Rais Magufuli afuta shamrashamra za Muungano 2016, fedha zikajenge barabara Mwanza

Labda sawa wamepewa Tanganyika pekee ila zanzibar
wanachangia mpaka wapewe? halafu hata Mwanza ni sehemu ya Tanzania so ni sawa hata Rais angesema ielekezwe Chakechake.Urais wenyewe kapewa atabishana na nani sasa awe mpole kwa waliompa ba shein..
 
Wanajua wajifanyia Dar patakuwa hapatoshi wakati Rais mwenza kutoka kuleee atakapo ingia uwanjani.
Watu wanaona mbali, ingekuwa aibu mbele ya wageni na sio rahisi kuudhibiti uwanja kama ule
Kelele za kitanda hazimzuii mtiaji kutia
 
Heshima sana kwa JPM,
I salute you Sir,
I salute you Sir,
I salute you my President Doctor JPM.
 
Huu ni uvivu wa kufikiri.
Hii bajeti ilipitishwa lini?
Serikali ibuni vianzo endelevu vya makusanyio ya kodi kwa maendeleo endelevu.
Huu mtindo wa zima moto utatufikisha wapi?
Kweli tutaiona Tanzania ya viwanda na uchumi wa kati kwa mtindo huu wa kuchumia tumbo?
Yaani huyu jamaa shughuli za maendeleo zitafanyika kweli yale maeneo ambayo hatayatembelea?
Bajeti ya kujenga hiyo barabara huko Mwanza itatumika wapi?
Na hiyo billion 2 isipotosha kukamilisha huo ujenzi tutasubiri tena sherehe za mwakani?
Mhe.vunja tu huu muungano acha kuumega vipande vipande itakuchukua muda.
 
Hizi hela zilitengwa lini? mrejesho wa barabara ya Morocco Mwenge?...... we need more strategic move than this... ifike mahali tuamue kama taifa, kama sherehe hizo hazifai tuzifute fedha zielekezwe kwenye vipaumbele vya kitaifa....
Kweli kabisa tuzifute au tuziadhimishe kila baada ya miaka 10
 
angefuta Muungano ili wazanzibari waweze kuteua viongozi wawapendao na kusimamia uchumi wao na kujiunga na organizasions wazipendazo..na sio kuongozwa na vibaraka wanaokusanya mapato ya zanzibar na kuyapeleka bara..
huku serikali ya bara(ya muungano) kiuhalisia zanzibar haipo zaidi ya mazombie ya muungano yanayotumika kuwadhalilisha wananchi ili eti CCM ising'oke Zanzibar..
wengine wanasema navyo ni vibaraka vya vatican..
 
zimehairishwa au zimefutwa kabisa

Hata mimi nimeshangaa walivyosema "sherehe za mwaka huu zimeahirishwa"! Kuahirisha ina maana zimepelekwa mbele, lakini zingefanywa wakati wowote kabla ya sherehe za mwaka kesho.

Wangesema tu sherehe za muungano kwa mwaka huu zimefutwa.
 
Lakini mapumziko yapo palepale
View attachment 334770
Ni uamuzi mzuri na wa kuunga Mkono, kwa sababu binafsi sioni maana ya kusheherekea hizi sikukuuza Kitaifa ilhali bado mamilioni ya Watanzania wanamahitaji mengi ya msingi yanayoweza kupunguzwa na hizi bajeti zinazokuwa allocated kwenye hizi sherehe za Kitaifa....
 
HAIKUBALIKI....HAIKUBALIKI, dhuluma sasa imezidi na ya waziwazi. Fedha hizo ni za muungano haziwezi zote zikatumiwa bara. Asilimia yetu ya 4% tupewe.. Pamoj na kuwa siku kuu ya muungano imepoteza vuto Zanzibar na hivyo kutofanyika Zanzibar kwa kipindi kirefu sana, hii haina maana tun yimwe haki yetu.
Kaa hamjapaona pa kuzipeleka Zanzibar, nakushaurini hiyo 4% muipeleke
1. Kukarabati maskani ya Kisonge ilioripuliwa na bomu na wapinga mapinduzi
2.Kukarabati nyumba ya Kamishna wa polisi ilioripuliwa bomu na wapinga amani
 
