Rais Magufuli azindua rada ya kuongozea ndege

Rais Magufuli azindua rada ya kuongozea ndege

Wanatafuta kiki kupitia hoja dhaifu na watawapata watu wenye udhaifu wa kufikiri
Speaker aache kusema uongo hakuna chochote alichofanya kwenye sakata la radar. Sakata zima liliibuliwa na ‘Serious Fraud Office’ (SFO) ni branch ya UK justice system, wenye majukumu ya kuchunguza ufisadi wa juu nchini mwao.

Wao ndio waliochunguza BAA kampuni iliyouza radar mbovu na kuibua sakata mpaka likafika bunge la UK na kuamuliwa warudishe hela.

Baada ya hapo ndio viongozi watanzania kusikia wanatetewa huko wakaanza kutafuta cheap political points, lakini hakuna lolote walilofanya Tanzania na walikuwa washapigwa bila SFO.
 
siku za nyuma 3% za usafiri wa anga lakini sasa hivi 70% HONGERA RAIS WETU AWAMU YA TANO INACHAPA KAZI KWELI.
 
Waling'amua sema walikuwa sehemu ya upigaji
Sasa Spika anataka kongole kwa kudai tu warudishiwe pesa ili hali ilitakiwa iwe limeibukia Bungeni na Wauzaji/Wazungu wabaki kama wadaiwa.
 
Chuki zisizo kua na mdomo wa mku.du, hivi ni lazima uchukie kila kitu au upinge kile kitu?
EEkQRoIXUAA_XeR.jpg:small
 
nilijua tunazindua kitu chetu wenyewe yaani made in TZ ala kumbe ni cha mabeberu wametuuzia.
 
Mh. Rais wangu, hongera kwa hili, ila nikushtue kidogo tu, Johari hajui lolote kuhusu mambo ya anga, sio mtaalamu ya mambo anga hata kidogo, hivyo jua hilo vema, TCAA inafaa iwe na DG ambaye ni mtaalmu wa mambo ya anga. Hivyo pata taarifa ya haya vema utajua ukweli halisi.
 
Marais wote duniani wangekuwa wanazindua na kufungua kila kinachotokea live, nadhani wasingepata hata nafasi ya kufanya jingine na tv zingepata hasara ya kudumu. Rada afungue Rais wakati waziri wa mawasiliano yupo? am not Biased but we have gone too far. Tunaonekana kituko kwa watu wanaosoma mitandao yetu. Tushukuru nyingi ni kibongo bongo tu.
 
Serikali inafanya biashara

Hafu inatumia nguvu zake kuumiza wengine kibiashara

Halafu inajisifia

Only in tanzania made in africa
Anamsifia Johari na Kamwele kwa kuwahujumu fastjet ,Fastjet msingewahujumu zile ATR zao kwa ajli ya kigoma,Tabora na bukoba mngefunga shirika lenu,unavyomsifia unataka aendelee kuhujumu mashirika mengine ili waendelee kusavaivu Mkuu.

Dream liner imekuja hapa imeanza route bila kufanya Demo flight,hata Airbus wakati Fastjet kila ndege ikija hapa lazima wafanye Demo flight na usumbufu mkubwa lakini shirika la magufuri wanafumba macho.TCAA wajiangalie,ICAO watakuja kufanya yao.
 
Back
Top Bottom