Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly


Angalia hapo moja kwa moja mkutano wa umoja wa mataifa. Rais wa Uturuki anahutubia kwa kutumia lugha yao..

tatizo hata hao wakalimani wake anaowachagua (au sijui kachaguliwa, hapo nina shaka kidogo) huwa hata hawajui kutafsiri vizuri.
Halafu kule UN akizungumza kiswahili chake hicho tunachokisikia hapa, basi wakalimani watapata shida sana ya kutafsiri, kwa ufupi pia hajiamini.
 
Nimekasirika. Tutajitenga mpaka lini. Hatupendi asafiri sana, lakini narudia, hii sasa haikubaliki, the president must open up.
must open up what?

ni nini ambacho anawaficha jumuiya ya kimataifa ambacho angeenda UN Assembly ange "open up"? hahahaaa.... watu wengine bana....

safari za JK hazikutuletea tija yeyote, screw the safaris.
 
Bado haujanielewa. Niko upande wako. Nimetumia lugha ya staha zaidi. Namaanisha Hiviiii, kuna mtu fulani hajui umuhimu wa Mkutano wa UN, inabidi JF tumfafanulie umuhimu wake kisha tumpe faida na hasara za kwenda au kutokwenda. Usipoelewa na hapa nitarudi tena.
elezea basi huo umuhimu wa rais wa 3rd world country kwenda UN ambako hakuna agenda inayomuhusu specifically na interests za nchi hii ambazo anaweza kuzi influence.

Tanzani ime miss nini kwa kutokwenda Magufuli UN kama sio ku save hela za misafara?
huyu yupo busy kuweka sawa mambo ya ndani,mnasema aende mkutanoni,huu ni upopo kutokuwa ndege wa mnyama.Tanzania kwanza kuna kazi kubwa humu ndani kila mmoja anajua hivyo inapotokea kuvunjwa kwa safari kama hivyo,tuwe waelewa .
Exactly, Tanzania ina foreign agenda ipi nchi hii ya kuitetea UN, kuomba misaada???

Misaada wao ndio wanataka kutupa sisi misaada, itakuja tu, hata tukatae wata offer kutupa misaada ya kubakiza utegemezi.

Eti hajui Kiingereza, kurasa 26 za kudhihaki Kiingereza cha Rais hakuna hata mtu mmoja aliyeandika paragraph kwa Kiingereza, wote tunaunga unga tu halafu tunadai mwenzetu hajui Kiingereza, chako kiko wapi tukisome basi ??
 
elezea basi huo umuhimu wa rais wa 3rd world country kwenda UN ambako hakuna agenda inayomuhusu specifically na interests za nchi hii ambazo anaweza kuzi influence.

Tanzani ime miss nini kwa kutokwenda Magufuli UN kama sio ku save hela za misafara?
Exactly, Tanzania ina foreign agenda ipi nchi hii ya kuitetea UN, kuomba misaada???

Misaada wao ndio wanataka kutupa sisi misaada, itakuja tu, hata tukatae wata offer kutupa misaada ya kubakiza utegemezi.

Eti hajui Kiingereza, kurasa 26 za kudhihaki Kiingereza cha Rais hakuna hata mtu mmoja aliyeandika paragraph kwa Kiingereza, wote tunaunga unga tu halafu tunadai mwenzetu hajui Kiingereza, chako kiko wapi tukisome basi ??

Hawana hoja hao mkuu.
 
Hii hali nimeizoea kuiona katk nchi zilizotengwa na jumuhiya ya kimataifa, sidhan kama ally bashir wa sudan anaweza kwenda, Nkrunziza, Alli asad nk. Sasa sis tuwe kundi gani ?
 
elezea basi huo umuhimu wa rais wa 3rd world country kwenda UN ambako hakuna agenda inayomuhusu specifically na interests za nchi hii ambazo anaweza kuzi influence.
Duh! Yaani watu mna mahaba nitumbue hadi mnashindwa kuona uhalisia!! Yaani unataka kutuambia agenda ya maendeleo endelevu haina umuhimu wowote kwa third world country? Are you serious?! Hivi suala la Wakimbizi ambao leo tumesahau na kudhani ni issue ya Ulaya na Middle East limeiathiri Tanzania kwa miongo mingapi hivi sasa?! Ungeweka pembeni mahaba nitumbue ungegundua kwamba agenda za mwaka huu zote zinatuhusu kwa 100%!!

