mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Nawe hilo nalo jambo au! Chuki za kitoto hizo wala kuandika hivyo hakikupi chakula, kazi, fedha au chochote, zaidi ya wewe kuonesha fikra zako za kitoto. Lakini kwa kuwa umejificha kwenye ID fake unajiona shujaa, kumbe mwoga kuliko.Nimemsikia rais akisema kwamba amemtuma kinana kwenda india kutibiwa.
Hivi jamani mtu atatumwaje kwenda kutibiwa? Sikuhizi haeleweki kabisa huyu mzee