Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,199
Kupenda kula miguu ya kuku kuna leta mambo yake haya bwana.............🙂
mama weeeee.ndo shida ya kulelewa na bibi mkichinja kuku we unachukua miguu unachoma hayo ndo madhara yake sasa
Kupenda kula miguu ya kuku kuna leta mambo yake haya bwana.............🙂
Mimi wasiwasi wangu ni kuishiwa kwake nguvu na kuzimika baada ya kupanda pipa kwa muda mrefu kama anavyotuambia daktari wake; kuwa huwa anapata uchovu! Akizimika huko ugenini itakuwa noma! Ashauriwe apumzike hapa nyumbani aache kutangatanga.
Naam, Jamaika mtapata somo zuri tu,toka Tanzania. Na Mhe. Prez atakuja na mikoba yote juu ya mafanikio hao. Mshindwe wenyewe kukopi!Thursday, October 08, 2009
"The Government of Tanzania has introduced reforms, which resulted in economic growth of five to seven per cent prior to the global recession," said Vaz, adding that Jamaica was also considering reforms with similar objectives.
Kila la kheri kwenye safari yake, ila aangalie afya yake kabla ya kwenda Jamaica. JK anazunguka mnoo, Mungu amuepushe asije kuanguka kwenye nchi za watu.
Mkuu wa Kaya,
Karibu Kingston Town
![]()
Dada wee,
Ataangaliaje afya yake wakati haamini kwamba anaumwa? Badala ya kukaa akapumzika anashindana kupata misifa kwamba alipokuwa rais aliatembelea nchi zote za dunia kasoro Somalia!! Haya we, nawasahauri wasaidizi wake waandae ICU ndani ya ndege na ikibindi waweke na chumba cha mapumziko marefu kwani inawezeka hako mshumaaa kake kakazimikia angani!!
Rais ataenjoy sana mitaa ya Montego Bay na Ocho Rios ..... ni raha kwa kwenda mbele 🙂
Rais ataenjoy sana mitaa ya Montego Bay na Ocho Rios ..... ni raha kwa kwenda mbele 🙂
Mheshimiwa asisahau kutuletea miche,unajua amekipa kilimo kipau mbele ,so katika safari ya huko ni lazima atutafutie mbegu bora ,asije akageuka kama Pinda na mavazi ,Kikwete akatwambia tusiharibu hela kwenda kwa vinyozi just rasta inatosha kubana matumizi !
huyu naona hajafika Afghanistan tu na ni kwa vile kuna vita bila hivyo angeenda huyu..halafu rais wetu ana alergy na kutembelea nchi za kiafrica ,mbona sijasikia akienda visiwa vya ngazija
huyu naona hajafika Afghanistan tu na ni kwa vile kuna vita bila hivyo angeenda huyu..halafu rais wetu ana alergy na kutembelea nchi za kiafrica ,mbona sijasikia akienda visiwa vya ngazija