Rais Magufuli azindua mwaka mpya wa Mahakama. Atoa dukuduku la moyoni, hakukuta fedha za Mishahara

Kwa Mara ya kwanza nilipoviona nikamwambia muhusika "hakuna kitambulisho hapa". Vile vitambulisho ni utumbo mtupu kabisa. Ule ni wizi wa mchana kweupe.

Sasa umefika wakati tu harmonise hizi national IDs zetu. Utakuta mtu ana Driving ID, Voter ID, NIDA ID etc. Sasa yatupasa tuwe na ONE ID inayo jumuisha hizo IDs zooteee.

Afu Nashangaa sana wanapoandika eti Expiration date, huu ni umaandazi na wizi kabisa. Ina maana baada ya hiyo miaka wanapiga tena. ID inatakiwa iwe forever. Mtu akipoteza au ID ikiharibika ndo anaenda ku renew na hapo wanatakiwa waweke small renewal fee.

Huyu Dickson Mwaimu ni wakumnyonga mchana kweupe kabisa. Ni jitu lishenzi sana.
Friend,
You're right. The NIDA thing is "superfluous" fuckn shit!. In additional, Mr Dickson Maimu is our Man from "undisclosed" institution. So let's expect nothing,rather gibberish flip-flop. Imekula kwetu.
 
Kiongozi nakuunga mkono asilimia 100., kwakweli nchi yetu inasikitisha sana, viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza taifa wanatuhujumu kwa namna ya kusikitisha sana,, leo watu wanasifia maendeleo ya china, USA etc lakini wanasahau kwamba maendeleo yanaitaji uwezo mkubwa wa kubuni mipango na kusimamia rasilimali za taifa vizuri, Kwa kweli magufuli anaitaji bunge limsaidia, CAG amsaidie ili kuhakikisha fedha za umma zinatumika kwa manufaa ya taifa zima.

..uko sahihi 100%.

..ila mimi naona Magufuli anataka kuendesha nchi kwa mtindo wa one-man-show.

..anataka yeye awe ndiyo Raisi, bunge, na hata anataka kuipangia mahakama namna ya kuhukumu.

..Magufuli hatakiwi kuliziba mdomo bunge, na kuwaficha wananchi wasijue nini kinaendelea bungeni.

..salama yetu ipo ktk kuhakikisha BUNGE linakuwa na MENO, MAHAKAMA zinakuwa SAFI na EFFICIENT, pamoja na SERIKALI inakuwa more TRANSPARENT.
 
Mshahara wa TZS Mil 35 siyo issue kabisa. Issue hapa huyu mtu kwenye taasisi hiyo anayofanya kazi uwepo wake kwenye nafasi hiyo inaliingizia shirika Shs ngapi? Tuache mawazo ya mgando ya Kijamaa, Dunia ya leo ajira ni product which trades in the labour market just like any other commodity. A commodity price is determined by its value, scarcity,and its comparative advantages in other aspects. Jambo ambalo tunatakiwa kujiuliza mtu huyu anayelipwa hiyo Tzs mil 35 anazo sifa hizo? is he / she an asset to the institution ?Is there another better and cheap option left out?

..looks like Magufuli anamlia pumzi jamaa anayelipwa mil 35 kwa mwezi.

..hiyo haijalishi kama jamaa analiingizia shirika faida kiasi gani.
 
Kwa Mara ya kwanza nilipoviona nikamwambia muhusika "hakuna kitambulisho hapa". Vile vitambulisho ni utumbo mtupu kabisa. Ule ni wizi wa mchana kweupe.

Sasa umefika wakati tu harmonise hizi national IDs zetu. Utakuta mtu ana Driving ID, Voter ID, NIDA ID etc. Sasa yatupasa tuwe na ONE ID inayo jumuisha hizo IDs zooteee.

Afu Nashangaa sana wanapoandika eti Expiration date, huu ni umaandazi na wizi kabisa. Ina maana baada ya hiyo miaka wanapiga tena. ID inatakiwa iwe forever. Mtu akipoteza au ID ikiharibika ndo anaenda ku renew na hapo wanatakiwa waweke small renewal fee.

