Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

katibu mkuu wa TUCTA YAHAYA MSIGWA, TALGWU WAPO WAKIONGOZWA NA KM WAO EKINGO YUPO MKUNDA, WAPO TUIKO WAKIONGZWA NA PAUL SENGEZE, RAU WANAONGOZWA NA KM WAO, CHAMA CHA WAFANYAKAZI WA MADINI, CHAMA CHA RELI CHINI YA YUSUFU MANDAO, CHAMA CHA WAMILIKI WA MITANDAO YA SIMU, CHAMA CHA TAASISI ZA VYUO VIKUU, VIONGOIZ WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII CHINI YA ADAMU MAYINGU NA ADAM MSANGI
 
INAKUJIA HIVI PUNDE. RAIS WA WANANCHI NA MASKINI WA TANZANIA, DR JIOHN POMBE MAGUFULI KUKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI PAMOJA NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII KUZUNGUMZIA NA KUTATUA TATIZO LA KIKOKOTOO CHA MAFAO YA KUSTAAFU AMBACHO KIMELETA GUMZO KUBWA KATIKA SIKU ZA HIVI KARIBUNI HAPA NCHINI.

RAIS MAGUFULI AMBAYE NI RAIS MSIKIVU NA MCHUKUA HATUA NA MTEKELEZAJI WA KILE ANACHOKISEMA ATATOA KAULI KUHUSU KADHIA HII KUBWA KWA WAFANYAKAZI. STAY TURNED KUPATA HABARI MUBASHARA KUPITIA UZI HUU.

Naona awamu ya Wafanyakazi imefika

Watu wanahitaji kura zenu 2020.

Wataambiwa watumie kikokotoo cha zamani mpaka muafaka upatikane.
Wafanyakazi kupata nyoongeza ya Mishahara kuanzia mwakani.

Jiwe amechanga karata zake vizuri tu,wapinzani wamepewa magalasa tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom