Rais Magufuli awasili nchini Uganda kushiriki mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki

Tunaomboleza Akwilina bana acheni hizo habari,yaani hapa nimelia sana sana itabidi nikapate stata ya safari baridi hapa mgombani nirudi niendelee kulia, hizo habari baada ya kuzika Ijumaa wajameni
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli leo Jumatano ya Februari 21,2018 ameondoka jijini Dar es Salaam kuelekea kKmpala nchini Uganda kushiriki mkutano wa siku mbili wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki unaofanyika Kampala nchini Uganda.

View attachment 699047

Akiondoka nchini uwanja wa JNIA
View attachment 699048

Akiwa ameshawasili Uganda
View attachment 699070

View attachment 699071
Kuhusu picha ya kwanza naomba kuuliza hivi kiitifaki si ilipaswa bashie awe kushoto halafu rais awe kulia kwasababu ndiye mkubwa? Halafu hivi kazi ya body guard wa rais ni kumlinda au kubeba mkoba wa rais? Sasa kukiwa na dhahama atafanyaje wakati huo huo amebeba mkoba?
 
Makonda kanenepa
Sasa ana shida gani hadi akonde? Hana mtoto wa kumpa majukumu makubwa wala kumsomesha pesa anazo za kula yeye na nkewe cha zaidi nini? Uhakika wa kazi bila kuguswa kuhusu cheti anao kutokana na protection ya mfalme. Why should he worry?
 
Kuhusu picha ya kwanza naomba kuuliza hivi kiitifaki si ilipaswa bashie awe kushoto halafu rais awe kulia kwasababu ndiye mkubwa? Halafu hivi kazi ya body guard wa rais ni kumlinda au kubeba mkoba wa rais? Sasa kukiwa na dhahama atafanyaje wakati huo huo amebeba mkoba?

Aliebeba mkoba sio bodyguard huyo ni mpambe wa Rais kwa kiluguru ni Aide de Camp ama ADC, wanajua mgawanyiko wa kazi wenyewe wapo, huyo kiongozi wa zamu kwa wakati wake ametumia busara tu otherwise, angefanya kama Sam Kutesa aaah Mkuu mhurumie na msamehe bure labda apelekwe Kurasini au UDOM
 
Walinzi wetu watuhakikishie usalama wa Mh. Wetu maana kuna mauaji ya kimyakimya yanaendelea huko, wazungu wanne wameuawa kijasusi huko.
 
Back
Top Bottom