Ile summit itakayojadili masuala ya Wakimbizi inalenga kuzungumzia namna bora ya kuwalinda wakimbizi na wahamiajia! Do you really believe that agenda is for developed countries?! Tangu upate ufahamu umeshawahi kusikia US, UK, France, German and the like zikizalisha wakimbizi au wahamiaji?! Or do you really believe kinachoendelea Mashariki ya Kati ambavyo vilevile ni kawaida sana Afrika haviwezi kutokea Tanzania?! Hivi unakumbuka kwamba Ivory Coast ilikuwa ni moja ya nchi za mfano kwa amani Afrika? What happened next?! Btw, umemsikiliza Rais Filipe wa Mozambique hapo juu akielezea anavyoitumia hiyo fursa?!
 
Hii hali nimeizoea kuiona katk nchi zilizotengwa na jumuhiya ya kimataifa, sidhan kama ally bashir wa sudan anaweza kwenda, Nkrunziza, Alli asad nk. Sasa sis tuwe kundi gani ?
Ahsante... lakini hata kama si kutengwa bali hufanywa na wale marais wenye kale katabia alikokasema Tundu Lissu kale! Lakini usiniulize katabia gani; sitakujibu!!
 
Mi namuelewa sana JPM. Hamna haja ya kwenda UN kudiscuss. Wakimbizi. Wakati tunamatatizo yetu hapa. Na hao UN wamesaidia kukatisha zile pesa za MCC. Basically hyo meeting ni yakinafiki. Tuna marafiki wa Ukweli. China. Japan. Kenya. Rwanda. Bora uwe na cycle ndogo yakuamini. Kuliko Darasa zima la wanafiki
 
Nimuunge mkono kwa lipi? Je katuma msaada wowote uko Kagera?
Kenya wametoa misaada
Uganda wametoa misaada
Je serikali yetu imetoa msaada gani?
Imetoa msaada wa kupokea misaaaada na kununua ndege na kuwashauri watu waasibweteke waaanze kujenga wenyewe serikali haitaweza kuwafika wote n kwa wale tu ambao hawajiwez kabisa
 
Tumekwenda huko UN kwa miaka 54. ..tuko hivi tulivyo na nchi yetu. ..acha tujaribu barabara nyingine ninaamini tutakutana na malaika mwingine. .ni bora kuliko kupiga Mark time hapo hapo au kuzungukia same issues for 54 years. .disgusting really! TUWE WAVUMILIVU NA UJASIRI
 
Nakumbuka kijijini kwetu kulikuwa na watu wakiona Wazungu wao huingia makwao!
 
Duh! Yaani watu mna mahaba nitumbue hadi mnashindwa kuona uhalisia!! Yaani unataka kutuambia agenda ya maendeleo endelevu haina umuhimu wowote kwa third world country? Are you serious?! Hivi suala la Wakimbizi ambao leo tumesahau na kudhani ni issue ya Ulaya na Middle East limeiathiri Tanzania kwa miongo mingapi hivi sasa?! Ungeweka pembeni mahaba nitumbue ungegundua kwamba agenda za mwaka huu zote zinatuhusu kwa 100%!!

Ile summit itakayojadili masuala ya Wakimbizi inalenga kuzungumzia namna bora ya kuwalinda wakimbizi na wahamiajia! Do you really believe that agenda is for developed countries?! Tangu upate ufahamu umeshawahi kusikia US, UK, France, German and the like zikizalisha wakimbizi au wahamiaji?! Or do you really believe kinachoendelea Mashariki ya Kati ambavyo vilevile ni kawaida sana Afrika haviwezi kutokea Tanzania?! Hivi unakumbuka kwamba Ivory Coast ilikuwa ni moja ya nchi za mfano kwa amani Afrika? What happened next?! Btw, umemsikiliza Rais Filipe wa Mozambique hapo juu akielezea anavyoitumia hiyo fursa?!

You may be right but I beg to differ. Obama called this summit because the migration issue has become a moral, social and political imperative for WESTERN COUNTRIES. It has changed their social fabric and they are worried that unless they do something, their people will revolt. Mabomu wanayarusha wao huko Syria na Iraq..sasa unataka wananchi wakimbilie wapi? To me its their duty kusaidia hawa wakimbizi maana wao ndo wamefanya nchi hizi zisikalike. Sijui kama unafuatilia kinachoendelea Ujeremani. Mama Merkel sasa anawakati mgumu sana. Na Obama being clever, he has realized that western countries need to support and give solidarity to Germany. Otherwise in few years you will have right wingers controlling Europe. And you know the consequences.

