Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 17,012
- 26,164
Jumapili 17-05-2020 Rais wetu mpendwa aliongea "kutoka KKKT ambapo yeye siyo muumini, ila aliamua kwenda kushiriki
Je, Taifa la Tanzania lina dini? Je, Muislamu ililazimika kuangalia ibada ya wakristu, kadhalika wasio Walutheri walazimike kuangalia ibada hiyo ili kumuona Rais akipewa nafasi ya kuongea?
Magufuli alipopewa nafasi ya kusalimia KANISA, alianza kuongea kama kawaida yake kwa kujiamini kulipopitiliza na bila kujali yupo madhbahuni , aliongea maneno ya kejeli na dhihaka kwa WAPINZANI NA anao waita "Mabeberu"
Jiulize, alipoanza kuongea, baada ya dakika mbili, akiwa amevalia koti la suti la drafti/viboksi ,aliiingiza mkono kwenye koti lake la suti, mfuko wa ndani akatoa KIKARATASI-KIMEMO, akaanza kusoma "hints" na kugeuza "MADHABAHU TAKATIFU" kuwa jukwaa la SIASA, akapiga porojo alizojuwa " jambo hili ni kinyume na KANUNI ZA KKKT na askofu mkuu Shoo ameona hilo na hatua kali zitachukulia hivi karibuni.
Yesu aliwatoroka wazazi wake, aliingia hekaluni, akakuta mafarisayo wanafanya BIASHARAAKAPINDUA MEZA ZAO NA KUWAFURUSHA, akawaambia IMEANDIKWA NYUMBA YA BABA YANGU ITAKUWA NYUMBA YA SALA NA SI PANGO LA WANYANGANYI!
MBOWE ni mlutheri, alikwenda kanisani kusali , hakuomba kufanya siasa wala hotuba, anafahamu neno la Mungu linakataa kufanya hivyo hasa pale unapodanganya kwa maslahi binafsi kama takwimu za corona zinavyofichwa.
MBOWE AHUTUBIA TAIFA, MAGUFULI AHUTUBIA KANISA!
Spika Ndugai anakuja kusema Mbowe hana heshma kuzungumza baada ya Raisi/Magufuli kuhutubia, Swali kwa Ndugai,MBOWE alikuwa ahutubie toka juma lililopita mkamkamata mkamuweka ndani, na kutaka kujua ataongea kitu gani, mkamuachia na siku ya JUMAMOSI CHADEMA walitoa ratiba yao na kusema JUMAPILI SAA SABA MCHANA ATAONGEA NA WATANZANIA, habari ya Magufuli ATAHUTUBIA KANISAL LA KKKT HAIKUTANGAZWA na hakuna aliyejua, sasa nani kavamia hotuba ya mwenzake?
Je, Taifa la Tanzania lina dini? Je, Muislamu ililazimika kuangalia ibada ya wakristu, kadhalika wasio Walutheri walazimike kuangalia ibada hiyo ili kumuona Rais akipewa nafasi ya kuongea?
Magufuli alipopewa nafasi ya kusalimia KANISA, alianza kuongea kama kawaida yake kwa kujiamini kulipopitiliza na bila kujali yupo madhbahuni , aliongea maneno ya kejeli na dhihaka kwa WAPINZANI NA anao waita "Mabeberu"
Jiulize, alipoanza kuongea, baada ya dakika mbili, akiwa amevalia koti la suti la drafti/viboksi ,aliiingiza mkono kwenye koti lake la suti, mfuko wa ndani akatoa KIKARATASI-KIMEMO, akaanza kusoma "hints" na kugeuza "MADHABAHU TAKATIFU" kuwa jukwaa la SIASA, akapiga porojo alizojuwa " jambo hili ni kinyume na KANUNI ZA KKKT na askofu mkuu Shoo ameona hilo na hatua kali zitachukulia hivi karibuni.
Yesu aliwatoroka wazazi wake, aliingia hekaluni, akakuta mafarisayo wanafanya BIASHARAAKAPINDUA MEZA ZAO NA KUWAFURUSHA, akawaambia IMEANDIKWA NYUMBA YA BABA YANGU ITAKUWA NYUMBA YA SALA NA SI PANGO LA WANYANGANYI!
MBOWE ni mlutheri, alikwenda kanisani kusali , hakuomba kufanya siasa wala hotuba, anafahamu neno la Mungu linakataa kufanya hivyo hasa pale unapodanganya kwa maslahi binafsi kama takwimu za corona zinavyofichwa.
MBOWE AHUTUBIA TAIFA, MAGUFULI AHUTUBIA KANISA!
Spika Ndugai anakuja kusema Mbowe hana heshma kuzungumza baada ya Raisi/Magufuli kuhutubia, Swali kwa Ndugai,MBOWE alikuwa ahutubie toka juma lililopita mkamkamata mkamuweka ndani, na kutaka kujua ataongea kitu gani, mkamuachia na siku ya JUMAMOSI CHADEMA walitoa ratiba yao na kusema JUMAPILI SAA SABA MCHANA ATAONGEA NA WATANZANIA, habari ya Magufuli ATAHUTUBIA KANISAL LA KKKT HAIKUTANGAZWA na hakuna aliyejua, sasa nani kavamia hotuba ya mwenzake?