Ni kinyago chake hawezi kumhofia hata kidogo.Ila Magu sometimes anazingua sana,jana kamchamba mbamba wa watu Major General Jonh Mbungo.. Hivi huyu mzee mbona hatabiliki? Last time alimsifu Dkt Mwinyi,kua anaongea vizuri na wanajeshi,ila yeye kampasua Major General tena mbele ya makamera! Mzee Magu kuna siku utavuka mipaka utamsema General Mabeyo!
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Ameshakamata idara zote hana Cha kuhofia...Sasa hivi Taasisi ya Jeshi inapewa makavu live..maana ndio taasisi iliyobaki ambayo alikuwa na woga nayo.Brigedia jenerali aliposikia kwamba zile nyota zinaweza punguzwa aliweweseka masikini dah..Magu anamisifa sana
Aendelee tu kuwaaibisha wanajeshi tena mbele ya raia. Nyerere angekuwa hai angemwambia, chezea taasisi zote ila sio JWTZAmeshakamata idara zote hana Cha kuhofia...Sasa hivi Taasisi ya Jeshi inapewa makavu live..maana ndio taasisi iliyobaki ambayo alikuwa na woga nayo.
Ndio waweke banahebu wekeni hiyo clip bhana
Tatizo lako huekeweki tusipojipendekeza unatutosa tukijipendekeza unatusema hizi tabia za kengeGENTAMYCINE nami sasa naongezea ( nakazia ) hapo hapo kwa kusema..." Enyi Wakubwa wote ninaowateua katika Nafasi zenu mbalimbali Msijependekeze tu Kwetu Uzanakini Mkoani Mara ( Musoma ) bali naomba sasa mtawanye Maendeleo Tanzania nzima na kwa Kuanzia mnaweza mkaenda Chato Geita pale mkajenga hata Uwanja wa Ndege kwani hawana, na pia kuwepo na Benki kama ya CRDB na kuwa si mbali na Ziwani na kuna Wanyama wengi mnaweza mkaweka na Mbuga ya Wanyama, "
Pelekeni pia Maendeleo huko Kagera kwa Wahaya, Singida kwa Wanyiramba na Warangi, Kigoma kwa Waha, Dodoma kwa Warangi na Mwanza kule Kisiwani Ukerewe kwa Wakara kwani na Wao wanahitaji na wapenda Maendeleo kama haya ' Mnayojipendekeza ' kila Siku kuyaleta hapa mkoani kwangu Mara ( Musoma ) Mimi Rais GENTAMYCINE. Sitaki kila Maendeleo muwe mnayaleta tu hapa Mkoani Mara na mkiendelea na hii tabia ya ' Kujikomba ' Kwangu kuna Siku nitampiga Mtu Ngumi hadharani labda ndiyo mtanielewa.
Sijui ni nani anawadanganya kuwa Magufuli hana werevu wa kuzitambua hila mbalimbali.
Watendaji wanatakiwa wafanye kitu Chato kwa sababu kinahitajika kufanyika, siyo kwa kujipendekeza kwa Rais. Tena ingekuwa ni vema jibu lile la Rais lingeambatana na barua ya onyo na kushushwa cheo kwa kosa la kutaka kumhadaa Mkuu wa Nchi.
Nampa kura kwa haya maneno tu....