Rais Magufuli azindua rada ya kuongozea ndege

Rais Magufuli azindua rada ya kuongozea ndege

Rais Magufuli amesema ufisadi wa fedha ya rada ulisababisha waziri wa Uingereza kujiuzulu kwa hiari lakini yule wa Tanzania aliendelea kula bata.

Ashukuru ni zama zile lakini ingekuwa ni awamu ya 5 hii....hii....hii asingepona, amesisitiza Rais Magufuli.

Wadau nikumbusheni huo mkasa wa rada tafadhali

Maendeleo hayana vyama!
1.5 trillion ziko wapi , asitufanye sisi wajinga! yeye kwenye barabara muulize zile complex Chato hela alizitoa wapi? acha hizo johnthebaptist
 
Kumbe enzi zile JK alikuwa na makandokando mengi sana, aisee anamuaibisha sana, wastaafu wa CCM mnatia aibu
 
Speaker aache kusema uongo hakuna chochote alichofanya kwenye sakata la radar. Sakata zima liliibuliwa na ‘Serious Fraud Office’ (SFO) ni branch ya UK justice system, wenye majukumu ya kuchunguza ufisadi wa juu nchini mwao.

Wao ndio waliochunguza BAA kampuni iliyouza radar mbovu na kuibua sakata mpaka likafika bunge la UK na kuamuliwa warudishe hela.

Baada ya hapo ndio viongozi watanzania kusikia wanatetewa huko wakaanza kutafuta cheap political points, lakini hakuna lolote walilofanya Tanzania na walikuwa washapigwa bila SFO.
 
Serikali inafanya biashara

Hafu inatumia nguvu zake kuumiza wengine kibiashara

Halafu inajisifia

Only in tanzania made in africa
 
Kesi ya jinai haina ukomo wa kisheria mbona washauri wa rais wanashindwa kumshauri hili kama anamaanisha? Ina maana rais hafaham sheria zetu kweli?
 
Presida ananipaga raha sana hivi hawaji wahusika mbona kama yy ni mgeninkwa Tanzania any way mambo ya siasa
 
Kwani jinai ina expire date?As long as ushahid upo adeal naye tu!Au protocol ipoje?
 
Yaani sijui ni kwa nini ametaja jina lake kwa kugugumia...
Imeniuma sana aisee, kusema jimbo lake lilitelekezwa...
Yaani marisasi yote yale aisee[emoji22]
Usilitaje bure jina la lissu inatetemesha
 
Back
Top Bottom