Rais Magufuli ahutubia Taifa au Kanisa?

Rais Magufuli ahutubia Taifa au Kanisa?

Kwann RAIS AHUTUBIE KANISANI AU MSIKITINI? HANA IKULU AMBAKO NI NEUTRAL GROUND?
Bado akili yangu inakataa na hapa wazi ataonekana mdini. SUALA LA KUSALI NI LAKE BINAFSI ASIINGIZE KUWA LA WATZ WOTE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jumapili 17-05-2020 Rais wetu mpendwa aliongea "kutoka KKKT ambapo yeye siyo muumini, ila aliamua kwenda kushiriki

Je, Taifa la Tanzania lina dini? Je, Muislamu ililazimika kuangalia ibada ya wakristu, kadhalika wasio Walutheri walazimike kuangalia ibada hiyo ili kumuona Rais akipewa nafasi ya kuongea?

Magufuli alipopewa nafasi ya kusalimia KANISA, alianza kuongea kama kawaida yake kwa kujiamini kulipopitiliza na bila kujali yupo madhbahuni , aliongea maneno ya kejeli na dhihaka kwa WAPINZANI NA anao waita "Mabeberu"

Jiulize, alipoanza kuongea, baada ya dakika mbili, akiwa amevalia koti la suti la drafti/viboksi ,aliiingiza mkono kwenye koti lake la suti, mfuko wa ndani akatoa KIKARATASI-KIMEMO, akaanza kusoma "hints" na kugeuza "MADHABAHU TAKATIFU" kuwa jukwaa la SIASA, akapiga porojo alizojuwa " jambo hili ni kinyume na KANUNI ZA KKKT na askofu mkuu Shoo ameona hilo na hatua kali zitachukulia hivi karibuni.

Yesu aliwatoroka wazazi wake, aliingia hekaluni, akakuta mafarisayo wanafanya BIASHARAAKAPINDUA MEZA ZAO NA KUWAFURUSHA, akawaambia IMEANDIKWA NYUMBA YA BABA YANGU ITAKUWA NYUMBA YA SALA NA SI PANGO LA WANYANGANYI!

MBOWE ni mlutheri, alikwenda kanisani kusali , hakuomba kufanya siasa wala hotuba, anafahamu neno la Mungu linakataa kufanya hivyo hasa pale unapodanganya kwa maslahi binafsi kama takwimu za corona zinavyofichwa.
MBOWE AHUTUBIA TAIFA, MAGUFULI AHUTUBIA KANISA!

Spika Ndugai anakuja kusema Mbowe hana heshma kuzungumza baada ya Raisi/Magufuli kuhutubia, Swali kwa Ndugai,MBOWE alikuwa ahutubie toka juma lililopita mkamkamata mkamuweka ndani, na kutaka kujua ataongea kitu gani, mkamuachia na siku ya JUMAMOSI CHADEMA walitoa ratiba yao na kusema JUMAPILI SAA SABA MCHANA ATAONGEA NA WATANZANIA, habari ya Magufuli ATAHUTUBIA KANISAL LA KKKT HAIKUTANGAZWA na hakuna aliyejua, sasa nani kavamia hotuba ya mwenzake?
. Kwani mule kanisani walikuwemo mbuzi? Nini maana ya hotuba ile kurushwa kwenye vyombo vya habari, kwani ibada za makanisa yote hupewa coverage ya vile? Magufuli ni Mluteri? Kama hakuhutubia TAIFA mbona na wewe usiye Mluteri umesikia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
. Kwani mule kanisani walikuwemo mbuzi? Nini maana ya hotuba ile kurushwa kwenye vyombo vya habari, kwani ibada za makanisa yote hupewa coverage ya vile? Magufuli ni Mluteri? Kama hakuhutubia TAIFA mbona na wewe usiye Mluteri umesikia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Siasikia, nimesoma kwenye MEDIA tena UHURU.
angezungumza MBOWE tena kwenye dini yake ya lutheran CHAKUBANGA angeibuka na kumtaka mchungaji kuchagua DINI AMA SIASA, sijui MATAGA mnafeli wapi?huwa mnafikiri kwa kutumia "masaburi"
 
Jumapili 17-05-2020 Rais wetu mpendwa aliongea "kutoka KKKT ambapo yeye siyo muumini, ila aliamua kwenda kushiriki

Je, Taifa la Tanzania lina dini? Je, Muislamu ililazimika kuangalia ibada ya wakristu, kadhalika wasio Walutheri walazimike kuangalia ibada hiyo ili kumuona Rais akipewa nafasi ya kuongea?