Me naona hii inafuta historia za nchi .... Iv ina maana nchi zote zilizoendelea sherehe za kihistoria kama hizi wamezifuta pia?? Then muungano ni wa nchi mbili vipi iweje hiyo hela itumike bara tu visiwani isitumike tuseme ndio hamna matatizo mengi sana,,,,, ni bora iyo bil 1 itumike tanzania bara na nyingine visiwani
Kwani hii historia imetusaidia nn kimaisha ktk afya usafiri au nyanja yeyote ile? Afute tu maana tarehe haibadiliki bado ni historia
 
Kwenye red hapo nina imani waliopo Dar na wanaitumia hii barabara ya Morrocco watakupa mrejesho kamili. Kifupi ni kazi ya kupongezwa na inayotia moyo. Kwa yeyote aliyeiona ile barabara na anapenda maendeleo basi hatasita kupongeza juhudi zilizofanywa na Mh. Rais.
Kama sasa hivi niko Morocco hapa naenda Mbezi Beach....nadrive kwa hii carpet nyeusi iliyowekwa kwa hela za Dec 09...
 
NDIO TATIZO LA KUONGOZWA NA WATU AMBAO WAMEZUKA TU BILA KUANDALIWA NA MSIOJUA WALIKOTOKA MABABU ZAKE.......BIG MISTAKE!!! TUTAWALAUMU CCM ...KAMA WALIONA ANAWEZA KUWA RAIS ..WALITAKIWA NAYE WAANZE KUMUANDAA ..TUNATAMBUA WAPO WALIOKUWA WANAANDALIWA KWA KUPEWA MAFUNZO MAALUM .....HADI KINA MAKONGORO NA WENGINE WAKAPELEKWA MAREKANI NA CHINA ORIENTATION ...KWANINI KWENYE HIYO PROGRAM HAWAKUMUWEKA JPM??

UNAWEZAJE KUFUTA MISINGI YA UTAIFA WETU ...TUNU ZETU ...HIYO NI MISINGI AMBAYO INATAKIWA KUISIMAMIA ....KAMA GHARAMA KUBWA SIUNAPUNGUZA .....HATA MASKINI WANAKUMBUKA SIKU ZAO ZA KUZALIWA NA MATUKIO YAO KAMA NDOA ...KIFO CHA WAZEE WAO
HATA KATI KATI YA UMASIKINI WETU KAMA TAIFA ....WAKATI AMBAPO NCHI YETU ILITENGWA KWA SERA ZAKE ZA KIJAMAA NA HATUKUWA NA PESA ....TULIKUMBUKA SIKU ZETU MUHIMU KATI KATI YA UNYONGE WETU ...SEMBUSE LEO ??!!
Kwahio bwana mkubwa huu 'utaifa' wetu kuusheherekea ni muhimu kuliko kununua dawa,vitanda vya hospitali au in this case kutanua barabara kupunguza msongamano??!!! Tangu tuanze kusheherekea muungani miaka mingapi sijui iliopita,hizo sherehe zimetunufaisha na nini zaidi ya kutumia billions and billions ambazo wanalipwa watu kwa tender zisizo na kichwa wala miguu??!! Wanaolialia wengi ni waliokuwa wanategemea kupata tender za kuuza maji ya tzs 500 kwa tzs 10,000!
 
Kwahio bwana mkubwa huu 'utaifa' wetu kuusheherekea ni muhimu kuliko kununua dawa,vitanda vya hospitali au in this case kutanua barabara kupunguza msongamano??!!! Tangu tuanze kusheherekea muungani miaka mingapi sijui iliopita,hizo sherehe zimetunufaisha na nini zaidi ya kutumia billions and billions ambazo wanalipwa watu kwa tender zisizo na kichwa wala miguu??!! Wanaolialia wengi ni waliokuwa wanategemea kupata tender za kuuza maji ya tzs 500 kwa tzs 10,000!

"bosi" kwani amekuta nchi haina dawa kabisa ....na hata akinunua dawa ataweza kutekeleza mahitaji yote ??? miaka yote hiyo tumenunua dawa,chakula ,ulinzi ,usalama [ikiwemo kupigana vita vya gharama vya ukombozi kusini ,uganda na nchi visiwa vya bahari ya hindi tunavyovilinda ] ,ujenzi etc ...tulikuwa hatukumbuki uhuru wetu au muungano wetu...hivyo vibilioni viwili kwa nchi ni kama sukari au chumvi baharini .....
acheni kuwa madodoki....
 
Back
Top Bottom