My friend people like Trump are real! And the man has chances of being the US President. People have dismissed him for long but I can assure you.....watch this space. The same can be said of politics in UK, France, German and elsewhere. Sasa watu kama hawa wakiingia madarakani what do you expect?

Is the migration topic important for thirdworlders like us? Absolutely yes! But kuna angalizo. You remember in the 90's and 00's Africa (read Tanzania) we were host to millions of refugees. Did you see any initiative from the US or EU? (apart from the usual humanitarian funding given to UN to support them?-which was not enough moreover). What I mean is that for Africa migration issue has always been there. And I can guarantee you (I know this for sure). What is in mind of Obama and western leaders is refugees from Syria, Iraq and Afghanistan (sehemu ambazo wao wenyewe ndo walisababisha vita).

Juzi London Conference pledged billions for refugees. Ask UNHCR how much was allocated to Africa?

Tafadhali sana, tusiwe tunaangalia CNN na kufanya conclusions zetu. Most of these summits are USELESS! And I am pleased Magufuli knows that. We have seen global climate change conference in Paris last year. What did Africa bring on the table? zaidi ya kwenda kulia lia kwamba wasaidiwe ndo wanaumizwa na mabadiliko ya tabia nchi? Lakini ukiangalia nchi nyingi za Africa walikuwa na delegates wengi sana kuliko hata wakubwa wenyewe.

Tanzania has done so much for the world. Tuna maelfu ya askari wetu wanalinda amani huko DRC, Sudan, South Sudan, Lebanon etc! Ngoja Mahiga afanye kazi. Kama kuna umuhimu wa kusafiri Magufuli will travel mpaka mtamchoka...lakini siyo kumhukumu kwa hizi cheap cheap conferences za kuongea kwa dakika tano.....we can do better than that.

Again, Magufuli kusafiri ni kitu kizuri. Lakini afanye hivyo kama kuna faida kwa taifa lake. Na sio kuona hizi conferences...kwenye CNN na BBC tunaanza kuhemka humu. Tufanye utafiti na kuelewa malengo ya hizi conferences. Na zinatusaidia vipi kama taifa!

Kupanda ndege na kwenda New York..siyo kipimo cha weledi au umakini katika diplomasia.
 
Mi namuelewa sana JPM. Hamna haja ya kwenda UN kudiscuss. Wakimbizi. Wakati tunamatatizo yetu hapa. Na hao UN wamesaidia kukatisha zile pesa za MCC. Basically hyo meeting ni yakinafiki. Tuna marafiki wa Ukweli. China. Japan. Kenya. Rwanda. Bora uwe na cycle ndogo yakuamini. Kuliko Darasa zima la wanafiki
Hivi nyie watu sijui kukosa hoja!! Hapo zimetajwa hoja mbili; issue ya wakimbizi na wahamiaji na issue ya sustainable development ambayo ndiyo itachukua muda mrefu zaidi! Lakini kinyume chake; wachangiaji aina yenu mmejikita kwenye suala la wakimbizi na kuacha sustainable development kv mnafahamu ni muhimu! By the way, hivi tangu lini issue ya wakimbizi imekuwa not a topic of interest kwa Tanzania wakati hii nchi tangia tupate uhuru issue ya wakimbizi ni moja ya majipu sugu! DRC na Burundi hakusomeki! Rwanda hivi sasa kunaonekana kimya lakini tusisahau wamebadilisha katiba kutaka PK agombee tena mwakani... no one knows what will happen! Halafu bado mnaamini issue ya wakimbizi not the topic of our concern?!

Maajabu ya mashabiki wa JPM haya! Yaani leo hii UN General Assembly inaonekana mkutano wa kinafsiki kv JPM hajaenda?! Kesho na kesho kutwa akienda mtarudi tena hapa na lugha nyingine... ya kusifia! Yaani mnasukumwa na upepo wa Bwana Mkubwa... unakoelekea nanyi mnaburuzwa huko huko!
 
elezea basi huo umuhimu wa rais wa 3rd world country kwenda UN ambako hakuna agenda inayomuhusu specifically na interests za nchi hii ambazo anaweza kuzi influence.