Huyu Dickson Mwaimu ni wakumnyonga mchana kweupe kabisa. Ni jitu lishenzi sana.
1. Kuna watu wengi ni watanzania lakini sio madereva.
2. Kuna watu wengi ni watanzania lakini hawana sifa ya kupiga kura
3. Kuna watanzania wengi wenye sifa ya kupiga kura lakini sio madereva.
4. Kuna madereva wengi wanaendesha magari nchini lakini sio watanzania na wala hawana sifa ya kupiga kura.
Therefore: Huwezi kuunganisha ID card, driving licence na Voting card iwe kitu kimoja

5. IDs zinakuwa na expiration date na ni sahihi kabisa. Binadamu sio ''static creature'' kwani anabadilika kimaumbile na kihali hivyo ukipewa ID card ukiwa na miaka 18, utakapofikisha miaka 60 utakuwa umebadilika sura nk. Na ndio maana hata passport zinakuwa na mwisho wa matumizi.
 
..ndugu zangu hebu tujikumbushe hotuba ya Dr.John Pombe Magufuli aliyoitoa Runzewe, Geita.

..hii ni moja kati ya hotuba ambazo Dr.Magufuli alimwagia sifa kemkem Raisi Kikwete, huku akiwananga wale waliokuwa wakiuokosoa utawala wa awamu ya nne.

..sasa fast forward na linganisha hotuba aliyoitoa jana wakati akizungumza na Majaji wa Mahakama kuu.

..sikiliza hotuba ya Magufuli hapa chini haswa kuanzia dakika ya 10.




cc The Boss, Nyani Ngabu, Ritz, Mmawia, Lizaboni, Kiranga
 
Fisadi wenu aliunga Mkono rasimu ya Katiba mpya iliyoandaliwa na Bunge la Katiba kwa 100%. Jana akiongea na Vizee vya Ukawa anasema haifai tuanze upya kuipigania ya Warioba!
 
Hahaaa kazi kweli kweli, nimeona vitambulisho vingi vya taifa havina signature, na vina expire date, nadhani tungempata mtu wa Nida angetuelishisha zaidi kwasababu tangu mradi unaanza walishawahi kuulizwa hili suala, expire date ni kawaida kabisaa kwasababu watu wanakufa, wanabadilika sura nk binafsi nadhani angeenda kutumbua tuu majipu ya maliasili, madini na tanesco alafu na hawa jamaa wa Nida watoe uzi wao wajibu maswali ya wengi ila wenye hatia wapelekwe korokoroni,,
 
Fisadi wenu aliunga Mkono rasimu ya Katiba mpya iliyoandaliwa na Bunge la Katiba kwa 100%. Jana akiongea na Vizee vya Ukawa anasema haifai tuanze upya kuipigania ya Warioba!

Lowassa apiganie katiba ya Warioba ajikaange mwenyewe!? Hii ni ndoto ya mchana.
 
Makufuri akitaka kumaliza mchezo wote abadilishe katiba. Huu mwingine ni usanii tu.

Unataka abadilishe katiba yote au baadhi ya vipengele tu? Na kwanini abadilishe kwani hii ya sasa ina ubaya gani?

Wakati mwingine jifunze kutoa maoni kama mtu mwenye akili timamu. Yani uzalendo na uchungu anao onesha Mh. Rais, wewe unasema ni usanii...hivi wewe zimo kichwani kweli?
 
Unataka abadilishe katiba yote au baadhi ya vipengele tu? Na kwanini abadilishe kwani hii ya sasa ina ubaya gani?

Wakati mwingine jifunze kutoa maoni kama mtu mwenye akili timamu. Yani uzalendo na uchungu anao onesha Mh. Rais, wewe unasema ni usanii...hivi wewe zimo kichwani kweli?
Siku zote kichaa watu ambaoa wanaakili zao timamu yeye ndio anaonaga hawana akili kwa mfano wewe apo.
Unashindwa kutofautisha mambo na hauna kumbukumbu vizuri kwasababu tayari ulisha chukuliwa jini na ccm.


Ivi unajua hiyo mahakama ya mafisadi ipo toka kipindi cha sokoine ila imeshindwa kuwa na nguvu kutokana katiba iliyopo.

Ivi unajua rais naye anaweza kukosea na akapita njia isiyo sahihi lakini baadaye akakumbuka alikosea sehemu flani.

