Wewe nini uwt!Acha unaa wewee bawacha
wewe wa CCM sukari unanunua shilingi ngapi???Chadema watanyooka tu
Kwa tulio maliza mfungo mtukufu naona huu upepo wa uteuzi unatupitia pembenihuyo Prof. Longnus Rutasitara mwezi uliopita JPM si alimteua kuwa Mshauri wake wa mambo ya uchumi? nini kimejiri tena huko kwenye Jumba jeupe? au Prof. ni ****** nini?
Umeonaeeeeee?Safi wa kanda yetu pendwa.
Tatizo likowapi?Wewe nini uwt!
Huoni kushinda mitandaoni kutakufanya ukose muda wa kumuandalia mumeo mahitaji muhimu kama chakula?Tatizo likowapi?
Lakini kura tulipiga wote hata sisi tulio maliza mfungoMaraika mkuu na mtakatifu mkuu anateua wa kanda ya ziwa na wakatoliki safi sana tunaendeleza maombi yetu
Hivi hizi teuzi ni ajira au sio
Au wanajitolea bila malipo
KumbeMachadema yatachora chini mwaka huu.Mtukufu raisi anateua kanda ya ziwa tu na wakatoliki
Kinachonishangaza ni Msigwa kuendelea kujitambulisha ni Kaimu Afisa Habari-Ikulu, wakati tunasikia jana kathibitishwa na Muro kapewa ukaimu