Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,444
- 25,591
Daaah!!
Magufuli amesema Kagera haipaswi kuwa ya matatizo bali ya mfano na kutolea mfano majanga yaliyotokea Kagera ya Ukimwi na tetemeko..Pia akawaambia anajua wana kijiji kinaitwa Katerero na mto unaitwa Ngono..
Magufuli amesema Kagera haipaswi kuwa ya matatizo bali ya mfano na kutolea mfano majanga yaliyotokea Kagera ya Ukimwi na tetemeko..Pia akawaambia anajua wana kijiji kinaitwa Katerero na mto unaitwa Ngono..
He was bringing life to his speech. U Take its meaning from either ends. HahahaaI like his shoot from the hip style, though.
In a way it's refreshing.
No need to be too politically correct.
He just calls things as he sees them.....hahahaa.
That's wassuup.
Hivi huwa atumii basi kama sivyo labda kuna kitu kingine sio bureHivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Magufuli amesema Kagera haipaswi kuwa ya matatizo bali ya mfano na kutolea mfano majanga yaliyotokea Kagera ya Ukimwi na tetemeko..Pia akawaambia anajua wana kijiji kinaitwa Katerero na mto unaitwa Ngono..
Nakumbuka kipindi nipo huko kikazi Bukoba.... I was so so surprised na hayo magodoro hotelini yenye nailoni kabla ya shuka.... Pia yanafanya kitanda kinakuwa cha baridi.... !!!hayo mengine aliyoyataja, achana na katerero, hayo mengine sijui yana maana gani kwa kihaya manake nimeona nshomile wamecheka kuliko hata katerero ilivyotajwa. hata hivyo wanajua kinachoendelea kwani hotel zote bukoba zina waterproof bedroom. ndio sehemu pekee tz utakuta kitu kama icho.
Mana maana yake ni **** au papuchi ni kahayaAsitaje neno MANA kwa Kagera lina maana mbaya ingawa vitabu vitakatifu vinamaanisha chakula kilichoshuka kutoka Mbinguni.
These were great learned empires. We had the Haya Empire, the Bahima Empire and the British Empire. All mate (I mean met) at Katerero village during new year cerebrations.
Hivi Magu kashawahi kuishi Kingston Jamaica? au labda ana undugu na Peter Tosh? maana sometime ananiacha mdomo wazi... eti Mto Ngono, Kamachumu au Katerero, njiapanda ya Kyetema hahaha
Mkuu BAK punguza ukali kidogo wata ku- Ben azi suun azi posiboHuku ni sawa na kumkejeli Mungu. Kwani wana Kagera waliomba haya yawapate wao toka kwa Mungu!?
Yeye mbona hasemi uchafu wake!? Uongo yeye, ufisadi yeye, utoaji rushwa yeye na mengineyo mabaya yeye.