Rais Magufuli aitoa CHADEMA kwenye reli!

Rais Magufuli aitoa CHADEMA kwenye reli!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,600
Kasi ya Rais Magufuli katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi kumewafanya wakosoaji wake wakuu Chadema kuishiwa pumzi. Chadema ilikuwa ikiamini katika vita dhidi ya ufisadi lakini Magufuli anapambana na mafisadi kivitendo hali iliyowafanya Chadema wageuke kuwa watetezi wa mafisadi. Kwa upande wa elimu Bure huko Rais Magufuli ameshafunga kazi elimu ya msingi na sekondari ni bure hali iliyowafanya baadhi ya wabunge wa Chadema kuvua magwanda na kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kujiunga na CCM. Kimsingi Chadema imeshaondolewa relini na sasa imebakia kuendesha siasa za matukio.
 
Kadi ya Rais Magufuli katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi kumewafanya wakosoaji wake wakuu Chadema kuishiwa pumzi. Chadema ilikuwa ikiamini katika vita dhidi ya ufisadi lakini Magufuli anapambana na mafisadi kivitendo Bali iliyowafanya Chadema wageuke kuwa watetezi wa mafisadi. Kwa upande wa elimu Burr huko Rais Magufuli ameshafunga kazi elimu ya msingi na sekondari ni bure Bali iliyowafanya baadhi ya wabunge wa Chadema kuvua magwanda na kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kujiunga na CCM. Kimsingi Chadema imeshaondolewa relini na sasa imebakia kuendesha siasa za matukio.
Upuuzi.
 
Rugs na Singasinga Seth wa IPTL hujawaona?!
Teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh

Acha nicheke mimi maana si kwa kuaminishwa na kulishwa matango pori haya.

Sanaa tu hizi mkuu hakuna cha kupambana na ufisadi wala nini, ni hadaa hadaa tu hizi dhidi ya wajinga walio wengi

Wako wapi hawa watuhumiwa namba 1?;
1. Waziri wa Madini na nishati wa wakati huo
2. Katibu mkuu wa Wizara ya madini na nishati wa wakati huo
3. Mwanasheria wa Wizara ya Nishati na madini wa wakati huo
5.Waziri wa fedha na uchumi wa wakati huo
6. Katibu wa Wizara ya fedha wa wakati huo
7. Gavana wa Benki kuu wa wakati huo
8. Rais wa nchi wa wakati huo
 
Teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh

Sanaa tu hakuna cha kupambana na ufisadi wala nini zaidi ya hadaa hadaa dhidi ya wajinga

Wako wapi hawa watuhumiwa namba 1?;
1. Waziri wa Madini na madini wa wakati huo
2. Katibu mkuu wa Wizara ya madini na nishati
3. Mwanasheria wa Wizara ya Nishati na madini
5.Waziri wa fedha na uchumi
6. Katibu wa Wizara ya fedha
7. Gavana wa Benki kuu
8. Rais wa nchi
Mbona unajivuruga!
 
Ukitoa hila zake na personal vendetta kwa watu aliowahi kua na ugomvi nao kipindi cha nyuma tuambie amepambana na ufisadi upi ? Naomba utaje na mifano dhahiri kabisa
Siasa za chuki tu
 
Hahahaaaa........ Chadema wanamzika mbwa wa Nassari Arusha wanawatelekeza wapiga kura wao walio rip Ukerewe!
Unaishangaa Chadema kwa hoja IPI? Kwa sababu mbunge wao alikuwepo na kama ulitaka na Mbowe awepo ulipaswa kuanza kumshangaa JPM kama rais na mwenyekiti wa CCM hakwenda kuzika walipa kodi,wanyonge na wapiga kura wake
 
Back
Top Bottom