Rais Magufuli alisomaje chuo kikuu?

Rais Magufuli alisomaje chuo kikuu?

Maisha yamebadilika! zamani hata hospitali zilikuwa bure lakini sasa tunalipia, zamani vyoo vya stendi kuu za mabasi ilikuwa unaingia bure unajisaidia sasa unalipia, zamani kulikuwa na mfumo wa chama cha siasa kimoja sasa unalipia, zamani chuo kikuu kilikuwa kimoja tu na rais wa nchi ndie alikuwa mkuu wa chuo sasa hiyo haipo tena, zamani wanafunzi walikuwa wanalipiwa warrant wanapokwenda shule, vyuoni, jeshini sasa hilo halipo, zamani EDO alikuwa CCM sasa yuko CHADEMA, zamani ilikuwa.......................... mengi sana nashindwa hata kuandika:

Hoja yangu sio lazima yote yaliyofanyika zamani sasa yaendelee
Yamebadilika vipi wakati maisha ya watu yako pale pale hospital kwanini hakuna dawa kama tunalipia?

Ajira mbona hakuna kama vyoo tu unalipia?
 
Zamani wasomaji walikuwa wachache so ilikuwa ni rahisi kuwasomesha. Now wasomaji wamekuwa wengi so inakuwa ni mzigo mkubwa kwa taifa... Hili suala lingekuwa rahisi Zaidi kama ukusanyaji wa mikopo kwa wakopaji waliomaliza lingekuwa effective...
Mbona Gadaffi aliweza kule Libya? usipende kutetea vitu visivyofaa, hivi hayo mabillioni yanayopotea kila siku kupitia hizi kashfa kama za RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, ESCROW nk. kama zisingekuwepo hizo fedha zisingesaidia kusomesha vijana bure? angalia bandarini, TRA viwanja vya ndege, mbuga za wanyama watu wanaiba tu lakini hakuna kilichofanyika kudhibiti hali hiyo.leo hii mikataba wa gesi, madini hata hatuijui na ni wazi hapo tunachoambulia ni vi% vichache tu huku kiasi kikubwa kikienda kwa hao wawekezaji na hao waliowauzia na familia zao.
 
Mbona Gadaffi aliweza kule Libya? usipende kutetea vitu visivyofaa, hivi hayo mabillioni yanayopotea kila siku kupitia hizi kashfa kama za RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, ESCROW nk. kama zisingekuwepo hizo fedha zisingesaidia kusomesha vijana bure? angalia bandarini, TRA viwanja vya ndege, mbuga za wanyama watu wanaiba tu lakini hakuna kilichofanyika kudhibiti hali hiyo.leo hii mikataba wa gesi, madini hata hatuijui na ni wazi hapo tunachoambulia ni vi% vichache tu huku kiasi kikubwa kikienda kwa hao wawekezaji na hao waliowauzia na familia zao.
Libya ina wakazi milioni tano.. tanzani ina wakazi milioni hamsini...
 
Watakuja hapa kukwambia enzi za mwalimu wasomi walikuwa wachache
Wameshasema na nimemuuliza wasomi laki moja wa vyuo ndio wengi?

Pia nikamuuliza mapato yanaongezeka au yanapungua?

Amekimbia wala sijamuona tena kuna watu wanafiki kweli nchi hii
 
Wakuu

Nimeangalia CV ya Rais nimeona amesema chuo degree ya kwanza mwaka 1985 -1988.

Je, alipataje elimu yake ?
Je, alisomeshwa na nani?
Je, kama alisomeshwa na serikali amelipa pesa ya serikali iliyomsomesha?
Je, kama hakulipa kwanini anawakazia wanafunzi waliokuwa chini ya bodi walipe madeni?
Kama hakulipa maana bodi ilikuwa aijaundwa kwanini hataki wenzake wasome bure?
Kwanini imekuwa ngumu sana kwa mtu aliyepewa elimu bure yeye kuwanyima wenzie elimu?
Basi hata hizo za kurudisha wapeni basi wadogo zetu masikini ziwasadie.

Ukweli mchungu ni kuwa hakuna viongozi wowote waliojilipia ada ya chuo kikuu.
Magufuli
Lowassa
Kikwete
Ndalichako .

Na wengine mulisoma bure udsm na wala hamkudaiwa pesa baada ya masomo yenu.