Tanzani ime miss nini kwa kutokwenda Magufuli UN kama sio ku save hela za misafara?
Exactly, Tanzania ina foreign agenda ipi nchi hii ya kuitetea UN, kuomba misaada???

Misaada wao ndio wanataka kutupa sisi misaada, itakuja tu, hata tukatae wata offer kutupa misaada ya kubakiza utegemezi.

Eti hajui Kiingereza, kurasa 26 za kudhihaki Kiingereza cha Rais hakuna hata mtu mmoja aliyeandika paragraph kwa Kiingereza, wote tunaunga unga tu halafu tunadai mwenzetu hajui Kiingereza, chako kiko wapi tukisome basi ??
Kwanini ajifiche nyuma ya tetemeko badala ya kusema hamna ajenda inayomhusu?
 
Duh! Yaani watu mna mahaba nitumbue hadi mnashindwa kuona uhalisia!! Yaani unataka kutuambia agenda ya maendeleo endelevu haina umuhimu wowote kwa third world country? Are you serious?! Hivi suala la Wakimbizi ambao leo tumesahau na kudhani ni issue ya Ulaya na Middle East limeiathiri Tanzania kwa miongo mingapi hivi sasa?! Ungeweka pembeni mahaba nitumbue ungegundua kwamba agenda za mwaka huu zote zinatuhusu kwa 100%!!

Ile summit itakayojadili masuala ya Wakimbizi inalenga kuzungumzia namna bora ya kuwalinda wakimbizi na wahamiajia! Do you really believe that agenda is for developed countries?! Tangu upate ufahamu umeshawahi kusikia US, UK, France, German and the like zikizalisha wakimbizi au wahamiaji?! Or do you really believe kinachoendelea Mashariki ya Kati ambavyo vilevile ni kawaida sana Afrika haviwezi kutokea Tanzania?! Hivi unakumbuka kwamba Ivory Coast ilikuwa ni moja ya nchi za mfano kwa amani Afrika? What happened next?! Btw, umemsikiliza Rais Filipe wa Mozambique hapo juu akielezea anavyoitumia hiyo fursa?!
Mkuu kuna wakati ukisoma post za watu humu hadi unaogopa! Inashangaza mtu anaibuka na hoja za kupuuza kile kinachojadiliwa UN ili tu kutetea Rais kutohudhuria mkutano huo muhimu. Inawezekana taifa hili limepigwa laana, tujiombee!
 
You may be right but I beg to differ. Obama called this summit because the migration issue has become a moral, social and political imperative for WESTERN COUNTRIES. It has changed their social fabric and they are worried that unless they do something, their people will revolt. Mabomu wanayarusha wao huko Syria na Iraq..sasa unataka wananchi wakimbilie wapi? To me its their duty kusaidia hawa wakimbizi maana wao ndo wamefanya nchi hizi zisikalike. Sijui kama unafuatilia kinachoendelea Ujeremani. Mama Merkel sasa anawakati mgumu sana. Na Obama being clever, he has realized that western countries need to support and give solidarity to Germany. Otherwise in few years you will have right wingers controlling Europe. And you know the consequences.

My friend people like Trump are real! And the man has chances of being the US President. People have dismissed him for long but I can assure you.....watch this space. The same can be said of politics in UK, France, German and elsewhere. Sasa watu kama hawa wakiingia madarakani what do you expect?

Is the migration topic important for thirdworlders like us? Absolutely yes! But kuna angalizo. You remember in the 90's and 00's Africa (read Tanzania) we were host to millions of refugees. Did you see any initiative from the US or EU? (apart from the usual humanitarian funding given to UN to support them?-which was not enough moreover). What I mean is that for Africa migration issue has always been there. And I can guarantee you (I know this for sure). What is in mind of Obama and western leaders is refugees from Syria, Iraq and Afghanistan (sehemu ambazo wao wenyewe ndo walisababisha vita).

Juzi London Conference pledged billions for refugees. Ask UNHCR how much was allocated to Africa?

Tafadhali sana, tusiwe tunaangalia CNN na kufanya conclusions zetu. Most of these summits are USELESS! And I am pleased Magufuli knows that. We have seen global climate change conference in Paris last year. What did Africa bring on the table? zaidi ya kwenda kulia lia kwamba wasaidiwe ndo wanaumizwa na mabadiliko ya tabia nchi? Lakini ukiangalia nchi nyingi za Africa walikuwa na delegates wengi sana kuliko hata wakubwa wenyewe.

