Elimu zamani haikuwa bure, ni kodi za wananchi iliyokuwa inatumiwa vizuri na serikali kugharimia elimu. Leo kapu la kodi zetu halina mwangalizi, limetoboka kia cent tunayolipa kama kodi inapenya na chini kuna mabakuli ya wajanja. Kwamba sasa idadi ya wanafunzi ni wengi haina mashiko. Idadi hiyo inaendana na idadi ya ongezeko la watu, ongezeko la kodi. Leo budget ni trilions, zamani ilikuwa in milions na kisha ikaingia billions. Tofauti ni vipaumbele. Mishahara na malupulupu ya wafanya kazi yanaifyeka kodi yetu. Watumishi wanakwapua, kama sio nenda ofisi yoyote uond magari yalivyopangana. Ukijumlisha na ufisadi ndio unafunga namba.