Basham
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 743
- 433
- Thread starter
- #41
Kwa hiyo unakubali kwamba anayeamua kwenda kijiweni huku ana uwezo wa kwenda Serena maisha yake si sawa na yule ambaye yuko kijiweni na hana hata nauli ya kufika Serena?
You feel something diferent in your heart but wajua kabisa maisha hayafanani, Mko kijiwen pamoja mwenzako anaondoka na benzi we unachapa lapa na wote mlikua mnapiga story or whatever