Kwasababu ya ukichaa chako kinacho tokana na njaa kal usiwe na tabia ya kuogopa kuongea kitu ambacho unaona kiongozi amekosea kwa maslahi ya nchi yako kenge wewe.
 
Mahakimu wasingependa kesi zao zisikilizwe live kwa maana nyingi zina madudu kwa vile hazina maamuzi ya kisheria/
 
Nakuhurumia sana, hili jukwaa sio size yako...umeandika pumba tupu!
Tena wewe hili jukwaa ndio sio saizi na tena watu wa ccm mjifunze siasa. Siasa sio kulopoka lopoka.
Wewe huwezi kuniambia mimi sina akili kwasababu tupo kwenye jukwaa la siasa.
Ili uonekane wewe unajua siasa mbele ya wanaccm wenzako wakati wewe haunijui mimi na mm sikujui na hao unao waambia hivyo hawanijui.
Msipende kujitafutia sifa za kijinga kwa kutukana watu bila sababu za msingi
Na jaribu kuitumia mitandao ya kijamii vizuri itakusaidia.
 
Tena wewe hili jukwaa ndio sio saizi na tena watu wa ccm mjifunze siasa. Siasa sio kulopoka lopoka.
Wewe huwezi kuniambia mimi sina akili kwasababu tupo kwenye jukwaa la siasa.
Ili uonekane wewe unajua siasa mbele ya wanaccm wenzako wakati wewe haunijui mimi na mm sikujui na hao unao waambia hivyo hawanijui.
Msipende kujitafutia sifa za kijinga kwa kutukana watu bila sababu za msingi
Na jaribu kuitumia mitandao ya kijamii vizuri itakusaidia.

Mkuu, tafadhali bwana wapi nimekutukana? Hebu weka hapa hayo matusi niliyokutukana. Ukishindwa kuyaweka hapa wewe utakuwa mnafiki.
 
Rais Dk John Pombe Magufuli ameitaka mahakama nchini kuharakisha mchakato wa kuanzisha mahakama ya Mafisadi ili kuwashughulikia mafisadi wote. Amesema kuwa wakati akizindua Bunge, aliahidi kuanzishwa kwa mahakama hiyo hivyo ni wakati sasa wa Mahakama Kuu kutekeleza ahadi hiyo ya Rais.

Ametolea mfano kuwa Mamlaka ya Vitambulisho, NIDA imefanya ufisadi mkubwa huku ikiwa na ufanisi mdogo. Amesema kuwa vitambulisho vilivyotolewa na NIDA havina ubora na wala havina saini ya mmiliki wa kitambulisho tofauti na Vitambulisho vya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambavyo vina saini za mwenye kitambulisho. Aliwaomba Majaji kama kuna mwenye kitambulisho cha Taifa chenye saini yake anyooshe mkono. hakuna Jaji hata mmoja aliyefanya hivyo kwa vile vitambulisho vya NIDA havina saini za wenye kitambulisho. Aidha amesema kuwa NIDA wametumia zaidi ya Bilioni 176 huku wakitoa vitambulisho pungufu ya milioni mbili lakini NEC wametumia bilioni 70 tu na wametoa vitambulisho zaidi ya milioni 22 tena vyenye ubora.

Vile vile amesema kuwa wakati anaingia madarakani, ilikuwa ni vigumu kwa serikali kulipa mishahara ya Watumishi wakati bandarini watu wakitorosha makontena na kuikosesha serikali mapato mengi.

Amesema kuwa anatambua kuwa mafisadi yanayo uwezo wa kuhonga majaji na mahakimu ili yashinde kesi. Hata hivyo amesema kuwa ana imani na Jaji Mkuu na hivyo ni matumaini yake kuwa atasimamia walio chini yake ili haki itendeke.

Kwa kweli kutoka ndani ya moyo wangu, napenda kukiri kuwa Watanzania tumepata Rais. Huyu Magufuli ndiye tuliyekuwa tunamsubiri Watanzania kwa hamu baada ya Sokoine na Nyerere. Shime Watanzania tumuunge mkono ili nchi isonge mbele

chalinze stadium 2.2
 
Back
Top Bottom