Rais Magufuli alisomaje chuo kikuu?

Mkuu una M7 za kulipa au umejitoa mhanga kufungwa jela? Nani anakuambia umguse Mungu mtu?
 
Huyu ni Mtanzania kweli? Mbona watz tumeumbwa na roho za huruma inakuwaje kwa huyu mtoa hii post? Hivi kweli unajua maisha ya watz walio wengi kwamba ni ya kifukara? Wacha kuandika kitu kwa mihemko, kaa chini tuliza mawazo na utafakari maisha ya watz walio wengi ndio ucomment.
 
Tufike wakati tuache uchama mtu akitoa post anahtaj ufafaanuzi na sio kupewa maneno ya kashfa mara BAVIcha mara CHADEMA..
Mimi ni CCM na bado nakandamizia hlo swali
 
Tufike wakati tuache uchama mtu akitoa post anahtaj ufafaanuzi na sio kupewa maneno ya kashfa et.. BAVIcha hya bwana me UVCCM na bado nakandamizia hlo swali
Yes exactly inashangaza sana by the way watu kama hawa sijui ndio utumia makalio kuwaza?
 
Hii ndo Bongo mtu akifanikiwa ata hakikisha watu wenye mafanikio wapo wachache
 
Ulichoandika hakifanani na jina unalojiita, hvi unajua gharama ya meal and accommodation ilivyokua pindi mtu uko chuo, au kwa akili yako moja unafananisha na ada za secondary
 
Kwa kuwa unaongea kwa niaba ya mdai (Serikali), unapaswa kuja na hizo takwimu as evidence! "he who alleges must prove", otherwise unaleta blah blah!
 
Chuo kikuu kuna gharama zinaongezeka kama accomodation na gharama nyingine tofauti na level hizo za chini na ukitoa hilo wazazi wengi wanakuwa na umri mkubwa na ni wakati muaafaka wa mtu kuanza kujiandaa na retirement ndo mana wazazi wengi wanaomba relief wapunguziwe hii burden.
Ukiendeleza argument kama hii you are eithier too young or too dumb
 
huyu ndo raisi wetu mpendwa tunampenda hadi raha yeye ni wa wanyonge na atawatetea tu hakuna wa kumkwamisha labda akwame yeye. Tuendelee kumwombea kwa MUngu .
 
Ingekuwa jambo njema kama watu tungekuwa tunarudisha/kulipa mikopo ili na wenzetu wapate.
 
Mkuu alishasema tufyatue watoto serikali itawasomesha. Ha ha ha...Wanasiasa buana...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulichoandika hakifanani na jina unalojiita, hvi unajua gharama ya meal and accommodation ilivyokua pindi mtu uko chuo, au kwa akili yako moja unafananisha na ada za secondary
Muache huyo anaonyesha ni jinsi gani ajawai pita hata chuo !!

Yaani mzazi amlipie mtu ada ampe chakula akiwa chuo amunulie nguo Vitabu !!
 
Mmefetuana mno.....nyerere alikuwa na wachache leo kila nyumba kuna dent. Tuisome number tu
 
we kweli umezaliwa juzi. ndio haja zenu hizi bawacha?
 
Maisha yamebadilika! zamani hata hospitali zilikuwa bure lakini sasa tunalipia, zamani vyoo vya stendi kuu za mabasi ilikuwa unaingia bure unajisaidia sasa unalipia, zamani kulikuwa na mfumo wa chama cha siasa kimoja sasa unalipia, zamani chuo kikuu kilikuwa kimoja tu na rais wa nchi ndie alikuwa mkuu wa chuo sasa hiyo haipo tena, zamani wanafunzi walikuwa wanalipiwa warrant wanapokwenda shule, vyuoni, jeshini sasa hilo halipo, zamani EDO alikuwa CCM sasa yuko CHADEMA, zamani ilikuwa.......................... mengi sana nashindwa hata kuandika:

Hoja yangu sio lazima yote yaliyofanyika zamani sasa yaendelee
 
Watakuja hapa kukwambia enzi za mwalimu wasomi walikuwa wachache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…