christelly
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,464
- 1,463
D
Raisi wako kipenziNakutakia safari njema rais wetu kipenzi
Makonda yupo ziarani wilaya ya Temeke nafikiri yupo Mbagala now...Kijana anaonesha kuwa creative hasa katika miundo mbinu, kero za jamii...ndio maana anapewa xposure akutane na wadau alete impact! Nitajie jina la mkuu wa mkoa wa Iringa kama unamjua haraka haraka hajulikan
Shida lughaUlaya je
Shida lugha
Wataongea kiingereza au kiswahili?
Heko heko hatimae Mr President ameanza kushiriki vikao vya kimataifa....
Ngoja akachukue uzoefu kwanza mdogo mdogo ataanza kuhudhuria vikao vya UN....
Goodluck Mr President JPM....