Rais Magufuli aitoa CHADEMA kwenye reli!

Rais Magufuli aitoa CHADEMA kwenye reli!

Kadi ya Rais Magufuli katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi kumewafanya wakosoaji wake wakuu Chadema kuishiwa pumzi. Chadema ilikuwa ikiamini katika vita dhidi ya ufisadi lakini Magufuli anapambana na mafisadi kivitendo Bali iliyowafanya Chadema wageuke kuwa watetezi wa mafisadi. Kwa upande wa elimu Burr huko Rais Magufuli ameshafunga kazi elimu ya msingi na sekondari ni bure Bali iliyowafanya baadhi ya wabunge wa Chadema kuvua magwanda na kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kujiunga na CCM. Kimsingi Chadema imeshaondolewa relini na sasa imebakia kuendesha siasa za matukio.
Trion moja 1.5 alichukua Mbowe? Walichukuwa CHADEMA??? ZIKO WAPI??? WALOTIA KIBINDONI WAMEFAMYWA NINI???? WAKO WAPI? WE DADA TUMIA AKILI ALIZOKUPA MUNGU, KICHWA SIO KWA AJILI YA KUFUGIA NYWELE. MWISHAENZI MKUBWA WEWE!!!!!
 
KADI? Unakimbilia nini wewe kiwavi?
Kadi ya Rais Magufuli katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi kumewafanya wakosoaji wake wakuu Chadema kuishiwa pumzi. Chadema ilikuwa ikiamini katika vita dhidi ya ufisadi lakini Magufuli anapambana na mafisadi kivitendo Bali iliyowafanya Chadema wageuke kuwa watetezi wa mafisadi. Kwa upande wa elimu Burr huko Rais Magufuli ameshafunga kazi elimu ya msingi na sekondari ni bure Bali iliyowafanya baadhi ya wabunge wa Chadema kuvua magwanda na kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kujiunga na CCM. Kimsingi Chadema imeshaondolewa relini na sasa imebakia kuendesha siasa za matukio.
 
Trion moja 1.5 alichukua Mbowe? Walichukuwa CHADEMA??? ZIKO WAPI??? WALOTIA KIBINDONI WAMEFAMYWA NINI???? WAKO WAPI? WE DADA TUMIA AKILI ALIZOKUPA MUNGU, KICHWA SIO KWA AJILI YA KUFUGIA NYWELE. MWISHAENZI MKUBWA WEWE!!!!!
Mbowe alichukua bilioni 7!
 
Kadi ya Rais Magufuli katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi kumewafanya wakosoaji wake wakuu Chadema kuishiwa pumzi. Chadema ilikuwa ikiamini katika vita dhidi ya ufisadi lakini Magufuli anapambana na mafisadi kivitendo Bali iliyowafanya Chadema wageuke kuwa watetezi wa mafisadi. Kwa upande wa elimu Burr huko Rais Magufuli ameshafunga kazi elimu ya msingi na sekondari ni bure Bali iliyowafanya baadhi ya wabunge wa Chadema kuvua magwanda na kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kujiunga na CCM. Kimsingi Chadema imeshaondolewa relini na sasa imebakia kuendesha siasa za matukio.
 
Katibu wenu mkuu yupo liwale anafanya kampeini hewa badala ya kwenda kuwazika watanzania wenzake yaani mnaona kampeini za ubunge ni muhimu kuliko mazishi ya watanzania wenzenu?
Hahahaaaa........ Chadema wanamzika mbwa wa Nassari Arusha wanawatelekeza wapiga kura wao walio rip Ukerewe!
 
Chadema walikosea sana kuleta sera ya kupinga na kususia kila kitu kinachofanywa na serikali. Yaani hata shughuli za kitaifa wao wanasusia tu. Hii imewafanya sasa waonekane kama wanasesere, ingawa wanajaribu kufa na tai shingoni.
kuonekana kama mwanasesere hakujawahi kumfanya mtu kuwa mwanasesere
 
Back
Top Bottom