Rais Magufuli aipongeza TCU kwa kuzuia udahili wa wanafunzi katika vyuo 19

wamisako

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
917
869
Leo wakati rais anarudi kutoka kwenye ziara za Mikoani, Amesimama Tegeta na Kuzungumza na Wananchi. Haya ni baadhi maneno aloongea;

“Kwenye madini tumeibiwa sana, nchi yetu ni kati ya nchi zinazoongoza kwa kuibiwa, tumeibiwa kwa miaka 18, sasa imetosha” Rais Magufuli.

Kwa sababu ni mara yangu ya kwanza kusimama hapa Tegeta, nianze kwa kuwashukuru sana kwa kura nyingi mlizonipa ili niwe Rais

Rais Magufuli ameipongeza Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kwa kuzuia udahili wa wanafunzi wote wa mwaka kwanza katika vyuo vikuu 19


Sent using Jamii Forums mobile app
 
e7c0eec3a9b5dce3cef61fd48c037b4f.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Habari uliyo i kopi na ku i pesti imeandika Rais Magufuli. Wewe umeandika "Magufuri"!

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Vyuo vilivyo vingi vinamapungufu mengi sana.

Wavisafishe haswa,mazingira yawe bora,nyenzo zinazokidhi viwango ziwepo za kutosha.nk, sio vyuo vinaendeshwa kama danguro.
 
hivyo vyuo vingine nasikia kuna watu wanamaliza phd hawajui kuongea kiingereza.hahahaha.
 
darsa = darasa ...ha ha haaa!!! leo ume patikana.
nyie ndio hamjui lugha. neno " darasa" ndo limetoholewa kutoka neno " darsa" hivyo kwa usahihi kabisa neno darasa ni " darsa" . kiarabu hicho au hujui maneno maneno mengi ya lugha ya kiswahili yanatokana na lugha ya kiarabu?
 
Back
Top Bottom