IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,331
Wewe unahisi anatumia gharama za nani?Anatumia gharama za nani kwenye mambo yake binafisi??
Wewe unahisi anatumia gharama za nani?Anatumia gharama za nani kwenye mambo yake binafisi??
Kuna kosa hapo akienda kwenye hiyo ranchi, au umeanza umbea?Ataenda pia kwenye Ranchi ya mifugo yake huko Karagwe! Hata last year alifanya kama anachokifanya sasa hivi!
Ndipo alipoiba kura kwa kishindo.Na ndiko alikopata kura za kishindo japo mliandaa wahuni!
Zinachangamsha watu ama tigozenu?Huwa napenda sana hamsha zake..zinachangamsha watu
Afu kuna watanzania wenye akili zao wanaona sawa tu .Hii ni mechi kati ya Sifa za Kishamba vs Maslahi ya Taifa
Tusubiri kuona akigawa fedha kama hayati Haile Sillasie njiani
Kwani hajasema au mnadhani tumesahau?Hizi ngonjera wakati wa kampeni zikifeli na bado upo nazo?
Kueleza shida zao barabarani? Something is wrong. Ina maana watendaji wake hawajui wanachofanyaMheshimiwa Rais yupo njiani kuelekea Mkoani Kagera akitokea Chato Mkoani Geita alikokaa kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka
Maelfu ya Wananchi wamesimama njiani wakiwa na hamu ya kumuona na kumueleza shida zao mbalimbali Kiongozi huyo Mzalendo na mtetezi wa Wanyonge
Ndio raisi!Ndipo alipoiba kura kwa kishindo.
Anakwenda kuangalia zile ekari 1.000 alizojimegea.
Jamani, mbona Wakati wa Kampeni walimweleza? Au inabidi awape ahadi tenaMheshimiwa Rais yupo njiani kuelekea Mkoani Kagera akitokea Chato Mkoani Geita alikokaa kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka
Maelfu ya Wananchi wamesimama njiani wakiwa na hamu ya kumuona na kumueleza shida zao mbalimbali Kiongozi huyo Mzalendo na mtetezi wa Wanyonge
Alijua huko hapati kitu hivyo akapeleka masanduku yaliyoshiba. He obviously over did it.Kisa cha kuzaliwa kura za kishindo!Ndipo alipoiba kura kwa kishindo.
Look here! Unaambiwa huko ndiko aliiba kura kwa kishindo. Kwa kukosa akili unasema kuwa ndio rais. Hukanushi wizi wa kishindo. Unashadidia. Hakuiba awe mbunge bali awe rais. Na amekuwa. Ndio rais!Ndio raisi!
Ni jambo jema!
Duuh kweli humu ata m-b-wa wamoWe bado mtoto Sana hujui hata serikali ni Nini, Wala hujui inashughulikaje..so shut up...!
Hivi ni huyu aliesema Kagera UKIMWI kwenu?Mheshimiwa Rais yupo njiani kuelekea Mkoani Kagera akitokea Chato Mkoani Geita alikokaa kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka
Maelfu ya Wananchi wamesimama njiani wakiwa na hamu ya kumuona na kumueleza shida zao mbalimbali Kiongozi huyo Mzalendo na mtetezi wa Wanyonge