Magufuli alipopewa nafasi ya kusalimia KANISA, alianza kuongea kama kawaida yake kwa kujiamini kulipopitiliza na bila kujali yupo madhbahuni , aliongea maneno ya kejeli na dhihaka kwa WAPINZANI NA anao waita "Mabeberu"

Jiulize, alipoanza kuongea, baada ya dakika mbili, akiwa amevalia koti la suti la drafti/viboksi ,aliiingiza mkono kwenye koti lake la suti, mfuko wa ndani akatoa KIKARATASI-KIMEMO, akaanza kusoma "hints" na kugeuza "MADHABAHU TAKATIFU" kuwa jukwaa la SIASA, akapiga porojo alizojuwa " jambo hili ni kinyume na KANUNI ZA KKKT na askofu mkuu Shoo ameona hilo na hatua kali zitachukulia hivi karibuni.

Yesu aliwatoroka wazazi wake, aliingia hekaluni, akakuta mafarisayo wanafanya BIASHARAAKAPINDUA MEZA ZAO NA KUWAFURUSHA, akawaambia IMEANDIKWA NYUMBA YA BABA YANGU ITAKUWA NYUMBA YA SALA NA SI PANGO LA WANYANGANYI!

MBOWE ni mlutheri, alikwenda kanisani kusali , hakuomba kufanya siasa wala hotuba, anafahamu neno la Mungu linakataa kufanya hivyo hasa pale unapodanganya kwa maslahi binafsi kama takwimu za corona zinavyofichwa.
MBOWE AHUTUBIA TAIFA, MAGUFULI AHUTUBIA KANISA!

Spika Ndugai anakuja kusema Mbowe hana heshma kuzungumza baada ya Raisi/Magufuli kuhutubia, Swali kwa Ndugai,MBOWE alikuwa ahutubie toka juma lililopita mkamkamata mkamuweka ndani, na kutaka kujua ataongea kitu gani, mkamuachia na siku ya JUMAMOSI CHADEMA walitoa ratiba yao na kusema JUMAPILI SAA SABA MCHANA ATAONGEA NA WATANZANIA, habari ya Magufuli ATAHUTUBIA KANISAL LA KKKT HAIKUTANGAZWA na hakuna aliyejua, sasa nani kavamia hotuba ya mwenzake?
Ndugai anajua boss wake anapenda maamuzi.ya "ukichaa kichaa" hivyo kauli zake zinapita humo humo kwenye reli . Zile bilioni 12 za India lazima zimfanye mateka wa bosi wake. Hana jinsi.
 
Acheni mawazo mgando, hakuna mipaka ya mkuu wa nchi kuwa na mahali maalum pa kuongelea.

Sehemu yoyote anayoweza kuongea kile anachokisema ni maelekezo kwa walengwa wa kitakachosemwa.
 
Jumapili 17-05-2020 Rais wetu mpendwa aliongea "kutoka KKKT ambapo yeye siyo muumini, ila aliamua kwenda kushiriki

Je, Taifa la Tanzania lina dini? Je, Muislamu ililazimika kuangalia ibada ya wakristu, kadhalika wasio Walutheri walazimike kuangalia ibada hiyo ili kumuona Rais akipewa nafasi ya kuongea?

Magufuli alipopewa nafasi ya kusalimia KANISA, alianza kuongea kama kawaida yake kwa kujiamini kulipopitiliza na bila kujali yupo madhbahuni , aliongea maneno ya kejeli na dhihaka kwa WAPINZANI NA anao waita "Mabeberu"

Jiulize, alipoanza kuongea, baada ya dakika mbili, akiwa amevalia koti la suti la drafti/viboksi ,aliiingiza mkono kwenye koti lake la suti, mfuko wa ndani akatoa KIKARATASI-KIMEMO, akaanza kusoma "hints" na kugeuza "MADHABAHU TAKATIFU" kuwa jukwaa la SIASA, akapiga porojo alizojuwa " jambo hili ni kinyume na KANUNI ZA KKKT na askofu mkuu Shoo ameona hilo na hatua kali zitachukulia hivi karibuni.