Nyerere kawapa elimu bure na Mungu anawaona nyerere alitumia uchawi gani?

Pamoja na kuwa na
Mafuta
Gesi
Madini ya kila aina
Bandari tatu
Samaki
Mbuga za wanyama
Mlima mrefu kuliko yote Africa
Mmeshindwa kutoa elimu bure?

Magufuli toa elimu bure mpaka chuo kikuu au jiuzulu.
Walikua wansoma bure bt mtaani kwenu ni wanafunzi wangapi walikua wanasoma chuo kikuu na sekondari. Hata sasa hivi kama watu wachache vile watakua ndo wanaosoma hakuna serikali duniani itashindwa kuwasomesha.
Ndio maana kuna baadhi ya fani wanafunzi wanasomeshwa kwa ruzuku au bureeee
 
Zamani wasomaji walikuwa wachache so ilikuwa ni rahisi kuwasomesha. Now wasomaji wamekuwa wengi so inakuwa ni mzigo mkubwa kwa taifa... Hili suala lingekuwa rahisi Zaidi kama ukusanyaji wa mikopo kwa wakopaji waliomaliza lingekuwa effective...
Hii ni kisingizio tu!Kwani idadi ya watu ikiongezeka na kipato si kinaongezeka?Mi nachoona ni ubinafsi tu na uchoyo wa walionacho.Watu wamejaa roho mbaya tuu
 
Kuna
Wakuu

Nimeangalia CV ya Rais nimeona amesema chuo degree ya kwanza mwaka 1985 -1988.

Je, alipataje elimu yake ?
Je, alisomeshwa na nani?
Je, kama alisomeshwa na serikali amelipa pesa ya serikali iliyomsomesha?
Je, kama hakulipa kwanini anawakazia wanafunzi waliokuwa chini ya bodi walipe madeni?
Kama hakulipa maana bodi ilikuwa aijaundwa kwanini hataki wenzake wasome bure?
Kwanini imekuwa ngumu sana kwa mtu aliyepewa elimu bure yeye kuwanyima wenzie elimu?
Basi hata hizo za kurudisha wapeni basi wadogo zetu masikini ziwasadie.

Ukweli mchungu ni kuwa hakuna viongozi wowote waliojilipia ada ya chuo kikuu.
Magufuli
Lowassa
Kikwete
Ndalichako .

Na wengine mulisoma bure udsm na wala hamkudaiwa pesa baada ya masomo yenu.

Nyerere kawapa elimu bure na Mungu anawaona nyerere alitumia uchawi gani?

Pamoja na kuwa na
Mafuta
Gesi
Madini ya kila aina
Bandari tatu
Samaki
Mbuga za wanyama
Mlima mrefu kuliko yote Africa
Mmeshindwa kutoa elimu bure?

Magufuli toa elimu bure mpaka chuo kikuu au jiuzulu.
Kuna mtu alisema atatoa elimu bure hadi chuo kikuu hamkumchagua. Magufuli alisema elimu bure hadi form four. Hiyo ya chuo kikuu haikuwa sera yake. Kumchagua Magufuli maana yake mlikubali sera ya elimu bure hadi form four. Sasa hivi naona mnamwonea tu raisi wangu. Hiyo haikuwa sera yake. Mwacheni apige kazi. Wacha tuendelee kuisoma namba maana tulizoea dezo!!!!
 
Hii kauli ya uchache huwa siipendi angalau umehoji maana utendaji kazi wa serikali unategemea wananchi wake yaani kama vile SACCOS inavyofanya kazi ukiwa na watu 10 kila mtu akatoa mwekundu utakuwa na laki vivyo hivyo kwa mwenye watu 20. Na serikali hali kadhalika, ukiondoa rasilimali za nchi mtaji wa serikali ni nguvu kazi ya wananchi wake unless kama raia ni wazembe na viongozi wanawaangalia
Watu ni wagumu sana kuelewa wanafunzi waliokua wanasoma yaani darasa la watu 60 anachaguliwa mmoja au hachaguliwi hata mmoja kata nzima wanafunzi wawili kwamba watu walikua wachache so ukichukua asilimia ya walikua wanasoma wakati huo na sasa dhidi ya population bado unapata jibu wengi Hawakusoma kwa kukosa fedha kungekua na sehemu ya kukopa wangekopa wasome
 
Watu ni wagumu sana kuelewa wanafunzi waliokua wanasoma yaani darasa la watu 60 anachaguliwa mmoja au hachaguliwi hata mmoja kata nzima wanafunzi wawili kwamba watu walikua wachache so ukichukua asilimia ya walikua wanasoma wakati huo na sasa dhidi ya population bado unapata jibu wengi Hawakusoma kwa kukosa fedha kungekua na sehemu ya kukopa wangekopa wasome
Na mapato walikuwa kiasi gani?
Miaka hiyo?..

