Rais Magufuli aitoa CHADEMA kwenye reli!

Rais Magufuli aitoa CHADEMA kwenye reli!

Kadi ya Rais Magufuli katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi kumewafanya wakosoaji wake wakuu Chadema kuishiwa pumzi. Chadema ilikuwa ikiamini katika vita dhidi ya ufisadi lakini Magufuli anapambana na mafisadi kivitendo Bali iliyowafanya Chadema wageuke kuwa watetezi wa mafisadi. Kwa upande wa elimu Burr huko Rais Magufuli ameshafunga kazi elimu ya msingi na sekondari ni bure Bali iliyowafanya baadhi ya wabunge wa Chadema kuvua magwanda na kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kujiunga na CCM. Kimsingi Chadema imeshaondolewa relini na sasa imebakia kuendesha siasa za matukio.
Nikisoma maandishi ya watu wajinga kama wewe msiolewa dunia huwa nacheka sana na kuwaunganisha na watawala wenu wanao taka kuliangamiza taifa kwa siasa uchwara ambazo zitapelekea machafuko na umwagaji damu hata ya kwao au vizazi vyao.
 
Mmeshindwa kuwatoa Manusura wa ajali ya kivuko ,mtaweza kuwatoa Chadema .
 
Nikisoma maandishi ya watu wajinga kama wewe msiolewa dunia huwa nacheka sana na kuwaunganisha na watawala wenu wanao taka kuliangamiza taifa kwa siasa uchwara ambazo zitapelekea machafuko na umwagaji damu hata ya kwao au vizazi vyao.
Hahahaaaa........ Bwashee naona umeshanyooka!
 
Aache ubaguzi wa kikabila, kimkoa.
Mwanza wahanga wanapewa 1.5 kila mmoja, kagera wakaisoma namba.
Huu upuuz sijui mtaacha lini.Hizo rambirambi zingetumika kivingine mngekuja hapa kutoa mapovu.Kuna watu walikua wanahoji ooh kashindwa kwenda msibani, kama nilijua kuwa kuna watanzania wanaakili za kipuuz watakuja na hoja za kipuuz endapo ataenda na si nyingine bali ni ubaguz kwanini Arusha au kibiti hakuenda.Yani Rais ashindwe kufanya jambo kisa kuna genge flani ya wapuuzi litapiga kelele?
 
Hahahaaaa........ Bwashee naona umeshanyooka!
Mtu mjinga tumsaidie vipi kama siyo kumuacha na ulofa wake. Na ninasikitishwa jinsi chama cha baba wa taifa kimegeuka kuwa na wanachama wapumbavu wenye kuendeleza njaa na unafiki.
 
Mkuu anajitoa mwenyewe kwenye reli. No one in his good mind does what he is doing to the opposition kama kweli anapigana na corruption!
Hii ni danganya toto tu!
Wabovu wote wanahamia ccm. Yeyote mwizi anahamia ccm ili alindwe hata machinga wenye shida wanaweka bango la ccm njiani ili asiguswe!!!
Unaonaje hili? Si aibu? 🙂 🙂 🙂 🙂
 
Inaonekana fisiem wote wamejitoa ufahamu!

Jemadari anawezaje kutozika wanajeshi wake, askari wake, kuwapa pole watu wake kwenye janga!
Mkishauriwa mnalia ujinga wa ushabiki wa uchama. Simple common sense!
Mkuu anakwenda kumzika msanii anashindwa kuwaona wafiwa zaidi ya 200???
Mtatetea kwa kukosa ufahamu na kwa kutetea matumbo/ buku saba 🙂 🙂 🙂!!
 
Nikisoma maandishi ya watu wajinga kama wewe msiolewa dunia huwa nacheka sana na kuwaunganisha na watawala wenu wanao taka kuliangamiza taifa kwa siasa uchwara ambazo zitapelekea machafuko na umwagaji damu hata ya kwao au vizazi vyao.
Kati ya ulichoandika na alichoandika nani anapaswa kuwa Mjinga?
Maana maana unaelekea una chuki kuu na watawala.
Hebu tupe wenye siasa uchwara kati ya hao unaowaamini nq hao usiowaamini?
Nimesoma maoni ya Wakenya wanatamani rais magufuli akawe rais wao angalau kwa saa 72 ili wapate mile watanzania wanakipata.
Mkuu naomba utueleze kipi kinachofanyika na serikali kilicho kinyume au nje ya Sera ilizouza ccm wakati was kuomba ridhaa ta Watanzania,ili iwaletee maendeleo wananchi wake?
 
Kadi ya Rais Magufuli katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi kumewafanya wakosoaji wake wakuu Chadema kuishiwa pumzi. Chadema ilikuwa ikiamini katika vita dhidi ya ufisadi lakini Magufuli anapambana na mafisadi kivitendo Bali iliyowafanya Chadema wageuke kuwa watetezi wa mafisadi. Kwa upande wa elimu Burr huko Rais Magufuli ameshafunga kazi elimu ya msingi na sekondari ni bure Bali iliyowafanya baadhi ya wabunge wa Chadema kuvua magwanda na kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kujiunga na CCM. Kimsingi Chadema imeshaondolewa relini na sasa imebakia kuendesha siasa za matukio.
Mwambieni anunue vivuko..
Cha Mafia wakati wowote kitazama kama mv nyerere.
 
Nchi ndio inatolewa relini (derailed), wewe kwenye frame unaiona chadema, pathetic! Ngoja siku picha ikikaa vizuri ndio akili itakurudia. Time will tell.
 
Kadi ya Rais Magufuli katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi kumewafanya wakosoaji wake wakuu Chadema kuishiwa pumzi. Chadema ilikuwa ikiamini katika vita dhidi ya ufisadi lakini Magufuli anapambana na mafisadi kivitendo Bali iliyowafanya Chadema wageuke kuwa watetezi wa mafisadi. Kwa upande wa elimu Burr huko Rais Magufuli ameshafunga kazi elimu ya msingi na sekondari ni bure Bali iliyowafanya baadhi ya wabunge wa Chadema kuvua magwanda na kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kujiunga na CCM. Kimsingi Chadema imeshaondolewa relini na sasa imebakia kuendesha siasa za matukio.
Una kazi kubwa sana mkuu tatizo ni kutafuta teuzi?
 
Kadi ya Rais Magufuli katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi kumewafanya wakosoaji wake wakuu Chadema kuishiwa pumzi. Chadema ilikuwa ikiamini katika vita dhidi ya ufisadi lakini Magufuli anapambana na mafisadi kivitendo Bali iliyowafanya Chadema wageuke kuwa watetezi wa mafisadi. Kwa upande wa elimu Burr huko Rais Magufuli ameshafunga kazi elimu ya msingi na sekondari ni bure Bali iliyowafanya baadhi ya wabunge wa Chadema kuvua magwanda na kumuunga mkono Rais Magufuli kwa kujiunga na CCM. Kimsingi Chadema imeshaondolewa relini na sasa imebakia kuendesha siasa za matukio.
swali langu kwako ni je kwann hajaenda kuzika kule kwao kwa wale anaowapendelea kwakuwandiyo waliomchagua? kisha ffikiria hivi... DED anakimbia ofisi siku ya mwish ya kurudisha fomu ili chama kipite bila kupingwa kwenye kata. hapo nani ametoka kwenye reliiii?
 
Back
Top Bottom