Yesu aliwatoroka wazazi wake, aliingia hekaluni, akakuta mafarisayo wanafanya BIASHARAAKAPINDUA MEZA ZAO NA KUWAFURUSHA, akawaambia IMEANDIKWA NYUMBA YA BABA YANGU ITAKUWA NYUMBA YA SALA NA SI PANGO LA WANYANGANYI!

MBOWE ni mlutheri, alikwenda kanisani kusali , hakuomba kufanya siasa wala hotuba, anafahamu neno la Mungu linakataa kufanya hivyo hasa pale unapodanganya kwa maslahi binafsi kama takwimu za corona zinavyofichwa.
MBOWE AHUTUBIA TAIFA, MAGUFULI AHUTUBIA KANISA!

Spika Ndugai anakuja kusema Mbowe hana heshma kuzungumza baada ya Raisi/Magufuli kuhutubia, Swali kwa Ndugai,MBOWE alikuwa ahutubie toka juma lililopita mkamkamata mkamuweka ndani, na kutaka kujua ataongea kitu gani, mkamuachia na siku ya JUMAMOSI CHADEMA walitoa ratiba yao na kusema JUMAPILI SAA SABA MCHANA ATAONGEA NA WATANZANIA, habari ya Magufuli ATAHUTUBIA KANISAL LA KKKT HAIKUTANGAZWA na hakuna aliyejua, sasa nani kavamia hotuba ya mwenzake?
Umepotoka kidogo ndugu yangu, na unachofikiria kichwani kwako, kinyume chake ndiyo sahihi. JPM angeongea kuhusu mwelekeo wa ugonjwa kuisha akiwa nje ya Madhabahu ya Mungu, ingekuwa ni technical mistake kwa sababu tangu mwanzo, swala hili alimkabidhi Mungu. Ingekuwa kitu cha ajabu sana kwamba swala ulimkabidhi Mungu na amekujibu sawasawa na maombi yako, halafu unamsahau tena unatoka na kwenda kutangaza majibu ya Mungu kupitia jukwaa la Siasa, badala ya nyumbani mwake. JPM amefanya kitu ambacho ni SUPERB, na sina shaka kabisa hapa kuwa ni Roho Mtakatifu alimuongoza hivyo, kwenda kutangaza matokeo ya utendaji wake ndani ya nyumba yake, Kanisani mbele ya madhabahu ya Mungu na mbele ya watumishi wa Mungu.Hii ni credit kubwa sana na ya pekee mno kiroho, na Mungu atambariki sana tena kwa kitendo hicho.

Vinginevyo kama angefanya tofauti, kuna uwezekano ugonjwa huu ungerudi tena, kwa sababu ingeonekana kuwa anamsahau Mungu pindi anapokuwa amemjibu maombi yake, na kukumbuka Siasa pekee. Halafu huyo mama aliyenaye, inaonekana ana hekima ya Mungu sana na Mungu anampenda sana, Mungu azidi kumbariki sana huyu mama. Kuna watu ambao naturally ni rafiki zake na Mungu, na huyu anaonekana kabisa kuwa yuko kwenye mkondo huo wa marafiki zake na Mungu

Kitu kingine kizuri zaidi ni kwamba amemkumbuka Mungu kwa kutoa sadaka ya Shukrani Kanisani.

Mimi tayari nimeshasema humu jukwaani kwamba watu wanaomuomba Mungu anawajibu, halafu akishawajibu badala ya kumrudishia shukrani, wanaanza kusifia mafuta ya upako badaa ya Roho wa Mungu, mtakuja kuona tu huko mbele matokeo yake. Roho Mtakatifu siyo mjinga, afanye kazi yeye halafu yasifiwe mafuta ya upako. Mtakuja kuona tu huko mbele kama huu mtindo utaendelea. first warning tayari ameshatoa, subirini
 
Sijaona mantiki ya kuongea mambo ya taifa kanisani.

Na nimeshangaa hata hiyo kanisa kutumika kisiasa ,makonda pia amekuwa akifanya hivyo.

Je siku nyingine ataenda kutoa hotuba pia msikitini ?
 
Hoja hapa ni Wakati Mbowe alipokuwa analihutubia Taifa Magufuli alikuwa akilihadithia Kanisa unakubaliana na mimi?
Mbowe yupo right siku zote,na mngekuwa na uwezo wa kumpa umalaika mlishafanya kitambo ila sishangai alivyokuja Edo mlimsifu na kumpamba akuwa tena fisadi alivyofika kwenu.

