Nenda wewe kama unataka. Usiwapangie watu wengine.Ulaya je
Nenda wewe kama unataka. Usiwapangie watu wengine.
Mwenzako anakwenda Uganda wewe unaanza oh Ulaya, sijui nini.Nampangia nani na kwani kuna nn
MnyetiKijana anaonesha kuwa creative hasa katika miundo mbinu, kero za jamii...ndio maana anapewa xposure akutane na wadau alete impact! Nitajie jina la mkuu wa mkoa wa Iringa kama unamjua haraka haraka hajulikan
Mwenzako anakwenda Uganda wewe unaanza oh Ulaya, sijui nini.
Mwenzako anakwenda Uganda wewe unaanza oh Ulaya, sijui nini.
Huo sio mkutano wa kukopa, bali ni wa viongozi wa EAC. Sasa wewe unataka asihudhurie na badala yake aende Ulaya; akafanye nini huko?Aaaah kwa mzee M7 hamna jipya kule mkuu, aende kwa wakoloni wetu angalau watamkopesha maisha yakae kwenye mstari kama mwanzo, hali mbaya huku mtaani sikia tu we si upo kwenye kiyoyozi hapo, aende Marekani, Ulaya na Asia ndio maendeleo yapo kule watamkopesha Collateral tunazo nyingi sana
Nani asihudhurie mkuuHuo sio mkutano wa kukopa, bali ni wa viongozi wa EAC. Sasa wewe unataka asihudhurie na badala yake aende Ulaya; akafanye nini huko?
Usijali mkuu hatugombani, next time!Daaah ngoja nikimbie hapa hapafai
Usijali mkuu hatugombani, next time!
Mkutano unaendeshwa kwa lugha gani?
NdegeSafari njema rais wangu mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI.
Ameenda na wakalimani wangapiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli leo Jumatano ya Februari 21,2018 ameondoka jijini Dar es Salaam kuelekea kKmpala nchini Uganda kushiriki mkutano wa siku mbili wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki unaofanyika Kampala nchini Uganda.
View attachment 699047
Akiondoka nchini uwanja wa JNIA
View attachment 699048
Akiwa ameshawasili Uganda
View attachment 699070
View attachment 699071
Du yuu ravu korapsheniHeko heko hatimae Mr President ameanza kushiriki vikao vya kimataifa....
Ngoja akachukue uzoefu kwanza mdogo mdogo ataanza kuhudhuria vikao vya UN....
Goodluck Mr President JPM....