Rais Magufuli ateua Wakurugenzi wapya watano

Rais Magufuli ateua Wakurugenzi wapya watano

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,612
Rais Magufuli amemteua Duncan Thebas kuwa Mkurugenzi Mtendaji (DED) wa Newala, Mtwara akichukua nafasi ya Mussa Chimae, pia amemteua Mwailafu Thomas kuwa DED wa Nanyamba, Mtwara akichukua nafasi ya Oscar Ng’itu, Erica Yeggella ameteuliwa pia kuwa DED Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara akichukua nafasi ya Omary Kipanga.

Rais Magufuli pia amemteua Hassan Njama kuwa DED Mvomero, Morogoro akichukua nafasi ya Florent Kayombo, JPM pia amemteua Kanyala Malima kuwa DED Ifakara, Morogoro akichukua nafasi ya Francis Ndulane.

20200704_224111.jpg


Maendeleo hayana vyama!
 
Hii inaitwa "Membe multiplier effect" na ndipo pale mteuliwa ukidukuliwa na maongezi yako yakadukulika vyema, basi kichwa huelekezwa "kibra" hali kikiwa juu ya sura ya maji tiririka, ili pale upanga ukielekezwa na kutengenisha kichwa na shingo, kila tone la damu likapate kutwaliwa na maji hayo na kutokuacha alama yoyote ile.
 
Too much!! kila kukicha teua teua tu hata tija hazina! That's why tunahitaji katiba mpya! Sio kutegemea mtu mmoja eti ameamkaje au ameshindaje leo!!
 
Yaani hata hii list bado tu Pascal Mayala hayumo ?? Daaah hawajamtendea haki kwa kweli...usishangae vilaza Kama akina bia yangu na mgonjwa mtambuka wakawemo kwenye teuzi
 
Back
Top Bottom