residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,027
- 9,620
Mtanzania yeyote yule anayekubali kuitwa "mnyonge",huyo ni aliyekubali kuibiwa na kuambiwa "nakuhifadhia hiki nilichokuibia kwa sababu wewe huwezi kuhifadhi,kutumia au kuhoji".MAGU NI RAIS WA WATANZANIA WANYONGE NA MASKINI. TUMUUNGE MKONO
IN GOOD FAITH!!