trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
Ni kweli kabisa, hawa jamaa North Korea ni kiboko. Pamoja na matatizo yao ya kiuchumi lakini jamaa wako pamoja muda wote. Wana ndugu zao South Korea lakini wapi, hapewi mtu info.
Nasikia jamaa alikuwa kiboko! Alikuwa na uwezo mkubwa kukariri. Aliwahi kuwataja wageni zaidi ya kumi kwa majina na sehemu walizotoka,wakati alitambulishwa siku hiyohiyo ya mkutano!