Sana tu, halafu kabakishwa kule kule wasikompenda.Ndalichako kichwa haiozi bhana wamepiga majungu wee katusua
huo ni mpango wa maandalizi ya bajeti ya kihistoria kuwahi kutokea in contemporary dayz
Wekeni full list basi,mbona mnaongea kwa vijembe?
Hongera mkuu..umetabiri vyema
Magu alitangaza mwenyewe.Hivi hii imekaaje!!! Siri za ikulu zinavuja kabla ya kutangazwa na wahusika!!!
Maghembe si walisema 'nnzigo'?Maghembe mhm
Katika teuzi zote za Magufuli,
Hii ya wizara ya elimu ni bora zaidi,sababu hata wananchi walikua na kiu ya kumpata waziri kama huyu Mama
Katika teuzi zote za Magufuli,
Hii ya wizara ya elimu ni bora zaidi,sababu hata wananchi walikua na kiu ya kumpata waziri kama huyu Mama
Kahamishiwa wizara nyingine,usipende kubisha kitu usichokijua,wakati mwingine sio lazima utoe maoni yako kama huna uhakika a unachokiandika,hilo la inakuwaje tena mwenye jibu ni Mh raisi Magufuli ambaye anateua ,anatengua,anafukuza n.kMbona Makame Mbarawa tayari yeye ni waziri wa Maji na Umwagiliaji, inakuwaje tena awe waziri wa mawasiliano na uchukuzi?
Mmh hii kitu ni uongo kabisa.
Bibie, kumbe bado upo? Hujaanza kuisoma namba kama swahiba wako wa Msoga?Atakuwa ametubu dhambi zake, maana ngazi aliachia mwenyewe. Ni heri ametubu kiukweli lakini kama ametubu kiuongo-uongo ataumbuka tu kama alivyoumbuka Lowassa.