Au unafikiri nyerere alikuwa mjinga kuwapikia wanafunzi vyuoni?
 
Nleta mada bana,sasa iishu ya kulipa nkopo bodii si inatemegea ntu na ntu. Bhaaa.....!!
 
Wakuu

Nimeangalia CV ya Rais nimeona amesema chuo degree ya kwanza mwaka 1985 -1988.

Je, alipataje elimu yake ?
Je, alisomeshwa na nani?
Je, kama alisomeshwa na serikali amelipa pesa ya serikali iliyomsomesha?
Je, kama hakulipa kwanini anawakazia wanafunzi waliokuwa chini ya bodi walipe madeni?
Kama hakulipa maana bodi ilikuwa aijaundwa kwanini hataki wenzake wasome bure?
Kwanini imekuwa ngumu sana kwa mtu aliyepewa elimu bure yeye kuwanyima wenzie elimu?
Basi hata hizo za kurudisha wapeni basi wadogo zetu masikini ziwasadie.

Ukweli mchungu ni kuwa hakuna viongozi wowote waliojilipia ada ya chuo kikuu.
Magufuli
Lowassa
Kikwete
Ndalichako .

Nyerere kawapa elimu bure na Mungu anawaona nyerere alitumia uchawi gani?

Pamoja na kuwa na
Mafuta
Gesi
Madini ya kila aina
Bandari tatu
Samaki
Mbuga za wanyama
Mlima mrefu kuliko yote Africa
Mmeshindwa kutoa elimu bure?

Magufuli toa elimu bure mpaka chuo kikuu au jiuzulu.
Na wengine mulisoma bure udsm na wala hamkudaiwa pesa baada ya masomo yenu.
Nadhan miaka hiyo hakukuwa na kukopeshana,ilikuwa watu wanasomeshwa bure na mzee Nyerere,by then maisha yalikuwa matamu sana kwa wasomi wa miaka hiyo...............
 
Kuna

Kuna mtu alisema atatoa elimu bure hadi chuo kikuu hamkumchagua. Magufuli alisema elimu bure hadi form four. Hiyo ya chuo kikuu haikuwa sera yake. Kumchagua Magufuli maana yake mlikubali sera ya elimu bure hadi form four. Sasa hivi naona mnamwonea tu raisi wangu. Hiyo haikuwa sera yake. Mwacheni apige kazi. Wacha tuendelee kuisoma namba maana tulizoea dezo!!!!
Bora hata uwape watu elimu hata uwanyime vitu vingine
 
Watanzania ifike hatua tuache kulia lia ovyo kwa vitu vya kawaida kabisa ,sasa we kwa akili yako wakati unatafuta hao watoto ulieweka kabisa kabisa kuwa asilimia 100 lazima watasomeshwa na serikali? kama uliwatafuta mwenyewe kwa raha zako mwenyewe ukawasomesha kwa shida mwenyewe malizia mzigo wako na sio kulialia kwa mikopo.

yani ingekuwa agizo langu hiyo mikopo hakuan kutoka kamwe,kwani sioni sababu kama ulimudu kusomesha kuanzia la kwanza hadi la saba mwenyewe,ukasomesha form 1 hadi 4 mwenyewe,ukasomesha collage au form 5 hadi 6 mwenyewe bila hata hiyo kitu inayoita bodi ya mikopo iweje leo ushindwe kumalizia chuo? kwa sababu ukipiga gharama za kusomesha utagundua gharama za kutoka la kwanza hadi form 6 ni mara sita zaidi ya ghrama za kumsomesha mtoto chuo.

Watanzania tuache kulialia kila siku ili tuonewe huruma
Na kweli akili zako ni TATU
1 Bange
2 viroba
3 ugoro
 
Back
Top Bottom