Rais Magufuli afuta shamrashamra za Muungano 2016, fedha zikajenge barabara Mwanza

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,582
6,627
Lakini mapumziko yapo palepale
bb796336-6397-4c2f-b159-63f217b01029.jpg
 
Hii ni style ya kupunguza mzigo wa utekelezaji wa majukumu/ahadi

Hata hivyo itakuwa ni vizuri wakatutajia na kiasi kilichokuwa kimetengwa mwaka jana kwa sherehe hizi ili tuweze kulinganisha maana hatutarajii ongezeko kubwa.

Otherwise sio uamuzi mbaya.
 
Uamuzi mzuri kisiasa na kiuchumi kwa manufaa ya taifa.

Hata wanaopata Vinywaji na vyakula katika sherehe hiyo ni watanzania ambao mapato yao kwa mwezi ni zaidi ya Tsh millions. It's high society and elite flock.

Hii dhana ya alichonacho ataongezewa lazima tuondoe kama tunataka taifa lenye misingi ya usawa.
 
Hii ni style ya kupunguza mzigo wa utekelezaji wa majukumu/ahadi

Hata hivyo itakuwa ni vizuri wakatutajia na kiasi vha fedha kilichokuwa kimetengwa kwa ajili ya mwaka huu na pia watutajie na kiasi kilichotumika kwa mwaka jana kwa sherehe hizi ili tuweze kulinganisha maana hatutarajii ongezeko kubwa.

Otherwise sio uamuzi mbaya.


Ukisoma vizuri kiasi kimetajwa kwamba ni Bilioni 2!
 
Back
Top Bottom