Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,969
- 134,071
Kusema kweli toka moyoni nimetiwa moyo sana na wafanyabiashara na matajiri kwa namna walivyojitoa kwa kuchangia zaidi ya 1.3b kwa ajili ya wenzetu wahanga wa tetemeko.Watu hawa waliochangia jasho lao wameonyesha kwamba nchi hii ni yetu sote na tunategemeana kwa hali na mali.Sisi masikini tunasema tunawapenda matajiri ilimuradi tu uwe utajiri wa halali.Binafsi huwa nasikitishwa sana na baadhi ya kauli za Rais wetu zinazoashiria kuwa upande wa masikini "Mimi ni Rais wa Masikini na wanyonge"..."Serikali ninayoiongoza imechaguliwa na masikini".Tumeona matajiri wakitufaa, kutuhifadhi na kutufuta machozi.Magufuli waombe msamaha matajiri kukosea sio dhambi