Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,249
Mtu anayependwa ana hofu gani tena ?Uchaguzi umekaribia
Mtu anayependwa ana hofu gani tena ?Uchaguzi umekaribia
Seriously, watu ninaowaonea huruma ni kama wewe hapa, mkuu 'johnthebabtist' mnaoshinda kutwa JF mkishangilia wenzenu wakiteuliwa.Lipo ukurasa wa pili!
Ungesema we we sio kilaza una akili yakoMi sio kada mkuu...
Rais Magufuli amemteua Duncan Thebas kuwa Mkurugenzi Mtendaji (DED) wa Newala, Mtwara akichukua nafasi ya Mussa Chimae, pia amemteua Mwailafu Thomas kuwa DED wa Nanyamba, Mtwara akichukua nafasi ya Oscar Ng’itu, Erica Yeggella ameteuliwa pia kuwa DED Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara akichukua nafasi ya Omary Kipanga.
Rais Magufuli pia amemteua Hassan Njama kuwa DED Mvomero, Morogoro akichukua nafasi ya Florent Kayombo, JPM pia amemteua Kanyala Malima kuwa DED Ifakara, Morogoro akichukua nafasi ya Francis Ndulane.
View attachment 1497850
Maendeleo hayana vyama!
WiziTimu yenye akili za Jecha yaandaliwa. Ni kupindua meza chaguo za wananchi.
Toa mfano!Teuzi za Magu zimejaa ubaguzi katika gender na dini
Hofu imejaa Ufipa!Mtu anayependwa ana hofu gani tena ?