Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,274
Bila kupepesa maneno.Shikamoo president
Bila kupepesa maneno.Shikamoo president
Ingefaa uwe secretary wa Magu.kumbe katerero ni kitu kikubwa eeeh?
ila nadhani inaharibu sana papuchi sitaki hata kuisikia
ushawai kufanya katerero?Ingefaa uwe secretary wa Magu.
Hivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
5uma huwa haiharibiki wew!kumbe katerero ni kitu kikubwa eeeh?
ila nadhani inaharibu sana papuchi sitaki hata kuisikia
Alisema pombe ni jina tu yeye haitumii.
Hayo maneno baba ako angekuwa raisi alafu awe anayazungumza upo wewe na mama ako na wadogo zako inaonekana ungekuwa unayashangilia sana huku unamtazama mama ako or wadogo zakoniliposoma kichwa cha habari nilijua uzushi, kusikiliza clip, dah, presdient wetu sio mnafiki kabisa anapenda kusema yaliyoko moyoni kwa uwazi wote. hata lile la kuwaambia ardhi yakijani wao wanategemea msaada wa food, nampongeza.
He just call a spade a spade not a big spoon.I like his shoot from the hip style, though.
In a way it's refreshing.
No need to be too politically correct.
He just calls things as he sees them.....hahahaa.
That's wassuup.
MisconceptionItz a shame..a big shame.....kwanza uwatusi wahanga kwa dhihaka kubwakubwa....hivi huyu mtu anafikiri kweli kabla ya kutendah...!!? Kweli wana Kagera waliomba GONJWA la ukimwi kutoka kwa Mungu...!!? Je ni wao waliomba kwa Mungu awaadhibu kwa TETEMEKO.....!!? Mto Ngono umewauliza asili ya neno na maana yake au ndio akili yako Mtukufu ilipo lalia......!!? Nakumbuka umewahi kumnyanyasa kisaikolojia mama aliye ulizia HOBBIE yako ....sasa nimekuelewa....!! Je kijiji cha KATELELO umewauliza wazee wa KAGERA asili ya neno na maana yake...!!?
MAGU.....Mbona wewe unaitwa Pombe (baba wa maasi) na bado ukienda kanisani unapewa baraka...!!?
Magu..watake RADHI wana Kagera....hata kama ni watani wako...utani usiuweke katikati ya MSIBA.....
Mwisho unawadhihaki kwa kuwaambia KAGERA OYEEE...!!?
BILA CHEMBE YA AIBU...Mungu anakuona...!!