Mwanzo Shiza
Member
- May 21, 2018
- 79
- 36
Karata ya mwisho ya magu ni hao machinga, kwingine kote kashaharibu
ya mwisho kwa nyie mlioko mitandaoni lakini wananchi waliopewa ruhusa ya kufanya biashara wameshangilia na kufurahia siye tunaishia kumuona mbaya kwenye mitandao tu.Very true