Rais Magufuli awaambia Waandishi wa Habari wawe makini, hawako huru kihivyo...

...wacha tuelekee katika weekend tulivu...pengine angetuongezea stress tu.
Amekuwa na busara kidogo...
 
Wadigo wanasema : usinene ukamara....

Sasa huyu mbuni kashabwabwajaaaa, na sasa hana jipya, atuliage tu
 
Hata acha kusema kuwa washirika wa madawa ya kulevya, ndio wanao pambana na Bashite.
 
bongo movie
Natamani sana kukuona akiwa na kina Lulu, Anti Ezekiel, Masogange, Le Mutuz, nk. Pia natamani kumuona Airport akimsubiri Diamond au Ali Kiba ili akabidhiwe tuzo za MTV. Napenda sana aonekane na bukta yake huku akifanya mazoezi na Serengeti Boyz. Itakuwa raha sana akishirikiana na Jike Shupa au Malkia wa Mipasho. Pia asikose kwenye masebene ya FM Akademia, Kanga Moko na Fiesta!
 

= alimkaribisha
= uwaziri

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…