Tanzania has done so much for the world. Tuna maelfu ya askari wetu wanalinda amani huko DRC, Sudan, South Sudan, Lebanon etc! Ngoja Mahiga afanye kazi. Kama kuna umuhimu wa kusafiri Magufuli will travel mpaka mtamchoka...lakini siyo kumhukumu kwa hizi cheap cheap conferences za kuongea kwa dakika tano.....we can do better than that.

Again, Magufuli kusafiri ni kitu kizuri. Lakini afanye hivyo kama kuna faida kwa taifa lake. Na sio kuona hizi conferences...kwenye CNN na BBC tunaanza kuhemka humu. Tufanye utafiti na kuelewa malengo ya hizi conferences. Na zinatusaidia vipi kama taifa!

Kupanda ndege na kwenda New York..siyo kipimo cha weledi au umakini katika diplomasia.
Oh God! Again and again, Refugees and Migrants issue ain't a topic of our interest cuz' we ain't one of them!! "We're a peaceful country anyway!" So let the shit be discussed by themselves!!

Trust me, I love that!

But you know what interests me more?! Y'all skip to say anything about “The Sustainable Development Goals: a universal push to transform our world." Why do you always skip this subject guys? And lemme tell you this: Summit for Refugees and Migrants was just a single day summit; that's it... ONLY ONE DAY but “The Sustainable Development Goals: a universal push to transform our world" Summit will take place from 20th to 26th September! Now tell me something! What image do you get from the two schedules for the two named summits in relation to your repetitive arguments about Refugees and Migrants summit contrary to none or little arguments on The Sustainable Development Goals summit?! Can you have confidence to admit that you're focusing on a subject given a little emphasis compared to the one you're skipping? Would you mind to admit that?!

Oh! It's started by Western Countries so let them deal with it! Maybe what you'v forgotten is the fact that Tanzania still shelters refugees from neighboring countries! What you've forgotten is the fact that Tanzania had been the home of refugees since independence! Were the countries of these refugees bombed by Western countries? Oh! Maybe you'll have African justification here: They sell us weapons!

Look dude, do you really know the intention of Refugees and Migrants summit?! Have you read what's agreed in that summit?! Lemme guess; you didn't or else you wouldn't say it meant to cover Western countries asses!! This's what was agreed and formulate York Declaration for Refugees and Migrants:
UN1.png

UN2.png

Now tell me! Does this declaration have any favor for Western countries?! If Angela Merkel is on hot chair today, what will happen if she fully complies to above declaration?! What do you expect White supremacists would react if above declaration is fully complied by their countries?! Oh! I forgot... I didn't take it from CNN but directly from UN webportal though I won't be surprised if you come again and say CNN and UN are one and the same!!

And you know what? I don't mind to remind you this's no one's own business... I know it and you know it! Even Tanzania isn't exclusively exceptional compared to those countries known to be sources of refugees! And if you insist asking why no such agenda ever been discussed when we'd a flood of refugees back in 1990's then you also need to ask yourself how did UNHCR came into existence! How do those refugees being fed!

But one more thing... there're lot to respond but I hate making very long posts... they suck though I don't care doing it when necessary! You know what?! I ain't among those genius kids who can connect the dots even from a long range! And that, I failed to see strong connection between Donald Trump stuff above with this discussion! But lemme guess though you can ignore it if I am off-target! Donald Trump the guy who hates migrants!! Please, don't say am right because you'll be denying yourself! New York Declaration for Refugees and Migrants is one of the most important summit in the world of Trumpism!
 
[QUOTE="Easymutant, post: 17694003]......
POGBA[/QUOTE]

Pogba ndio jina jipya la rafiki yangu John?
 
Mkuu kuna wakati ukisoma post za watu humu hadi unaogopa! Inashangaza mtu anaibuka na hoja za kupuuza kile kinachojadiliwa UN ili tu kutetea Rais kutohudhuria mkutano huo muhimu. Inawezekana taifa hili limepigwa laana, tujiombee!
Hata mimi hilo limenitisha! Yaani issue ya Wakimbizi hivi sasa haituhusu kabisa just to justify kutoenda kwa JPM! Yaani Sustainable Development Goal is no longer important kwa sababu tu mheshimiwa hakwenda!!
 
Back
Top Bottom