Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,686
- 12,016
Huyu Mzee masaa 24 anachapa kazi safi sana
Tanzania inakimbia kimaendeleo
Tanzania inakimbia kimaendeleo
Karibu
Updates;
Sasa shehe wa bakwata anasoma dua sasa la kumuombea Rais Magufuli.
Katibu mkuu wa CCT padre Richard Kamenya sasa anafanya maombi maalum ya kumuombea Rais Magufuli na taifa kwa ujumla.
Sasa ni utamnulisho wa viongozi walioalikwa wakiongozwa na Spika Ndugai.
Unataka nikutikise wapi comradeTusha mzoea uyu nae atikisi saivi
Wewe mambo ya Teknolojia huyajui, nyamaza tu.
Ndege zetu ziko salama sasa.
Mwanzoni hazikua salama,
Hahahaha!!!!!! Daaah hii kibokoTulia uandike vitu visomeke wacha kiherehere kama buku 7 utapata tu
Hahahaha!!!!!! Daaah hii kiboko
Hongera muheshimiwa Magufuli, nchi inapepea, mambo yanazinduliwa makubwa, historia inaadikwa upya.
Naona spika ndugai anaendeleza siasa hata pasipostahili...
Kamtambulisha kwa rais mbunge wa singida mashariki na kusema kuwa eti wananchi wa "wilaya ya ikungi sasa wana mwakilishi baada ya muda mrefu kupita..."