Mkuu naomba kukuliza mlichukua risiti?wanaume wa mwanza mliokuwa mnagombea soda leo tunawatanulia barabara.
Mkuu respect Mimi ningemshauri magu hiyo bil 2 moja ingekwenda zenji na iliyobaki ndio ingekwenda mwanza. Huu ni muungano sio 9 Dec.Namsubiri mtu atakayeelewa uzi huu kwa ufafanuzi
BACK TANGANYIKA
story za risiti hutumika kupamba jukwaa tu.Mkuu naomba kukuliza mlichukua risiti?
Hii ni style ya kupunguza mzigo wa utekelezaji wa majukumu/ahadi
Hata hivyo itakuwa ni vizuri wakatutajia na kiasi vha fedha kilichokuwa kimetengwa kwa ajili ya mwaka huu na pia watutajie na kiasi kilichotumika kwa mwaka jana kwa sherehe hizi ili tuweze kulinganisha maana hatutarajii ongezeko kubwa.
Otherwise sio uamuzi mbaya.
kaka mwakani tu hamtuoni dar, ni mwanza dubai mwanza, Mwanza Hong kong Mwanza,Safi sana,natamani siku moja nipande pipa from dubai ,Doha,Zurich,amsterdam to Mwanza home sweet home bila kupitia Dar.
Bara ndo tuna mamlaka ya kuamua jamboHuu muungano si wa nchi mbili? Hao upande wa zanzibar nao wamenufaika vipi kwa kuhairishwa hizo sherehe?