Ndege ya Rais yawasili tena Dubai ikitokea Dar es Salaam usiku huu! Kunani Dubai?

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,224
12,944
Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.

Je, imeenda kumchukua Rais?

Screenshot_2023-08-02-23-59-09-14_8a6ce7ef6b1c5341b022b20d7fbb4b6e.jpg
20230803_000126.jpg
Screenshot_2023-08-02-23-45-33-13_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Huyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..

Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..

Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!

Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
 
Huyu mama kwa siku kadhaa haonekani wala kusikika..

Hata Hayati Rais John P. Magufuli alianza kupotea mdogo mdogo kwa safari zisizo na kichwa wala miguu kama hivihivi anavyofanyiwa huyu mama..

Lakini ghafla tukaambiwa amelazwa yuko hoi ktk moja ya zahanati hapa DSM na baada ya siku kadhaa mbele ikawa rasmi, kuwa, hatimaye tena, he's dead!!

Huyu mama naye asifanye mchezo eti. Hizi safari za kimya kimya asije kutuletea balaa jingine hapa. Asije akawa ameenda kupata matibabu ya presha ya kushuka na kupanda..
Balaa gani? Wafe tu
 
Back
Top Bottom