Rais Magufuli afuta shamrashamra za Muungano 2016, fedha zikajenge barabara Mwanza

Napingana na hapo kwa kutaka muungano ufutwe, binafsi kw upeo wangu bado sijaiona sababu ya kuufuta muungano!!

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si wa kwanza duniani!! Muungano huu ndio historia harisi ya hii tunayoiita Tanzania, sehemu kubwa ya historia ya nchi hii, shida ambazo ziko ndani ya muungano wetu huu ni shida za kawaida na zinatatulika, inahitaji serikali serious kidogo kuzitatua zile kero za muungano, na hatujawai kuwa na serikali serious toka mwaka 1984. Muungano inabidi umpate mtu kivuruga kidogo, and i think Magu is, mie antiCCM ila huyu Magu ni aina ya kiongozi tulihitaji kwa kipindi kirefu.
Kero zinatatulika? Mbona hamjatatua?

Nchi haijawaji kuwa na kiongozi serious toka 1984? Sasa hao waliokuwa serious mbona hawakutatua kero kabla ya hiyo 1984?

Zanzibar ni mzigo mzito sana kwa Tanganyika.
 
"bosi" kwani amekuta nchi haina dawa kabisa ....na hata akinunua dawa ataweza kutekeleza mahitaji yote ??? miaka yote hiyo tumenunua dawa,chakula ,ulinzi ,usalama [ikiwemo kupigana vita vya gharama vya ukombozi kusini ,uganda na nchi visiwa vya bahari ya hindi tunavyovilinda ] ,ujenzi etc ...tulikuwa hatukumbuki uhuru wetu au muungano wetu...hivyo vibilioni viwili kwa nchi ni kama sukari au chumvi baharini .....
acheni kuwa madodoki....
Akili zako hazitofautiani sana na za kongozi wa msimu uliopita
 
"bosi" kwani amekuta nchi haina dawa kabisa ....na hata akinunua dawa ataweza kutekeleza mahitaji yote ??? miaka yote hiyo tumenunua dawa,chakula ,ulinzi ,usalama [ikiwemo kupigana vita vya gharama vya ukombozi kusini ,uganda na nchi visiwa vya bahari ya hindi tunavyovilinda ] ,ujenzi etc ...tulikuwa hatukumbuki uhuru wetu au muungano wetu...hivyo vibilioni viwili kwa nchi ni kama sukari au chumvi baharini .....
acheni kuwa madodoki....
Nafikiri madodoki ni yale yanayoona kupiga gwaride na halaiki ni muhimu kuliko kujenga barabara au kuimarisha huduma nyingine za jamii.
 
Hii ni style ya kupunguza mzigo wa utekelezaji wa majukumu/ahadi
Hata hivyo itakuwa ni vizuri wakatutajia na kiasi kilichokuwa kimetengwa mwaka jana kwa sherehe hizi ili tuweze kulinganisha maana hatutarajii ongezeko kubwa.
Otherwise sio uamuzi mbaya.
Ni kweli!
 
Hii ni style ya kupunguza mzigo wa utekelezaji wa majukumu/ahadi
Hata hivyo itakuwa ni vizuri wakatutajia na kiasi kilichokuwa kimetengwa mwaka jana kwa sherehe hizi ili tuweze kulinganisha maana hatutarajii ongezeko kubwa.
Otherwise sio uamuzi mbaya.
Ni kweli!
 
Kwanini iende Zenj wakati gharama hizo zinatoka hazina Dar?

Sherehe zingekuwepo Zanzibar wasingehusika na gharama! iweje zikifutwa wahusishwe na mgao?

Zanzibar ni Mkoa sio nchi. Maana hakuna hata katiba ya ccm zanzibar ni hii katiba ya ccm ya Tanganyika. makao makuu ya ccm yapo Dodoma. kuna mgao hapo wa serikali hakuna chao wakauze karafuu za pemba.
 
Safi sana Rais wetu, ikiwezekana tuwe na utaratibu wa kuahirisha sherehe hizi kila baada ya mwaka mmoja, ina make sense kuahiirisha, ili hizo 2 bil zitumike kwenye kuhudumia wananchi. Ila sasa kama fedha za kugharamikia muungano zinatoka pande zote za muungano basi angegawa hizo fedha kote zisaidie miradi ya maendeleo. Yote ya yote hongera sana Rais wetu
 
Back
Top Bottom