mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 82,087
- 426,280
Hivi zile million 50 kila kijiji naomba mrejesho kwenye kijiji Chako umepataTanzania kwa sasa imekuwa kijiji kimoja kikubwa sana chenye watu 56 millioni kikiongozwa na VEO. Hahitaji kusafiri kwenda nchi zingine labda vijiji vinavyofanana na Tanzania.