usiambini
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 627
- 558
Rais Magufuli hana sura ya muungano kabisaa.Alighairisga semina elekezi kwa bunge .Hela zote zikamalizikia muhimbili utadhan zanzibar sisi tuna hospitali ya mtakatifu Thomas.Ameghairisha sherehe za muungano na kuelekeza fedha hizo zitumike kwa kutengeneza bara bara za Tanganyika .Jiandae kupata upinzani mkubwa usio utarajia huko mbeleni