Rais Magufuli azindua rada ya kuongozea ndege

Rais Magufuli azindua rada ya kuongozea ndege

Unafikiri wote tunaishi kwa nguvu ya dozi kama wewe?

Basi nenda milembe.. nimekujibu umekaa unafurahia kalale sasa.. kweli wewe hutaacha kuwa 💀. Upinzani koko hamna hoja ya maana hata kidunchu..
 
kuna issues zinafanyika idea zinachukuliwa humu jf kama hii issue ya radar wahusika hawatoi hata shukurani
 
Fuatilia kupitia TBC1 na Ikulu Online Tv. Mgeni Rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Rada hiyo ni kwa ajili ya kuongozea Ndege katika viwanja vya Ndege vya Dar es Salaam, Mwanza, kilimanjaro na Songwe



=> Mh. Rais kutoka bungeni tumekuja na wabunge kutoka mkoa wa Dar es Salaam na kwengineko wa kamati ya ujenzi, miongoni mwa wabunge hao kuna mwana kamati mpya ambaye ni mbunge Mtaturu - Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai

=> Mh. Rais miaka kumi iliyopita ilinunuliwa Rada ambayo iliambatana na kashfa katika ununuzi wake kupitia kampuni moja kubwa sana ya mitambo ya uangalizi wa anga - Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai

=> Mh. Rais mimi na timu yangu tulienda Uingereza kupambania kurejeshwa kwa fedha zetu paundi milioni 75 na tukafanikiwa, naomba nikupongeze wewe kwani kipindi chako imenunuliwa rada bila rushwa yoyote - Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai

=> Mh. Rais kipekee kabisa napenda kukupongeza kwa kukubali kuhudhuria uzinduzi huu - Waziri wa uchukuzi, Isack Kamwelwe

=> Mh. Rais ili kuhakikisha kuwa mifumo ya rada zote zinafanya kazi kwa ufanisi tumeingia mkataba utaowezesha vipuri kupatikana kwa uhakika katika kipindi cha miaka 15 - Waziri wa uchukuzi, Isack Kamwelwe

=> Nyote huwa mnajua mimi huwa sipendi kabisa miradi inayoishia njiani, na ndio maana leo nimefurahi sana - Rais wa Jamhuri ya Tanzania, John Pombe Magufuli

=> Naomba nimpongeze kwa dhati mkurugenzi mkuu wa TCAA Johari, sina zawadi ya kumpa ila mwaka huu akitaka kwenda hija nitamlipia gharama - Rais wa Jamhuri ya Tanzania, John Pombe Magufuli

=> Kwakweli Johari wewe ni johari kweli kwenye kazi, yaani kwenye ufanisi wa kazi yupo makini sana, ningekuwa na binti ningempa - Rais wa Jamhuri ya Tanzania, John Pombe Magufuli

=> Aliyetuuzia rada kule Uingereza alijiuzuru, lakini wa kwetu hapa sijui kama kuna mtu alijiuzuru labda siku zijazo waamue kufanya hivyo - Rais wa Jamhuri ya Tanzania, John Pombe Magufuli

=> Shirika letu la ndege linafanya vizuri sana mkiona ndege zetu zinakamatwa msishangae - Rais wa Jamhuri ya Tanzania, John Pombe Magufuli

=> Ushahidi wa kwamba shirika letu linafanya vizuri, siku za nyuma tulikuwa tunamiliki asilimia 3 tu lakini hivi sasa tunamiliki asilimia 70 ya safari zote za Anga - Rais wa Jamhuri ya Tanzania, John Pombe Magufuli
Ccm katika upumbavu wao wa hali ya juu,uyo ndugai ambaye sheria hazijui na hata kujieleza hajui aliwezaje kurudisha hela za rada Kama sio uongo sh**nzi type

Anachoweza ni kumsifia jiwe,kumuunga mkono katika juhudi za kuwadanganya wa tz na kuminya wabunge wa upinzani.

Huyo jiwe ndio usiseme kabisa Kama alivyosema kuna malaika walioasi kuja kutesa watu Tanzania,nao ni Ccm yeye akiwa Malaika muasi zaidi.
 
1568655652391.png


Rais John Magufuli amezindua rada mbili za kuongozea ndege ikiwemo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimajaro (KIA). Akizungumza katika uzinduzi huo, Jumatatu, Rais Magufuli amesema mradi huo wa rada ni maendeleo makubwa kwa sekta ya anga ikiwa ni pamoja na kuimarisha ulinzi.

Kwa mujibu wa Rais Magufuli maendeleo hayo ya sekta ya anga ni muhimu pia kwa shirika la ndege la taifa ATCL ikizingatiwa kuwa hapo awali lilikuwa linashikilia asilimia 3 tu ya soko lakini sasa linashikilia asilimia 75 ya soko la ndani.

“Uwepo wa mradi huu wa rada utavutia mashirika mengi zaidi kuleta ndege zao nchini na hivyo watalii wataongezea, ndege zinazokatiza anga nchini Tanzania pia zitaongezeka hivyo tutaongeza mapato kutokana na tozo za kuongozea ndege,” amesema. Mradi huo wa rada ni wa thamani ya bilioni 67.3/- fedha ambazo zimetolewa na serikali kutokana na kodi wanazolipa wananchi
.
 
Back
Top Bottom