Rais Magufuli awaombe msamaha matajiri

Rais Magufuli awaombe msamaha matajiri

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,969
Reaction score
134,071
Kusema kweli toka moyoni nimetiwa moyo sana na wafanyabiashara na matajiri kwa namna walivyojitoa kwa kuchangia zaidi ya 1.3b kwa ajili ya wenzetu wahanga wa tetemeko.Watu hawa waliochangia jasho lao wameonyesha kwamba nchi hii ni yetu sote na tunategemeana kwa hali na mali.Sisi masikini tunasema tunawapenda matajiri ilimuradi tu uwe utajiri wa halali.Binafsi huwa nasikitishwa sana na baadhi ya kauli za Rais wetu zinazoashiria kuwa upande wa masikini "Mimi ni Rais wa Masikini na wanyonge"..."Serikali ninayoiongoza imechaguliwa na masikini".Tumeona matajiri wakitufaa, kutuhifadhi na kutufuta machozi.Magufuli waombe msamaha matajiri kukosea sio dhambi
 
Kusema kweli toka moyoni nimetiwa moyo sana na wafanyabiashara na matajiri kwa namna walivyojitoa kwa kuchangia zaidi ya 1.3b kwa ajili ya wenzetu wahanga wa tetemeko.Watu hawa waliochangia jasho lao wameonyesha kwamba nchi hii ni yetu sote na tunategemeana kwa hali na mali.Sisi masikini tunasema tunawapenda matajiri ilimuradi tu uwe utajiri wa halali.Binafsi huwa nasikitishwa sana na baadhi ya kauli za Rais wetu zinazoashiria kuwa upande wa masikini "Mimi ni Rais wa Masikini na wanyonge".Tumeona matajiri wakitufaa, kutuhifadhi na kutufuta machozi.Magufuli waombe msamaha matajiri
Hovyo kabisa,sasa ulitaka hela atoe masikini?
Pote duniani hata marekani kina Bill Gates wanachangia maafa
Hiyo ni social responsibility yao
Chadema na ukawa mnatumia maafa kisiasa hii ni mbaya sana
 
Kwa hiyo unataka Rais awe upande wa matajiri? Unaelewa athari zake? Hakika kama umelala mzungu wa nne usiku huu haifai kuja na mihasira yako hapa
 
Hovyo kabisa,sasa ulitaka hela atoe masikini?
Pote duniani hata marekani kina Bill Gates wanachangia maafa
Hiyo ni social responsibility yao
Chadema na ukawa mnatumia maafa kisiasa hii ni mbaya sana
Sahihi kabisa Mkuu. Matajiri kuchangia maafa ni wajibu wao na si hiari. Magufuli anawachora tu pembeni. Ole wao wale watakaokaa kimya.
 
Kusema kweli toka moyoni nimetiwa moyo sana na wafanyabiashara na matajiri kwa namna walivyojitoa kwa kuchangia zaidi ya 1.3b kwa ajili ya wenzetu wahanga wa tetemeko.Watu hawa waliochangia jasho lao wameonyesha kwamba nchi hii ni yetu sote na tunategemeana kwa hali na mali.Sisi masikini tunasema tunawapenda matajiri ilimuradi tu uwe utajiri wa halali.Binafsi huwa nasikitishwa sana na baadhi ya kauli za Rais wetu zinazoashiria kuwa upande wa masikini "Mimi ni Rais wa Masikini na wanyonge".Tumeona matajiri wakitufaa, kutuhifadhi na kutufuta machozi.Magufuli waombe msamaha matajiri
Ahahaha,nja ya pesa ni mbaya aisee,dah!
 
We don't have time for that after all our dictionary does not contain the word samahani. Hapa kazi ty
 
Kwa hiyo unataka Rais awe upande wa matajiri? Unaelewa athari zake? Hakika kama umelala mzungu wa nne usiku huu haifai kuja na mihasira yako hapa
Nilijua na wewe ni muanga wa tetemeko.


swissme
 
Kwa hiyo unataka Rais awe upande wa matajiri? Unaelewa athari zake? Hakika kama umelala mzungu wa nne usiku huu haifai kuja na mihasira yako hapa
kwani yuko upande gani ?
 
