Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Hapa magufuli anadhibitisha alivyo empty headWajumbe wa NEC Kesho saa 3 Asubuhi watapanda bure na Kurejea Dar es salaam kwa Kutumia Ndege ya ATCL iliyokuwa inashikiliwa Canada na Mabeberu.
Watasafiri Bure Kushuhudia Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Tunatekeleza