park don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 4,918
- 7,023
Wew unayejua serikali ni nini mshauri watanzania wanaumia...We bado mtoto Sana hujui hata serikali ni Nini, Wala hujui inashughulikaje..so shut up...!
Wew unayejua serikali ni nini mshauri watanzania wanaumia...We bado mtoto Sana hujui hata serikali ni Nini, Wala hujui inashughulikaje..so shut up...!
Halina shaka lakn akumbuke watu wanateseka, sikuiz kula bila mafuta ni kiyu cha kawaidaBado yupo ndani ya nchi yake,
Popote anawe?a kushughulikia hayo....
Tumpe nafasi ya muda
Kule alipowaambia tetemeko halijaletwa na serikali?
Eeeh mwaka wa 6 huu bado anakusanya kero za wananchi?Mheshimiwa Rais yupo njiani kuelekea Mkoani Kagera akitokea Chato Mkoani Geita alikokaa kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka
Maelfu ya Wananchi wamesimama njiani wakiwa na hamu ya kumuona na kumueleza shida zao mbalimbali Kiongozi huyo Mzalendo na mtetezi wa Wanyonge
Ili amkabidhi ajae azitatueEeeh mwaka wa 6 huu bado anakusanya kero za wananchi?
LISSU yuko likizo na beberu lake toka October 28 hujiulizi.Aah! Kumbe alikuwa likizo?
Hivi ukipewa Chanjo ya CORONA ( COVID-19 ) unatakiwa Kukaa muda gani bila Kusafiri kwani nina Rafiki yangu kutokea China ananiletea ili nisife.Mheshimiwa Rais yupo njiani kuelekea Mkoani Kagera akitokea Chato Mkoani Geita alikokaa kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka
Maelfu ya Wananchi wamesimama njiani wakiwa na hamu ya kumuona na kumueleza shida zao mbalimbali Kiongozi huyo Mzalendo na mtetezi wa Wanyonge
Siyo kwamba mlipeleka Mabegi mengi zaidi huko???Na ndiko alikopata kura za kishindo japo mliandaa wahuni!
Lisu bado yuko ukimbizini?Aah! Kumbe alikuwa likizo?
Atuwakilishe kuapishwa MuseveniMheshimiwa Rais yupo njiani kuelekea Mkoani Kagera akitokea Chato Mkoani Geita alikokaa kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka
Maelfu ya Wananchi wamesimama njiani wakiwa na hamu ya kumuona na kumueleza shida zao mbalimbali Kiongozi huyo Mzalendo na mtetezi wa Wanyonge
Hii ni mechi kati ya Sifa za Kishamba vs Maslahi ya TaifaAngeanza kushughulikia tatzo la bei ya sukari, mafuta, sementi angekuwa amefanya jambo la muhim zaid ya kuchoma kodi zetu kwenye msafara wa magari 100 for nothing
Hizi ngonjera wakati wa kampeni zikifeli na bado upo nazo?Kule alipowaambia tetemeko halijaletwa na serikali?
Ni dhambi akienda?Ataenda pia kwenye Ranchi ya mifugo yake huko Karagwe! Hata last year alifanya kama anachokifanya sasa hivi!
Wewe haikuhusu inawahusu watzSisi inatuhusu nini?
Wote wanaokula bila Mafuta ni lishe boraHalina shaka lakn akumbuke watu wanateseka, sikuiz kula bila mafuta ni kiyu cha kawaida
Mheshimiwa Rais yupo njiani kuelekea Mkoani Kagera akitokea Chato Mkoani Geita alikokaa kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka
Maelfu ya Wananchi wamesimama njiani wakiwa na hamu ya kumuona na kumueleza shida zao mbalimbali Kiongozi huyo Mzalendo na mtetezi wa Wanyonge