Sahihi kabisa Mkuu. Matajiri kuchangia maafa ni wajibu wao na si hiari. Magufuli anawachora tu pembeni. Ole wao wale watakaokaa kimya.
Wameitwa kumi wamekuja 100,wametoa 300% ya walichoombwa,wengine wamepiga ajua wakarudi kuongeza
 
Hapo ndipo utajua umuhimu wa jamii kuwa na MATAJIRI tena wawe wengi na wawe na Pesa nyingi sana.(Ndio Falsafa ya Lowassa).

'Mtukufu' wa CCM yeye ana falsafa tofauti na hiyo, na tena alishaanza kuwapandikizia mbegu mbaya watanzania wenye akili fupi kuamini kuwa Matajiri ni Wezi, mafisadi na mashetani. Huwa anafurahi sana wakifirisika(Falsafa yake ni 'malaika' hao waishi nao kama mashetani sasa)
Tusishangae akadai kodi kwenye hizo Pesa au akawahoji wamezipata wapi wakati nchi haina pesa.
 
Kusema kweli toka moyoni nimetiwa moyo sana na wafanyabiashara na matajiri kwa namna walivyojitoa kwa kuchangia zaidi ya 1.3b kwa ajili ya wenzetu wahanga wa tetemeko.Watu hawa waliochangia jasho lao wameonyesha kwamba nchi hii ni yetu sote na tunategemeana kwa hali na mali.Sisi masikini tunasema tunawapenda matajiri ilimuradi tu uwe utajiri wa halali.Binafsi huwa nasikitishwa sana na baadhi ya kauli za Rais wetu zinazoashiria kuwa upande wa masikini "Mimi ni Rais wa Masikini na wanyonge"..."Serikali ninayoiongoza imechaguliwa na masikini".Tumeona matajiri wakitufaa, kutuhifadhi na kutufuta machozi.Magufuli waombe msamaha matajiri kukosea sio dhambi

Naunga mkono hoja ya kuwaomba msamaha,mana haiwezekana wakwepa kodi leo ndio wawe msaada kwa taifa vingnevyo tutabaki kuamini tu kuwa zilikuwa chuki na visasi zidi yao!!!!
 
Hovyo kabisa,sasa ulitaka hela atoe masikini?
Pote duniani hata marekani kina Bill Gates wanachangia maafa
Hiyo ni social responsibility yao
Chadema na ukawa mnatumia maafa kisiasa hii ni mbaya sana
Kwa hiyo unataka Rais awe upande wa matajiri? Unaelewa athari zake? Hakika kama umelala mzungu wa nne usiku huu haifai kuja na mihasira yako hapa
Sahihi kabisa Mkuu. Matajiri kuchangia maafa ni wajibu wao na si hiari. Magufuli anawachora tu pembeni. Ole wao wale watakaokaa kimya.
Nyie watu wote hakuna mlijualo ni wapi imeandikwa kuchangia maafa ni wajibu wa matajiri ?? Swala la kuchangia ni hiyari ,na si lazima ,hili linatokana na mtu alivyo guswa na tukio husika, na hakuna lolote la kumfanya asipo changia na ndio maana hata serikali inawaomba haiwaamrishi msiwe wajinga kiasi hiki, yaan kweli chama changu cha mapinduzi kimedumaza fikra za vijana wake wengi aisee tena wewe Lizaboni huwa ni mrukiaji wa mambo mengi ambayo huyafahamu wala huyajui huwa unatia aibu mara nyingi sana kwa kuongea nonsense ,hata kama ni kuitetea serikali wakati ,wingine unatia aibu kupindukia.
 
Kwa hiyo unataka Rais awe upande wa matajiri? Unaelewa athari zake? Hakika kama umelala mzungu wa nne usiku huu haifai kuja na mihasira yako hapa
Awe upande wa watanzania....sasa kama masikini ndio wana hati miliki ya nchi poa.
aemdelee nao.
 
Back
Top Bottom