Nyinyi ni zaidi ya chama cha siasa mmejivisha u mungu,unabii na u malaika pia.
 
Tbc nayo imekuwa redio ya dini ,wanapiga kwaya na kaswida pamoja,je hamna dini zingine,wanashindwa hata kuonyesha documentary za hizi taifa kama hawana vipindi vya kurusha
 
Jumapili 17-05-2020 Rais wetu mpendwa aliongea "kutoka KKKT ambapo yeye siyo muumini, ila aliamua kwenda kushiriki

Je, Taifa la Tanzania lina dini? Je, Muislamu ililazimika kuangalia ibada ya wakristu, kadhalika wasio Walutheri walazimike kuangalia ibada hiyo ili kumuona Rais akipewa nafasi ya kuongea?

Magufuli alipopewa nafasi ya kusalimia KANISA, alianza kuongea kama kawaida yake kwa kujiamini kulipopitiliza na bila kujali yupo madhbahuni , aliongea maneno ya kejeli na dhihaka kwa WAPINZANI NA anao waita "Mabeberu"

Jiulize, alipoanza kuongea, baada ya dakika mbili, akiwa amevalia koti la suti la drafti/viboksi ,aliiingiza mkono kwenye koti lake la suti, mfuko wa ndani akatoa KIKARATASI-KIMEMO, akaanza kusoma "hints" na kugeuza "MADHABAHU TAKATIFU" kuwa jukwaa la SIASA, akapiga porojo alizojuwa " jambo hili ni kinyume na KANUNI ZA KKKT na askofu mkuu Shoo ameona hilo na hatua kali zitachukulia hivi karibuni.

Yesu aliwatoroka wazazi wake, aliingia hekaluni, akakuta mafarisayo wanafanya BIASHARAAKAPINDUA MEZA ZAO NA KUWAFURUSHA, akawaambia IMEANDIKWA NYUMBA YA BABA YANGU ITAKUWA NYUMBA YA SALA NA SI PANGO LA WANYANGANYI!

MBOWE ni mlutheri, alikwenda kanisani kusali , hakuomba kufanya siasa wala hotuba, anafahamu neno la Mungu linakataa kufanya hivyo hasa pale unapodanganya kwa maslahi binafsi kama takwimu za corona zinavyofichwa.
MBOWE AHUTUBIA TAIFA, MAGUFULI AHUTUBIA KANISA!

Spika Ndugai anakuja kusema Mbowe hana heshma kuzungumza baada ya Raisi/Magufuli kuhutubia, Swali kwa Ndugai,MBOWE alikuwa ahutubie toka juma lililopita mkamkamata mkamuweka ndani, na kutaka kujua ataongea kitu gani, mkamuachia na siku ya JUMAMOSI CHADEMA walitoa ratiba yao na kusema JUMAPILI SAA SABA MCHANA ATAONGEA NA WATANZANIA, habari ya Magufuli ATAHUTUBIA KANISAL LA KKKT HAIKUTANGAZWA na hakuna aliyejua, sasa nani kavamia hotuba ya mwenzake?
Yesu aliwatoroka wazazi wake, aliingia hekaluni, akakuta mafarisayo wanafanya BIASHARAAKAPINDUA MEZA ZAO NA KUWAFURUSHA, akawaambia IMEANDIKWA NYUMBA YA BABA YANGU ITAKUWA NYUMBA YA SALA NA SI PANGO LA WANYANGANYI!

**************
Mfano wako is so irrelevant aisee. Magufuli alienda na Machungwa au matikiti mpe kanisan?

Magufuli ni Rais wa nchi anaweza kuhutubia taifa hata kwenye hafla ya chakula cha jioni. Acheni kukariri.

Na mwisho kabisa ni pale Manapo mfananisha Magufuli na Mbowe.

Hizi akili mnazitoaga wapi sijui?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyombo vya habari vilitulazimisha kumuangali yeye tu HUKO MADHABAHU YA KKKT, wewe kupitia TBC ulikuwa unampata GWAJI-BOY mzee wa TOTOZ?
kipindi anazindua msikiti wa kinondoni unakumbuka hali ilikuwaje,au upweke unakisumbua mama angu!!!!
 
Back
Top Bottom