nimekuwa pia nikijiuliza hivi kosa la Nape Nnauye lilikuwa nini katika sakata lile la uvamizi wa Clouds media kulikofanywa na askari wenye silaha za moto??

Pengine ni kuunda ile Tume yake ya uchunguzi ambayo hata hivyo yeye asingekuwa ni mwamuzi badala yake hivyo vyombo ambavyo yeye angevikabidhi ndivyo vingeamua hatma ya Mkuu wa Mkoa wa Dar

Kwa hiyo ni dhahiri kwa vitendo vinavyoendelea nchini ni kuwa Rais Magufuli hayuko tayari kukosolewa kwa ile tunayoiita "constructive criticism" kitendo ambacho anafanya kufuru kwa Mungu, kwa kuwa ni yeye pekee Mwenyezi Mungu ambaye amekuwa "exempted" kukosolewa, na sisi binadamu wote TUNASTAHILI kukosolewa ili tujirekebishe pale tulipokosea

Kwa Rais Magufuli kukataa kabisa kukosolewa ni kujitwalia nafasi ya Mungu ambapo kwa sisi binadamu tunaweza kuita kuwa anafanya kufuru!

Mungu ibariki Tanzania
unapoteza muda

utaelewa siku ukichoka
 
Ukishajua kuwa wanaomsifia hata ujinga ndio wanalamba vyeo.. haina haja ya ku'search ubongo wa mtu huyo.
Yule jamaa hata darasa la 4 akimuuliza ni akina nani Wametufikisha hapa... Atamjibu ni WAZUNGU.
 
Back
Top Bottom