Rais Magufuli awaombe msamaha matajiri

Rais Magufuli awaombe msamaha matajiri

usitegemee hilo kutokea mtu anayejifanya yeye ni alfa na omega kabla hakujacha jogoo kawika Mungu amempiga laana moja tu kashuka chini
 
Sahihi kabisa Mkuu. Matajiri kuchangia maafa ni wajibu wao na si hiari. Magufuli anawachora tu pembeni. Ole wao wale watakaokaa kimya.
Mkuu acha kujitoa ufahamu. Toka lini imekuwa kutoa msaada ni wajibu na sio hiari?
Rais anapaswa kuwa wa wote, na sio sahihi kusema alichaguliwa na maskini au alichaguliwa na matajiri tu!
 
Hovyo kabisa,sasa ulitaka hela atoe masikini?
Pote duniani hata marekani kina Bill Gates wanachangia maafa
Hiyo ni social responsibility yao
Chadema na ukawa mnatumia maafa kisiasa hii ni mbaya sana
Kichwa chako kina mende.
 
Hovyo kabisa,sasa ulitaka hela atoe masikini?
Pote duniani hata marekani kina Bill Gates wanachangia maafa
Hiyo ni social responsibility yao
Chadema na ukawa mnatumia maafa kisiasa hii ni mbaya sana
kiufupi umekurupuka wewe soma bandiko lote
 
Hiyo pesa isije KUPIGWA na wajanja ... Tushawazoea!
Wajanja lazima waipige hakuna jinsi watazui hilo hata Rais akichinba mkwara vipi lazima wataiba tu , Nchi hii wajanja wachache kipindi hiki wataitumia fursa hiyo hiyo kujinufaisha( kufa kufaana ) Pesa zenyewe zinachangwa hapo hapo kwenye kuchanga napo watapiga hata Pesa za kupangua UKUTA ingawa zilitoka Hazina lakini wajanja walizipiga pia .
 
Sahihi kabisa Mkuu. Matajiri kuchangia maafa ni wajibu wao na si hiari. Magufuli anawachora tu pembeni. Ole wao wale watakaokaa kimya.
Anawachora kwa mkaa au chaki? Yaani wewe sijui huwa unawaza kwa kutumia nini kwani michango yako ni ya hovyo kabisa.
Wewe unamchoraje mtu anayekusaidia kutimiza wajibu wako? Ofisi ya waziri mkuu ina kitengo cha maafa na kimepangiwa bajeti, ni wapi umesikia imetumika?
Fikiri tena namna ya kujibu hoja acha kuzirukia.
 
Hovyo kabisa,sasa ulitaka hela atoe masikini?
Pote duniani hata marekani kina Bill Gates wanachangia maafa
Hiyo ni social responsibility yao
Chadema na ukawa mnatumia maafa kisiasa hii ni mbaya sana
Respect everyone!
 
Kwa hiyo unataka Rais awe upande wa matajiri? Unaelewa athari zake? Hakika kama umelala mzungu wa nne usiku huu haifai kuja na mihasira yako hapa
Mzee hongera Kwa kupewa Kitengo cha ulaji naona unatamani Tetemeko litokee Dsm ili matajiri wengi watoe mchango nyie mjinufaishe Kwa ufujaji pesa za misaada , ( kufa kufaana ) Safari hii mkila Pesa ya misaada mtapata laana kubwa .
 
Nyie watu wote hakuna mlijualo ni wapi imeandikwa kuchangia maafa ni wajibu wa matajiri ?? Swala la kuchangia ni hiyari ,na si lazima ,hili linatokana na mtu alivyo guswa na tukio husika, na hakuna lolote la kumfanya asipo changia na ndio maana hata serikali inawaomba haiwaamrishi msiwe wajinga kiasi hiki, yaan kweli chama changu cha mapinduzi kimedumaza fikra za vijana wake wengi aisee tena wewe Lizaboni huwa ni mrukiaji wa mambo mengi ambayo huyafahamu wala huyajui huwa unatia aibu mara nyingi sana kwa kuongea nonsense ,hata kama ni kuitetea serikali wakati ,wingine unatia aibu kupindukia.
Pesa za michango ni Dili Lao akina Lizaboni ndiyo maana wamekimalia michango ili wazifuje hizo Pesa kwa kisingizio kuwa zimetumika kule bukoba .
 
Hovyo kabisa,sasa ulitaka hela atoe masikini?
Pote duniani hata marekani kina Bill Gates wanachangia maafa
Hiyo ni social responsibility yao
Chadema na ukawa mnatumia maafa kisiasa hii ni mbaya sana
Hovyo nini, aache kuropoka na kuwatenga na kauli zake... Mimi ni Rais wa Maskini! So what?
 
Pesa za kuvunja UKUTA zilipatikana haraka hata mda huu chadema wakitangaza kufufua UKUTA Pesa za kupangua UKUTA zipo nyingi sana Hazina , lakini Pesa za maafa na kunua madawati wanachangishwa watu Kisha wajanja wanaenda kuzifuja tena misaada mingi haitawafikia walengwa lakini kutakuwepo na malalamiko mengi sana.
 
Tatizo la ukawa ni uelewa mdogo wa mambo. Yaani hawama uelewa wa lolote, wala hawana uwezo wa kueleza lolote wakaeleweka.
 
Back
Top Bottom